MAKOSHNELI
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 932
- 1,569
We hauko mbali sana na mtszamo Wangu kwa wanyanganyi
Polisi nadhan hakuna atakeingia mbinguni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We hauko mbali sana na mtszamo Wangu kwa wanyanganyi
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Pia alikuwa na Phd ya Nutrition akiitwa SACP Dr. Mohamed Chicco
Kwa sababu miteremko yote hugeuka milimaPolen sana wafiwa
Lakini ni kwa nini mabosi wanapojiuzulu au kuachishwa kazi wengi huaga dunia mapema?? Kuna nini hasa?
Kuzuia mikutano ya ,.......na tlpHuyo kamanda atakumbukwa kwa lipi hasa?
Poleni wafiwa wote.
Chico alikuwa mtu mzima kidogoPolen sana wafiwa
Lakini ni kwa nini mabosi wanapojiuzulu au kuachishwa kazi wengi huaga dunia mapema?? Kuna nini hasa?
Huyu mtu kama hakuwa amefanya toba na aliendelea na maisha kama hayo ni bora alivyo tangulia mbele za haki, kwani hakuwa mtu mzuri kuwepo mitaani.Kuna mmoja alimpigia risasi mabogini huko mchana kweupee
Pole kwa wafiwa kwa kweli marehemu alizinguaHuyu mtu kama hakuwa amefanya toba na aliendelea na maisha kama hayo ni bora alivyo tangulia mbele za haki, kwani hakuwa mtu mzuri kuwepo mitaani.
Kumpenda mtu Kwasababu kafikwa na umauti ni unafiki, kama ni adui akiwa hai kamwe hawezi kuwa rafiki akiwa keshakufa hivyo kila mtu anacomment kulingana na hisia za moyo wakeNi ujinga kufurahia ,ukisikia binadamu mwenzio kafa,hats kama alikutenda sivyo,kifo sio adhabu Bali in wajibu.Na kamanda chiko alifanya mambo mengi mazuri ndani ya Kesho na nje ya Jeshi. Wala hahusiki na mambo ya siasa kama munavyo hubiri.hizo ni hisia .KAPUMUZIKE KWA AMANI KAMANDA CHICO.Na sisi pamoja na wanao kuzodoa tupo nyma yako.na kila MTU ataonja mauti
hahaaaa umenikumbusha mbali sana akiwa same alikuwa anapenda kwenda kwenye duka lala mama mmoja pale station chini ya lile bomba la railway....inasemekana alikuwa anapumzika.Ocd
Same Amezaa na Dada zako kwani jamaa alikuwa jembe.
Aiisee wewe ulishi kota za Relini
Makazi mema au mabaya aliyaandaa mwenyewe enzi za uhai Wake, kwakuwa hatuna amri ya kumuamrisha mungu kwa kifupi marehemu yoyote anakumbukwa Kwa aliyo yaacha nyuma yake hivyo ukiona ndugu marehemu anasemwa Kwa mabaya ujue ndicho alichoachaKama sijakuelewa swali lako?? Kukumbukwa ndo kutamsaidia nini mbele ya Mungu? kama wewe humkumbuki ana familia yake itamkumbuka kwa mengi, tumuombee Mungu ampe makazi mema.
Kaumwa nini mbona hatukusikia ugonjwa wake?Hata hivyo tunawapa pole wafiwa.RIP...Polen sana ila ungefafanua zaidi mkuu kamanda Chico alikuwa nani sio wote tunamfaham..
Alikwahi kuwa mkuu wa polisi Kilimanjaro na alikuwa almaarufu enzi zile sijui ndio enzi za neema za Mahita aka ngunguriRIP...Polen sana ila ungefafanua zaidi mkuu kamanda Chico alikuwa nani sio wote tunamfaham..
Pamoja na Mahita walikuwa maarufu sana hawa waheshimiwaWengine humu huwa tunasahau kwamba kuna vijana waliozaliwa miaka ya 2000. Mara nyingi huwa tunadhani wote ni wa miaka ya 60, 70 na 80. Kamanda Chico alikuwa ni RPC na mara ya mwisho alikuwa RPC Kilimanjaro kabla hajahamishiwa makao makuu ya polisi na kustaafia Makao Makuu ya Polisi. Alikuwa kamanda maarufu kwa mambo mbalimbali. Sijui kama yote yalikuwa na ukweli ama la.
RIP kamanda Chico.
R.I.P Mzee wa Sodoma.