Malata Junior
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 3,104
- 2,550
hivi kweli? aisee!!جحكقوخ صشوبعاع صشمث
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi kweli? aisee!!جحكقوخ صشوبعاع صشمث
Katika majeshi Polisi ndio walikuwa wanaongoza kwa ufisadi kuanzia kwenye ajira,uhamisho,kupangiwa vitengo,kubambikiza kesi,kushirikiana na majambazi na mengine mengiMadili? Mbona mkiambiwa madili yamezibwa mnapiga kelele kumbe mnafahamu kwamba kulikuwa na madili.
Ana Jozi mbili za Mawani moja juu ya utosi Kama Spear, nyingine kwny Macho
Simu zake alikuwa anabeba body guard anapokea anakuhoji then ndio anampa Bosi wake
Mtu Poa sana mkikutana nae Viwanja huwezi kudhani Kama ni Mtu Mzito
Ndie alikuwa Mkuu wa Police Officers Mess msasani mpaka anastaafu
Watoto wake wapo Vizuri maeneo Mazuri kwny Mfumo Mzuri!
Tukimwagika akiwa hai angetuletea za kuleta... Hata faru John piaWa nasubiri akufe kwanza ndo wafanye kuanza kumwagika
WA ccm huyu mzee alifanya did na majambazi wote wa moshiii anzia Alex masawe na wezi WA bia kitobo enzi za tusker ccm wezi wapo kila ngazi anzia wenye dhamana km Chico
Alale panapostahili
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Soma comment utamfahamu...mm sina shida ya kukufahamu ww au Huyo aliye kufa kwasbabu najua kizazi cha ccm hivyo ndivyo mnazidi kupukutika.
RIP...Polen sana ila ungefafanua zaidi mkuu kamanda Chico alikuwa nani sio wote tunamfaham..
Basi Mungu ampimie kwa kadiri ya kipimo stahili. Hatujui wangapi hawapo kwa uonevu wa Hawa watu kwa ushirikiano na mdudunwa kijani na njanoAmewatesa sana wapinzani, anapata hukumu ya haki, ccm haipo naye sasa hivi, yuko peke yake. Hukumu ya haki kwa aliowaonea!
Wizi wa nagari?Chico alikuwa kiungo muhimu wa Mahita katika mambo flani
Kuna mmoja alimpigia risasi mabogini huko mchana kweupee"Inasemekana" aliwamaliza majambazi waliokuwa wakimpelekea bahasha baada ya kazi mmoja baada ya mwingine, baada ya Said Kuingia na vuguvugu la kusafisha jeshi la polisi.
Kwani uonevu ni MWENYE ENZI MUNGU PEKEE auonae?Ni kweli hakutujaalia waja wake kuona na kupembua dhulma na haki?Hakutujaalia kutambua baya na jema???Wewe sio Mwenyenzi Mungu
Mara nyingi ina kuwa hali ya Afya sio nzuri.Polen sana wafiwa
Lakini ni kwa nini mabosi wanapojiuzulu au kuachishwa kazi wengi huaga dunia mapema?? Kuna nini hasa?
Mwishowe mtasema ndalichakoHuyo chiko ni nani?
Ocdha ha ha,No man,naongelea kipindi akiwa OCD ,miaka ya 90 huko,
katika watu sisi madogo tulikuwa tunawahusudu na kuwaona makomando fulani kwa style zao ni huyo kamanda chico,
ole Terere wa usalama wa taifa na jamaa mmoja anaita Suleiman kova kipindi hicho ni OCCID
Acha Kukariri vibaya Mkuu. Kifo ni kwa kila binadamu.Polen sana wafiwa
Lakini ni kwa nini mabosi wanapojiuzulu au kuachishwa kazi wengi huaga dunia mapema?? Kuna nini hasa?
Yaani maiaka hyo mpaka Leo an a boyfriend ?,Ko huyu karidhika na maisha ya uzinzi haolewiHuyo Belo inawezekana ndo Boy friend Mwenyewe nendeni PM mkakumbushane ya Zamani
Bila kusahau chonjo familysRIP Chicco. Kuna namna alitusaidia kimawazo kama familia tulipopitia magumu. Ilisaidia kupata suluhisho fulani kwa haraka.
Alikua na madhaifu yake ikiwemo kuonea huruma majambazi na kupenda chini.
Nadhani ni kamanda wa mwisho mwisho kuwa 'wanapokelewa' na 'wazee' wa moshi. Dizaini ya kina Sambeke Mawalla Kisinani n.k.
We hauko mbali sana na mtszamo Wangu kwa wanyanganyiKama alikuwa polisi i dont have respect for him, ni mnyang'anyi tu kama wenzake