Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
N way may be enzi hizo sikuwa najua siasa....A
litekeleza vyote if that is the cae. mimi nilikuwa naona mabomu ya machozi kwa wapinzania. Magari ni ishu ya ndani kuijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
N way may be enzi hizo sikuwa najua siasa....A
litekeleza vyote if that is the cae. mimi nilikuwa naona mabomu ya machozi kwa wapinzania. Magari ni ishu ya ndani kuijua
Ni kama unavyoona wapinzania wanavyofungwa, mabomu ya machozi.... haya hayakuanza leoN way may be enzi hizo sikuwa najua siasa....
Mwaka gani iyo old moshi? Boyfriend wangu alisoma hapoChiko alikuwa rafiki yake Mahita na alikuwa ana hisa kwenye mabasi ya Buffalo ,professional alikuwa ni baharia.Namkumbuka alikuwa mgeni rasmi kwenye graduation Old Moshi Secondary
Kamanda msela msela yule,
niko darasa la tano nakutana nae kila siku asubuhi nikienda shule akifanya joging peke yake bila ya bodyguard ,tulikua tunaishi same neighbourhood,alikuwa anawajali sana wamama.
rip
Mwaka gani iyo old moshi? Boyfriend wangu alisoma hapo
Mwanzoni mwa miaka ya 2000sMwaka gani iyo old moshi? Boyfriend wangu alisoma hapo
Wa nasubiri akufe kwanza ndo wafanye kuanza kumwagikaKumbe mnakuwa na habari za kutosha kuwahusu wakubwa halafu mnakaa kimya
Imetokea asubuhi hii, Mazishi yatafanyika leo saa kumi jion katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.
RIP kamanda Mohammed Chico, Inna lillaah wainnaa ilayhi raajiuun
Hii ni JF, ukiona mtu ameandika kitu lazima ufikili into 3D tena ikiwezekana differentiate and then integrate.Huyo Belo inawezekana ndo Boy friend Mwenyewe nendeni PM mkakumbushane ya Zamani
Vitoto vya juzi bwana!Ndiyo ninyi eti munaimba mabadiliko ilhali hata historia ya nchi yenu hamuifahamu vyema!Huyo chiko ni nani?
Nimefurahishwa na jibu lako gtUkisikia mtu anafika kustaafu hiyo sio mapema tena
mm sina shida ya kukufahamu ww au Huyo aliye kufa kwasbabu najua kizazi cha ccm hivyo ndivyo mnazidi kupukutika.Vitoto vya juzi bwana!Ndiyo ninyi eti munaimba mabadiliko ilhali hata historia ya nchi yenu hamuifahamu vyema!
Ukiona umehamishwa toka mkoani (RPC) umerudishwa makao makuu hiyo ni adhabu,mikoani kuna madili ya hela mengi sana na hakuna kufuatiliana,makao makuu utabaki kusoma magazeti tuR.I.P Chico kuna kipindi alipelekwa makao makuu akawa anasoma tu magazeti sijui alifanya nini
AiseeeeHaha chiko Alikuwa anakula kabang... Ya jamaa anaitwa jafary WA jj telecom moshi huyu jamaa alimchoma dereva fulani hivi moto na yule dereva alifariki, kisa na sababu za kumchoma wanazozijua wao. kisha jj akafunguliwa mashaka akipanda kizimbani.. ilikuwa warombo siku ya kesi wanakodi madcm wanajaa mahakamani jamaa akahukumiwa kifungo nadhani cha maisha akahamishiwa maweni tanga Baada ya wiki akaonekana uarabuni[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] na hiiya kuonana tanga iliripotiwa na km sikosei mwananchi au nipashe
Wakati huo alikuwepo Juma Ng'wana ng'waka kwa ArushaKilimanjaro bwana.. Arusha alikuwebo hasimu wake James Kombe R.I.P