Kamari imeharibu kila kitu kwenye maisha yangu

Pole sana ndugu, nilipoona tu hiyo "tyuu" nikabaini kweli unachangamoto.
 
Chai
 
Serikali ipige Pini betting nchini,
Vijana na Uchumi upone.
 
Aah mkuu...umemuelewa lakni au umesema tu asiache bettiy
 
🤣🤣Pole mkuu kimbia mbali na betting
 
Sasa uo upumbavu cndo betting yenywe mkuu?imemfnya alipo leo
 
🤣🤣Pole mkuu kimbia mbali na betting
 
Me betting siwezi acha ndio kazi hii nimesomea Nina degree na ndio naendeshea familia inapata Nuru Kwa hiyo kazi.
 
Ushapigwa wewe ndio maana umejua huu mchezo ni hatari hahaha hii kazi ni ya wachache mzee wewe huna bahati nayo
Hapana cio hvo ila hmna bahati hapo endlea nayo na IPO cku utakumbuka kuwa hakun kitu utapata hpo
 
Hapana cio hvo ila hmna bahati hapo endlea nayo na IPO cku utakumbuka kuwa hakun kitu utapata hpo
Umejuaje kama hamna bahati kama hujawahi kuchezea kichapo hahahaha betting sio ya masikini mzee tafuta kazi nyingine sababu masikini Hana bahati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…