Kamari imeharibu kila kitu kwenye maisha yangu

Kamari imeharibu kila kitu kwenye maisha yangu

Wewe ndo umeniona cjui pengine nalielwa tofauti...nakataka utoe maana yake unayojua wewe
Addicted ni kitu chochote ambacho unazidisha ambacho kitakuletea madhara Sasa ndio nakushangaa unaniita Mimi addicted wa betting ndio maana nikakuambia hata wewe unaweza kupata hasara ya kapoteza maisha Kwa kunywa maji tu endapo ukizidisha
 
Addicted ni kitu chochote ambacho unazidisha ambacho kitakuletea madhara Sasa ndio nakushangaa unaniita Mimi addicted wa betting ndio maana nikakuambia hata wewe unaweza kupata hasara ya kapoteza maisha Kwa kunywa maji tu endapo ukizidisha
Nikuulize swali,wewe hapo unaweza kuacha kubet
 
Any way pole sana kijana...pole mno..dawa unayo ww mwenyewe..dawa ni kuamua tuu...
 
Moja ya kitu ambacho sitokuja kufanya wala kujaribu ni kubet, Kubet ni addiction mbaya sana
Kuna Jamaa alikuwa na hela zake kama 12M akanunua Kiwanja, nyingine iliyobaki akafungua duka, sasa pale alipofungua duka kulikuwa kuna Dubwi akawa anaona vile raia wakidumbukiza 200 wanatoka na 16,000,22,000,40,000 na yeye akajiingiza. Mbona baada ya miezi alifunga duka. Sasa hivi kajiingiza kwenye kubet.
 
Kuna Jamaa alikuwa na hela zake kama 12M akanunua Kiwanja, nyingine iliyobaki akafungua duka, sasa pale alipofungua duka kulikuwa kuna Dubwi akawa anaona vile raia wakidumbukiza 200 wanatoka na 16,000,22,000,40,000 na yeye akajiingiza. Mbona baada ya miezi alifunga duka. Sasa hivi kajiingiza kwenye kubet.
Alfu bado Kuna mtu anasema kubet sio tatizo..ety tatizo n mtu mwenyw sijui imekaa vp hyo?
 
Kwanza nitangulize salamu zangu kwa wanajamvi wote humu ndani, Tumsifu yesu kristo, Asaalam Aleykum.
Mimi ni kijana wa miaka 26 (me) elimu yangu ya juu ni degree ya tourim managment niliyoipata SUA miaka 2 iliyopita.

Kiufupi Mimi ni muumin mzuri wa biashara hivyo basi baada ya kuhitimu elimu yangu pale SUA mwaka 2022 nilikuwa nmefankiwa kukusanya kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya kufanya biashara na kweli nilirudi mkoani kwangu na kufungua biashara ya kuuza vyombo vya ndani katika soko la kilombero, Hivyo kwangu cheti hakikua na maana yoyote ile kwani nia yangu ilikuwa niwe mfanya biashara mkubwa tuu hivyo cheti cha form six na chuo vyote sikuchukua kwani sikua na mpango ata theluthi moja wa kuajiriwa.

Hivyo basi ubongo na akili niliviboost kimapacha ili nikue kibiashara na kweli mambo yalikuwa poa, huku classmate wangu wengne wakitafta ajira. Mpaka kufika mwaka jana mwezi wa 8(august) nikuwa na kiasi cha 4 million.

Basi bhana kuna siku classmate wangu mmoja alniomba tukutane mtaa flani iv na me nkaenda kweli kumskilza ila kwa bahati mbaya alkua kwenye nyumba ya michezo ya bahati na sibu bas bhana tukapiga story na nkamuomba anielekeze namna ya kubeti alooooo hapo ndo nilipo jiloga mwenyewe kwani kwa siku ile nilkula kama elfu 78 kwa dau la 2500 nkasema mbona pesa apa ni chap chap.

WAKUU kuanzia hapo nilkuwa mkamaria mzuri yaan mpaka kuna time nlikua naacha ofisi yenyewe naenda kupambana na betting niwe mkweli betting imeniharibu vibaya mnoo na kunifilisi kila kitu nlichokuwa nacho apa nlipo sina simu wala ata senti moja.

BETTING imeharibu si tu uchumi wangu ata mahusiano na jamii,ndugu,pamoja na marafiki kwan uaminifu tena na mimi hawana PILI betting imenipotezea hisia za mapenzi, hofu ya mungu pamoja na ladha ya chakula kiufupi tyuu saiv akili na ubongo kila kukicha ni kuwaza betting na nimekuwa nikishinda kwenye nyumba za betting kuanzia asubuhi ad wanafunga yaani kula yangu yenyewe ad nipige ukware nikipata buku nile jero na jero nibaahatishe bahati yangu lakini nmeambulia kuwa mtu wa kujilaumu ad kna mda natamani tyuu bora nife coz I am great loser en dis is painful to me always en am lose hope,light en love.

NOW tumain pekee la kwa nini niishi ni namhurumia mwanangu pamoja na mam yake vip wataishi? ni heri nichechemee hivi hivi huku nikifurahia tabasamu la kachanga kangu though sijui now ako na two month nlichomudu kumnunulia ni kofia mbili tyuuu that too bad to how dis fucking aibu inantafuna.
Pole sana. Ukicheza kamari ni muhimu sana ujue muda wa kuingia na kutoka. Kama huujui basi jitenge na huo mchezo.
 
Maji kama binadamu ni lazima unywe huwezi acha nitofauti na betting cio lazima na ukiacha unapata faida kuliko hasara
Umejiona ambavyo huna akili mzee yaani sehemu ambayo naona inaniingizia pesa ambayo ndio Kila kitu duniani niache halafu nitakula mchanga sio
 
Umejiona ambavyo huna akili mzee yaani sehemu ambayo naona inaniingizia pesa ambayo ndio Kila kitu duniani niache halafu nitakula mchanga sio
Ase kweli tupo tofauti...nilichokielewa wewe betting ndio ajira yako na umeifanya kuwa ndo sehemu ya maisha yako ni sawa na unachojibu
 
Ase kweli tupo tofauti...nilichokielewa wewe betting ndio ajira yako na umeifanya kuwa ndo sehemu ya maisha yako ni sawa na unachojibu
Ndio maana yake betting sio ajira ya Kila mtu Bali ni ya watu wachache tunaojielewa ukiona mtu anasema betting mbaya ujue sio kazi yake atafute kazi nyingine
 
Back
Top Bottom