Kamari imeharibu kila kitu kwenye maisha yangu

Kamari imeharibu kila kitu kwenye maisha yangu

Kwanza nitangulize salamu zangu kwa wanajamvi wote humu ndani, Tumsifu yesu kristo, Asaalam Aleykum.
Mimi ni kijana wa miaka 26 (me) elimu yangu ya juu ni degree ya tourim managment niliyoipata SUA miaka 2 iliyopita.

Kiufupi Mimi ni muumin mzuri wa biashara hivyo basi baada ya kuhitimu elimu yangu pale SUA mwaka 2022 nilikuwa nmefankiwa kukusanya kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya kufanya biashara na kweli nilirudi mkoani kwangu na kufungua biashara ya kuuza vyombo vya ndani katika soko la kilombero, Hivyo kwangu cheti hakikua na maana yoyote ile kwani nia yangu ilikuwa niwe mfanya biashara mkubwa tuu hivyo cheti cha form six na chuo vyote sikuchukua kwani sikua na mpango ata theluthi moja wa kuajiriwa.

Hivyo basi ubongo na akili niliviboost kimapacha ili nikue kibiashara na kweli mambo yalikuwa poa, huku classmate wangu wengne wakitafta ajira. Mpaka kufika mwaka jana mwezi wa 8(august) nikuwa na kiasi cha 4 million.

Basi bhana kuna siku classmate wangu mmoja alniomba tukutane mtaa flani iv na me nkaenda kweli kumskilza ila kwa bahati mbaya alkua kwenye nyumba ya michezo ya bahati na sibu bas bhana tukapiga story na nkamuomba anielekeze namna ya kubeti alooooo hapo ndo nilipo jiloga mwenyewe kwani kwa siku ile nilkula kama elfu 78 kwa dau la 2500 nkasema mbona pesa apa ni chap chap.

WAKUU kuanzia hapo nilkuwa mkamaria mzuri yaan mpaka kuna time nlikua naacha ofisi yenyewe naenda kupambana na betting niwe mkweli betting imeniharibu vibaya mnoo na kunifilisi kila kitu nlichokuwa nacho apa nlipo sina simu wala ata senti moja.

BETTING imeharibu si tu uchumi wangu ata mahusiano na jamii,ndugu,pamoja na marafiki kwan uaminifu tena na mimi hawana PILI betting imenipotezea hisia za mapenzi, hofu ya mungu pamoja na ladha ya chakula kiufupi tyuu saiv akili na ubongo kila kukicha ni kuwaza betting na nimekuwa nikishinda kwenye nyumba za betting kuanzia asubuhi ad wanafunga yaani kula yangu yenyewe ad nipige ukware nikipata buku nile jero na jero nibaahatishe bahati yangu lakini nmeambulia kuwa mtu wa kujilaumu ad kna mda natamani tyuu bora nife coz I am great loser en dis is painful to me always en am lose hope,light en love.

NOW tumain pekee la kwa nini niishi ni namhurumia mwanangu pamoja na mam yake vip wataishi? ni heri nichechemee hivi hivi huku nikifurahia tabasamu la kachanga kangu though sijui now ako na two month nlichomudu kumnunulia ni kofia mbili tyuuu that too bad to how dis fucking aibu inantafuna.
Pole sana kaka,Cha msingi tuliza akili tafuta namna nzuri ya kuanza upya. Tafuta kitu kingine cha kuanza kufanya tengeneza upya Iman Kwa watu waweze kukuamin Tena ,kingine unaweza tafuta vitabu vya maarifa kuweza kusoma Ili kujua unaanzia wapi na ufanye kitu gani!!!!focus umtengenezee mwanao maisha Bora pamoja na mama watoto wako.
 
Betting haijawahi kuwa tatizo,tatizo ni akili za mtu anayebeti.

Kitendo cha kufunga ofisi ukashinde banda la kamari,hili nalo unailaumu kamali??
Kwani ukibetia ofisini kwako kuna tatizo gani??

Wenyewe wanakwambia kwanza hakikisha unatumia pesa ambayo huna malengo nayo makubwa,kwa vyovyote itakuwa ni ndogo tu,halafu hakikisha uwe na uwezo wa kuipoteza,yaani ikiondoka sio unapagawa,kingine jifunze tabia halisi ya mpira,hautabiriki.

By the way ukiona betting haikufai jaribu mapenzi,au pombe ujiue au uanguke mtaroni waondoke na marinda.
 
Betting haijawahi kuwa tatizo,tatizo ni akili za mtu anayebeti.

Kitendo cha kufunga ofisi ukashinde banda la kamari,hili nalo unailaumu kamali??
Kwani ukibetia ofisini kwako kuna tatizo gani??

Wenyewe wanakwambia kwanza hakikisha unatumia pesa ambayo huna malengo nayo makubwa,kwa vyovyote itakuwa ni ndogo tu,halafu hakikisha uwe na uwezo wa kuipoteza,yaani ikiondoka sio unapagawa,kingine jifunze tabia halisi ya mpira,hautabiriki.

By the way ukiona betting haikufai jaribu mapenzi,au pombe ujiue au uanguke mtaroni waondoke na marinda.
Sijui ila nadhani ungepaswa kutoa ushauri... betting ni tatizo Kwa vijana wengi si huyo tu. Cha msingi apambne kuondkan na hyo hali
 
Betting sio tatizo ila wewe hujitambui Mimi mbona ninabet ila sijawahi kuwa addicted angalia hizo ticket zangu tatizo lako mtoa thread tamaa yaani tamaa na betting ni vitu viwili tofauti lazima ufeli
 

Attachments

  • Screenshot_20240703-125551.jpg
    Screenshot_20240703-125551.jpg
    446.4 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240703-125545.jpg
    Screenshot_20240703-125545.jpg
    404.1 KB · Views: 6
Uzembe upo na nimejizungumzia Mimi? Nionyeshe sehemu nilipogeneralize kwenye andiko langu ili niione huo uzembe.

Baada ya hapo, kama ni mtu timamu huwezi kushindwa kung'amua cha kufanya. Inaonekana umekuja race town sio
Uandishi mwingine wa kizembe huu => so narrow-minded
 
Haiwezekan hyo broo...hyo n tofauti na betting
Utofauti umeuweka wewe sio Mimi Kila mtu na mawazo yake. Ndio maana nikakuambia Kwa mawazo yako unayoleta hata wewe ni addicted naona hata maana ya addicted hujui
 
Utofauti umeuweka wewe sio Mimi Kila mtu na mawazo yake. Ndio maana nikakuambia Kwa mawazo yako unayoleta hata wewe ni addicted wa maji..

Utofauti umeuweka wewe sio Mimi Kila mtu na mawazo yake. Ndio maana nikakuambia Kwa mawazo yako unayoleta hata wewe ni addicted naona hata maana ya addicted hujui
Aah ni mawazo tu hayo
 
ndugu mwaka huu mwanzoni nliamua kuikimbia lkn uez amini mwez wa 5 nlirudi kwa kasi ya ajabu na imeshanilevya nawish niiende cjui pori gani nkakae kwa muda at wa mwaka ili niitibu kwanza akili na kuieka swa
Kwa huu uandishi wako uliwezaje kusoma SUA?
 
Back
Top Bottom