Kamari yatafuna Taifa kimya kimya, Serikali ilizazame hili kwa makini

Kamari yatafuna Taifa kimya kimya, Serikali ilizazame hili kwa makini

Namna sahihi ya kumsaidia Mtu aliyezoea kubet kwanza ni kumsaidia apate shughul nzuri itayompa kipato cha uhakika na itakayomkeep busy pia wapandishiwe Kodi mfano kama kashinda 10000 serikali ichukue 4500
 
Serikali Ipo Ila Ina Usingizi Mzito Na Inatoa Ute Na Kukoroma
Viongozi Wa Serikali Na Wabunge Ndiyo Wenye Biashara Ya Betting
SportPesa Ya Nani?
Wakati Wa Mzilankende Baadhi Ya Viongozi Wa Dini Walipiga Kelele Ikulu Kuwa Betting Ni Haram Sasa Iweje Matangazo Kila Kona
Inamiwani ya mbao voice from hayati MH DEO FILIKUNJOMBE RIP
 
Salaam,Shalom!!

Nimesoma tafiti iliyofanywa na Taasisi inayotambulika Kwa Jina la SAUTI KUBWA: Isemayo. " Kamari yatafuna Taifa kimya kimya" iliyoandikwa na mwandishi aitwaye, Arodia Peter , makala hiyo imeandikwa 24 April 2024.

Kwa uchache nasummarize;

Ripoti ya Taasisi ya Utafiti na kupunguza Umaskini Tanzania ( REPOA) ya mwaka 2019, inasema, VYUO vyetu Kwa ujumla wake, vinatoa wahitimu Milioni Moja 1,000,000 Kila mwaka ukilinganisha na nafasi 250,000 zitolewazo na Serikali Kila mwaka.

Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS) katika Ripoti yake ya mwaka 2017/2018, inaonyesha kuwa ajira katika sekta binafsi ilishuka Kutoka nafasi 239,017 kutoka 2016/2017 Hadi ajira 137,054 mwaka 2017/2018.

Madhara ya Michezo ya kubahatisha nchini imethibitika inapunguza GDP ya Taifa sababu inatengeneza uraibu hivyo kupunguza nguvu ya kufanya KAZI na kuwaaminisha vijana kuwa betting ni mojawapo ya ajira inayoweza Kutoa kipato.

.............Mwisho wa kunukuu.......

Huu ni mwaka 2024, tatizo limeongezeka zaidi, vijana Kila mwaka wanaingia mtaani, Serikali haijishughulishi kunasaidia kupata ajira Rasmi na zisizo rasmi, wanaruhusu betting utamalaki Ili iwapunbaze wasidai Ajira.

-CHADEMA na CCM wote Kwa asilimia kubwa, wameunganishwa katika mfumo huu hadaa wa betting na hawastuki kupaza sauti.

- Simba na Yanga, asilimia kubwa wanachama wao wanabet, Kila siku wanapeleka pesa huko.

- Boda Boda na vijana wengi sasa ni kubeti Kwa kwenda mbele, wapo wanaobet Hadi 5,000 Kila siku.

- Wanafunzi kuanzia ngazi ya msingi, sekondari, na VYUO wanabet. Wanatumia boom kubeti, wa msingi na sekondari, wanatumia pocket money kubeti, nani wa kuokoa kizazi hiki?

- Wavuvi, bankers, sekta ya biashara, vauza vioski kina mangi wanabet,wakulima wanabet, kiufupi hakuna sekta iliyobaguliwa na kampuni za kubeti.


USHAURI: Ikiwa Serikali imeona Betting ni chanzo kimojawapo Cha ajira nchini na Kodi, itoke na kuwapa TUZO na kuwapongeza Kwa KAZI nzuri ya kuimarisha Uchumi wa Taifa Kwa kutengeneza ajira Rasmi na zisizo rasmi.

Salaam,Shalom!!

Nimesoma tafiti iliyofanywa na Taasisi inayotambulika Kwa Jina la SAUTI KUBWA: Isemayo. " Kamari yatafuna Taifa kimya kimya" iliyoandikwa na mwandishi aitwaye, Arodia Peter , makala hiyo imeandikwa 24 April 2024.

Kwa uchache nasummarize;

Ripoti ya Taasisi ya Utafiti na kupunguza Umaskini Tanzania ( REPOA) ya mwaka 2019, inasema, VYUO vyetu Kwa ujumla wake, vinatoa wahitimu Milioni Moja 1,000,000 Kila mwaka ukilinganisha na nafasi 250,000 zitolewazo na Serikali Kila mwaka.

Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS) katika Ripoti yake ya mwaka 2017/2018, inaonyesha kuwa ajira katika sekta binafsi ilishuka Kutoka nafasi 239,017 kutoka 2016/2017 Hadi ajira 137,054 mwaka 2017/2018.

Madhara ya Michezo ya kubahatisha nchini imethibitika inapunguza GDP ya Taifa sababu inatengeneza uraibu hivyo kupunguza nguvu ya kufanya KAZI na kuwaaminisha vijana kuwa betting ni mojawapo ya ajira inayoweza Kutoa kipato.

.............Mwisho wa kunukuu.......

Huu ni mwaka 2024, tatizo limeongezeka zaidi, vijana Kila mwaka wanaingia mtaani, Serikali haijishughulishi kunasaidia kupata ajira Rasmi na zisizo rasmi, wanaruhusu betting utamalaki Ili iwapunbaze wasidai Ajira.

-CHADEMA na CCM wote Kwa asilimia kubwa, wameunganishwa katika mfumo huu hadaa wa betting na hawastuki kupaza sauti.

- Simba na Yanga, asilimia kubwa wanachama wao wanabet, Kila siku wanapeleka pesa huko.

- Boda Boda na vijana wengi sasa ni kubeti Kwa kwenda mbele, wapo wanaobet Hadi 5,000 Kila siku.

- Wanafunzi kuanzia ngazi ya msingi, sekondari, na VYUO wanabet. Wanatumia boom kubeti, wa msingi na sekondari, wanatumia pocket money kubeti, nani wa kuokoa kizazi hiki?

- Wavuvi, bankers, sekta ya biashara, vauza vioski kina mangi wanabet,wakulima wanabet, kiufupi hakuna sekta iliyobaguliwa na kampuni za kubeti.


USHAURI: Ikiwa Serikali imeona Betting ni chanzo kimojawapo Cha ajira nchini na Kodi, itoke na kuwapa TUZO na kuwapongeza Kwa KAZI nzuri ya kuimarisha Uchumi wa Taifa Kwa kutengeneza ajira Rasmi na zisizo rasmi.

KARIBUNI 🙏, Kwa maoni na ushauri kuhusiana na sekta hii muhimu inayoibukia na kuongoza Kutoa fursa za Uchumi wa Hasa vijana ijulikanayo kama "UCHUMI WA KUBAHATISHA".

Karibuni 🙏.


Kamari imenirudisha nyuma sana imenisabishia madeni Kila Kona.
Nimepoteza marafiki.
Mungu ingilia kati Kwa uwezo wangu nimefeli.

KARIBUNI 🙏, Kwa maoni na ushauri kuhusiana na sekta hii muhimu inayoibukia na kuongoza Kutoa fursa za Uchumi wa Hasa vijana ijulikanayo kama "UCHUMI WA KUBAHATISHA".
Karibuni 🙏.
Hakuna mtu anaweza kujenga maisha yake kwa kubeti. Kamari iko kumnufaisha mchezeshaji na kumfilisi mchezaji. Ndivyo ilikua tangu mwanzo na itabakia hivyo milele. Wachezeshaji watakutia moyo na kukuhadithia watu waliyofanikiwa kwa kucheza kamari. Watawaweka bandia kukoonyesha na kuwasikia hadi BBC ili kukutia moyo kucheza kamari ila mwisho utafilisika na hela zako kuhamia kwa mchezeshaji wa kamari. Kuna matajiri wanacheza kamari kama kujifurahisha au wana ughaibu kutoka vyanzo vya mapatp mengine. Wewe bodaboada kinyozi mlala hoi usicheze kamari utaangamia.
 
Back
Top Bottom