Macomment gani mkuu๐๐๐Tatizo hamasa hakuna๐๐๐
Hapa nkianza kukuperuzi ntakuta makoment yako hayooo๐๐๐
Mbona huku mwanza zinapiga mzigo tu,ilete huku tufanye biasharaNikasema,kwakua vyuma vimebadana ngoja nijisachi nichukue Wish nimpe mtu aniletee chochote jion, mara vuuu Kafulila analipuka uko kijijini kwetu kuwa hakuna gari ndogo kufanya kazi. nikasema:, nichukue tu nitapeleka Mkoa mwingine, sijakaa sawa, kwa kuwa hii ni Nchi ya kufuata sera za matukio, ngazi ya mwisho nayo pia ikakazia kuwa sasa ni Tanzania mzima hakuna gari dogo kupakia abiria.
Anakutania kwa kweli we huna mambo ya ovyoMacomment gani mkuu๐๐๐
Gari: Toyota Altezza
Engine: 1G-FE. 1998cc i6
Status: Clean
Bei: 6.5M
Contacts: 0746968020View attachment 2298389View attachment 2298390View attachment 2298392View attachment 2298391hii
Hii sio engine ya 1gGari: Toyota Altezza
Engine: 1G-FE. 1998cc i6
Status: Clean
Bei: 6.5M
Contacts: 0746968020View attachment 2298389View attachment 2298390View attachment 2298392View attachment 2298391View attachment 2298399
View attachment 2298399
Ila binadamu tuna mapungufu, nna uhakika mambo ya hovyo yapo๐Anakutania kwa kweli we huna mambo ya ovyo
Kitu dzm bado mma kabisa hikiGari: Crown Royal Saloon GRS18O
Engine: 4GR-FSE 2.5L V6
Status: Mint Condition (Reg. DZM)
Bei: 13.5M
Contact: 0746968020View attachment 2301231View attachment 2301232View attachment 2301233View attachment 2301235
Aaah we mtoto ๐๐ป๐๐ป๐๐ป๐๐๐๐๐๐๐ ntalalanaviatuafadhalikwwnza๐Macomment gani mkuu๐๐๐
๐๐ usiogope mkuu,Aaah we mtoto ๐๐ป๐๐ป๐๐ป๐๐๐๐๐๐๐ ntalalanaviatuafadhalikwwnza๐
hahhahah boss unataka kila anaetaka kuuza gari ake asubiri iaribike kwanza tutatoboa kweliMkuu hii kitu mbona bado iko vizuri kwanini unaiuza?
Niwekee basi pichaKilitime unapata mkuu,