Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine mtu anaacha chuma kama hiki anaenda nunua ISt for the sake of wese..em cheki kwanza lilivopaki tu ..mmepata matatizo uko mbali ni wese tu mnaibuka mkoa wowote chapuGari: Crown Royal Saloon GRS18O
Engine: 4GR-FSE 2.5L V6
Status: Mint Condition (Reg. DZM)
Bei: 13.5M
Contact: 0746968020View attachment 2301231View attachment 2301232View attachment 2301233View attachment 2301235UPDATE: SOLD!!!
Hahahaha wewe una uelewa na gari, wengine gari isile mafuta 😂😂😂 ndio kigezoImagine mtu anaacha chuma kama hiki anaenda nunua ISt for the sake of wese..em cheki kwanza lilivopaki tu ..mmepata matatizo uko mbali ni wese tu mnaibuka mkoa wowote chapu
Gari kwangu cha kwanza ni engine ipo vipi .. body lake ,, maswala ya mafuta huwa ni badae sana
Mbona nilipo Bado zinapakia,??Nikasema,kwakua vyuma vimebadana ngoja nijisachi nichukue Wish nimpe mtu aniletee chochote jion, mara vuuu Kafulila analipuka uko kijijini kwetu kuwa hakuna gari ndogo kufanya kazi. nikasema:, nichukue tu nitapeleka Mkoa mwingine, sijakaa sawa, kwa kuwa hii ni Nchi ya kufuata sera za matukio, ngazi ya mwisho nayo pia ikakazia kuwa sasa ni Tanzania mzima hakuna gari dogo kupakia abiria.
KabisaWakuu Hivi naweza pata gari nzuri kidogo ya mil 12 kweli??
Unapata bila shidaWakuu Hivi naweza pata gari nzuri kidogo ya mil 12 kweli??
Shukrani mkuu!Unapata bila shida