Ama kweli dunia inakwenda kasi sana.
Kwamba Dkt. Slaa, balozi wa Hayati Magufuli leo yuko korokoloni tena chini ya awamu ya 6?
Ikumbukwe hata kina Mbowe hayakuwakuta ya kuwakuta kwenye awamu ile.
Kwa hakika Mh. Kikwette, hata asipoyasemea kwa mara nyingine tena.
Chonde chonde enyi mlioko madarakani:
Kikwette na asikilizwe!
Kwamba Dkt. Slaa, balozi wa Hayati Magufuli leo yuko korokoloni tena chini ya awamu ya 6?
Ikumbukwe hata kina Mbowe hayakuwakuta ya kuwakuta kwenye awamu ile.
Kwa hakika Mh. Kikwette, hata asipoyasemea kwa mara nyingine tena.
Chonde chonde enyi mlioko madarakani:
Kikwette na asikilizwe!