- Thread starter
- #21
Kauli ya Mzee ya lini hiyo Brazaj?
Ni kwenye sakata hili hili mkuu. Sakata linanuka uvundo ajabu bi mkubwa hausikii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli ya Mzee ya lini hiyo Brazaj?
Samia kumgeuka Jakaya?!Tanzania ina laana fulani hivi mbaya:
1. Mkapa aliwekwa na Nyerere lakini hakumsikiliza na akamgeuka vibaya...
Loh na kucheka sana ni vice versa.Ni kwenye sakata hili hili mkuu. Sakata linanuka uvundo ajabu bi mkubwa hausikii.
Hapana, hao damu damu, hawajajuwana Ikulu tu.Samia kumgeuka Jakaya..?!
Hujasikia akisema mkubwa ukikosea unarekebisha Si kushupaa?Kikwete hapo anapiga porojo tu, hakuna Raisa Tanzania ambae hajakamata kamata au kwa ukweli au kwa kuifata intelijensia tu/ Mmesahau Ma Sheikh wa Uamsho?
Tena huyo saa nyingine alikuwa anafinya kijeshi tu. Mmemsahau Ulimboka?
Hujui kuwa mwaarabu ni mjomba ake Samia?Yaani Samia anamwona Mwarabu wa Dubai ni wa maana kuliko wana wa nchi hii kama Dr Slaa.
Hilo mbona ni la kawaida sana kwa muungwana yeyote. Si mpaka ukose?Hujasikia akisema mkubwa ukikosea unarekebisha Si kushupaa?
Pia ulisema wanaopinga mkataba wa Bandari ni wakristo, Mzee huyo dini Gani, Kinana dini Gani!Kikwete hapo anapiga porojo tu, hakuna Raisa Tanzania ambae hajakamata kamata au kwa ukweli au kwa kuifata intelijensia tu/ Mmesahau Ma Sheikh wa Uamsho?
Tena huyo saa nyingine alikuwa anafinya kijeshi tu. Mmemsahau Ulimboka?
Kama ni kawaida mbona mkuu hakubali vifungu BATILI kurudishwa bungeni Ili kufutiliwa mbali?Hilo mbona ni la kawaida sana kwa muungwana yeyote. Si mpaka ukose?
Hao ni fikra zako zinakutuma, sijawasikia wala kuwaona walipoupinga mkataba. Tuoneshe wapi?Pia ulisema wanaopinga mkataba wa Bandari ni wakristo, Mzee huyo dini Gani, Kinana dini Gani!
Wote hao wazee wamesema vifungu vyenye utata virekebishwe!!Hao ni fikra zako zinakutuma, sijawasikia wala kuwaona walipoupinga mkataba. Tuoneshe wapi?
Wewe ni Muislam?
Kijana, hilo limeshatolewa ufafanuzi na kila mtu.Wote hao wazee wamesema vifungu vyenye utata virekebishwe!!
Mimi ni Mtanzania, dini yangu haikusaidii chochote!!!
1. Hatutaki migogoro kutatuliwa nje ya nchi ilhali HGA zinatumia SHERIA zandani!!Kijana, hilo limeshatolewa ufafanuzi na kila mtu....
TLS wametoa list ya vifungu vingi ambavyo havina maslahi kwetu ktk mkataba ule, katafute uchambuzi wao wa kisomi sana utaona.Kijana, hilo limeshatolewa ufafanuzi na kila mtu.
Hakuna kifungu chenye utata na HGA na concession agreements ndiyo zenye ukomo. Zenye kuonesha kapewa nini akifanyie kazi, kwa muda gani, kwa malipo yepi...