Ana point asikilizwe atafika mbali.Ama kweli dunia inakwenda kasi sana.
Kwamba Dk. Slaa, balozi wa JPM leo yuko korokoloni tena chini ya awamu ya 6...
Sijui ana maslahi gani binafsi ambayo watu woote hayaoni?Mama anajiharibia mwenyewe. Kwanini analazimisha DP WORLD wapewe hiyo bandari kwa masharti mabovu?
Kwanini anasingizia wanaopinga kuwa ni wahaini?
Sio moja bro ni zoteMama anajiharibia mwenyewe. Kwanini analazimisha DP WORLD wapewe hiyo bandari kwa masharti mabovu?
Kwanini anasingizia wanaopinga kuwa ni wahaini?
Hataki kuamini kwamba sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Amegeuka kuwa mtesi, anabambikiza watu makosa, anajisahaulisha kwamba haki huinua taifaSijui ana maslahi gani binafsi ambayo watu woote hayaoni?
Mbaya zaidi hadi za kwenye maziwa.
Kwamba hakujifunza kwa Mtangulizi wake? Sotaki kuamini kwamba haya ni maagizo yake. NeverHataki kuamini kwamba sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Amegeuka kuwa mtesi, anabambikiza watu makosa, anajisahaulisha kwamba haki huinua taifa
Kakosa nguvu afanyajeMama anajiharibia mwenyewe. Kwanini analazimisha DP WORLD wapewe hiyo bandari kwa masharti mabovu?
Kwanini anasingizia wanaopinga kuwa ni wahaini?
Nani atafika mbali akisikizwa ambako hajafika Bado?Ana point asikilizwe atafika mbali.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] leo mnamuomba kikwete asikilizwe hahahahah na bado.
Huyu dogo ni mtoto wangu, rudisheni jina lake...😂🤣
Leo amedondosha remote controlAma kweli dunia inakwenda kasi sana.
Kwamba Dk. Slaa, balozi wa JPM leo yuko korokoloni tena chini ya awamu ya 6...
Ha ha ha[emoji23]Huyu dogo ni mtoto wangu, rudisheni jina lake...[emoji23][emoji1787]