LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
Isije ikawa huo mtindo haujapata ithibati toka tbs na hautengenezwi na yale makampuni yanayopata kandarasi serikalini kutengeneza namba hizo. Au wenye kutengeneza plate number wa awali wamechukia namba zao kutunishwa na watu wengine ikabidi walete unaa kuwa namba zao zinafojiwa