Kamata kamata ya viongozi wa chadema, CHAMA hiki kinazidi kukuwa ndani na nje nchi

Kamata kamata ya viongozi wa chadema, CHAMA hiki kinazidi kukuwa ndani na nje nchi

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.

Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.

Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu.

Kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.
Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.
Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu . kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Mungu ibariki CHADEMA na waangushe wote wanaokinenea ama kuitendea uovu.
 
Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.
Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.
Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu . kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Gentleman,
yeyote atakae kiuka sheria za nchi atawajibishwa ipasavyo bila kumcheleweshwa hata sekunde moja,

maana hakuna namna nyingine sasa 🐒
 
Gentleman,
yeyote atakae kiuka sheria za nchi atawajibishwa ipasavyo bila kumcheleweshwa hata sekunde moja,

maana hakuna namna nyingine sasa 🐒
PIa wale wa ununio na mapori ya wanyama wa madoa huwa wanakiuka sheria?
 
Shida haya mapambano ya vyama ni kuoneshana ubabe nguvu na kupoteza muda kwenye kutupiana maneno na kupigana vijembe.
Wote badilikeni, toeni sera imara ya vyama vyenu kuimarisha elimu, afya, uchumi, usalama n.k na pia vipi mtatekeza hiyo sera yenu na vipi vipimo vya mafanikio ya sera yenu

Haya mengine acheni wapeni wananchi mapumziko na vitu visivyo na maana
 
PIa wale wa ununio na mapori ya wanyama wa madoa huwa wanakiuka sheria?
Gentleman,
vyombo vya ulinzi na usalama nchini, haviwezi kuchelewa hata sekunde moja kukuchukulia hatua muafaka, ikiwa umekiuka sheria za nchi, iwe ni kwasababu ya ulevi wako ama vinginevyo 🐒
 
Walioshangilia kifo cha Magufuli kwamba sasa wanapata raha na kupumua wako wapi?
 
Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.
Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.
Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu . kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
CCM na vyombo vyake vya dola ni wapuuzi sana,hawajui ndiyo wanajichimbia kaburi
 
Tufarijiane kwa maneno hayo na mtu mmoja asema Amen
Chadema kuishinda CCM ni sawa Mende kuangusha
Tunahitaji upinzani wenye nguvu na wenye kauli moja huu upinzani tuliona umegawanyika vipande vipande na hauna nguvu
 
Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.
Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.
Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu . kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Ukitaka kumuua mpinzani wako mute everything kwake. Lakini baba mzima unafukuzana na kajitu kanyonge kama Chadema, ni vichekesho sana. Yaani kila kukicha potentials za Chadema zinapanda juu kila kukicha. Yaani sisi wananchi tunajiuliza kama Chadema haina kitu mbona mnahaha kiasi hicho?
 
Gentleman,
yeyote atakae kiuka sheria za nchi atawajibishwa ipasavyo bila kumcheleweshwa hata sekunde moja,

maana hakuna namna nyingine sasa 🐒
Tungekuelewa kama ungesema yeyote atakaye kiuka sheria za nchi ambaye siyo mwana ccm. Usiongee jumla jumla ili kujidai unaipenda Tanzania kuliko wote hapa.
Kuna sheria ngapi zinavunjwa huko serikalini na ccm na hakuna sheria zinazochukuliwa?
Ulishawahi kuona kiongozibtoka ccm anakamatwa na polisi hovyo?
Rage alionesha bastola kwenye kampeni huko TABORA alikamatwa?
 
Mbowe na Mdude jana walikuwa wanapakwa mafuta gerezani
Tulikuwa tunafanya siasa za kistaarabu sana lilipoingia lile jitu toka pori chato likajenga uhasama kwenye jamii yetu. Miezi mitano tu baada ya kuchaguliwa kuwa raisi 2020 chali.
 
Tungekuelewa kama ungesema yeyote atakaye kiuka sheria za nchi ambaye siyo mwana ccm. Usiongee jumla jumla ili kujidai unaipenda Tanzania kuliko wote hapa.
Kuna sheria ngapi zinavunjwa huko serikalini na ccm na hakuna sheria zinazochukuliwa?
Ulishawahi kuona kiongozibtoka ccm anakamatwa na polisi hovyo?
Rage alionesha bastola kwenye kampeni huko TABORA alikamatwa?
Gentleman,
huna haja ya kubabaika wala kua na mawenge.

Tii sheria bila shuruti, vinginevyo takabiliwa ipasavyo bila mbambamba yoyote 🐒
 
Tungekuelewa kama ungesema yeyote atakaye kiuka sheria za nchi ambaye siyo mwana ccm. Usiongee jumla jumla ili kujidai unaipenda Tanzania kuliko wote hapa.
Kuna sheria ngapi zinavunjwa huko serikalini na ccm na hakuna sheria zinazochukuliwa?
Ulishawahi kuona kiongozibtoka ccm anakamatwa na polisi hovyo?
Rage alionesha bastola kwenye kampeni huko TABORA alikamatwa?
Gentleman,
huna haja ya kubabaika wala kua na mawenge.

Tii sheria bila shuruti, vinginevyo takabiliwa ipasavyo bila mbambamba yoyote 🐒
 
Back
Top Bottom