Kamata kamata ya viongozi wa chadema, CHAMA hiki kinazidi kukuwa ndani na nje nchi

Kamata kamata ya viongozi wa chadema, CHAMA hiki kinazidi kukuwa ndani na nje nchi

Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.
Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.
Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu . kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Naunga mkono hoja Ila kwa kidore cha Kati, hivi unapajua mahabusu kweli wewe, ama soka huko aliko unahisi ni anafurahia… chama kukua ilihali wanachama wanabaki na chuki rohoni na majeraha makubwa pia pamoja na ulema sio ustawi wa jamii kabisa
 
🤣 Gentleman,

unanikumbusha mbali kichizi aise dah!
hivi ni 4 au 6 hiyo sijui hata lilikua ni novel ama nini hata sikumbuki 🤣
anyway, hiyo ibaki story tu.


Wacha nikukukumbushe jambo moja la maana na muhimu sana, gentleman,

Licha ya kwamba mimi ni mwananchi na mdau wa kawaida humu jukwaani,

Lakini pia mimi ni kiongozi wa wananchi, mbobevu muandamizi wa masuala ya kisiasa na kidiplomasia. hayo ni ya kawaida..

na ile muhimu zaidi ni kwamba,
I am unknown apostle. Sisingiziwi, sitishiwi wala kuhesabiwa haki, siku au neema na Baraka za Mungu ndani yangu.

Sipiganagi mwenywe, napiganiwa na Baba 🐒
Advanced gentleman
 
Back
Top Bottom