Kamata kamata ya viongozi wa chadema, CHAMA hiki kinazidi kukuwa ndani na nje nchi

Kamata kamata ya viongozi wa chadema, CHAMA hiki kinazidi kukuwa ndani na nje nchi

Hahahahahaha, Kazi sana mkuu, safari ni ndefu sana
Nmegundua ukombozi nikitu kigumu sana, nmetuma swali limepuuzwa kwenye kijiji changu , hapo hapo hiyobarabara wanayokanyaga nimechangia 40%
 
Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.
Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.
Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu . kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi.

Ni kweli kabisa enzi zile tulikuwa tunakatazwa kuangalia mikanda ya pilau lakini tulikuwa tunafanya kila namna ya jitihada ili tuione na kuaangalia yaliyomo
 
Kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi.

Ni kwelo kabisa enzi zile tulikuwa tunakatazwa kuangalia mikanda ya pilau lakini tulikuwa tunafanya kila namna ya jitihada ili tuione na kuaangalia yaliyomo
Kabisa mkuu una akili mingi asee
 
Mkuu sheria Tanzania, ambapo unaweza kupingia jaji simu na akamua isivyo, "rostam aziz"
hizo ni imani mgando potofu,

ukikiuka sheria utawajibishwa ipasavyo bila mbambamba yoyote gentleman 🐒
 
Pole mku
Nmegundua ukombozi nikitu kigumu sana, nmetuma swali limepuuzwa kwenye kijiji changu , hapo hapo hiyobarabara wanayokanyaga nimechangia 40%
Sana mkuu, ukombozi sio lelemama, nchi yetu tumekosa elimu bora, utamaduni wa uwajibikaji, uwadilifu, so ukombozi ni lazima watu wapoze mali uhai, na mda.
 
hizo ni imani mgando potofu,

ukikiuka sheria utawajibishwa ipasavyo bila mbambamba yoyote gentleman 🐒
Sio imani mkuu, ACHA ushabiki, hata makonda alipokuwa iringa alisema , "kama huna fedha,usipeleke kesi Yako mahakani" inawekana ww sio MTANZANIA, au umezaliwa miaka ya 2000
 
Kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi.

Ni kweli kabisa enzi zile tulikuwa tunakatazwa kuangalia mikanda ya pilau lakini tulikuwa tunafanya kila namna ya jitihada ili tuione na kuaangalia yaliyomo
Ni kweli mkuu, angalia mandamano ya chadema, yalirusiwa haya kuwa na impact yoyote kisiasa, lakini kama wangekatazwa, ndipo wangeendelea kudai mandamano, lakini saizi hausiki tena wakiandana. Ukiwa mwasiasa mzuri ni lazima ujui vzr saikolojia.
 
Sio imani mkuu, ACHA ushabiki, hata makonda alipokuwa iringa alisema , "kama huna fedha,usipeleke kesi Yako mahakani" inawekana ww sio MTANZANIA, au umezaliwa miaka ya 2000
mimi siwez kuamini mambo ya mtu mwingine kwasababu huo ni ushirkina gentleman,

utakua unashindwa kila unachopanga hata kabla ya kuanza, ukiendekeza hiyo nonsense.

Lazima ujiamini, huku ukimtanguliza Mungu kwenye mipango yako.

huo unyonge wa kukariri kushindwa ni completely useless 🐒
 
Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.
Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.
Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu . kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Ccm imeshafika mwisho....ni swala la muda tu
 
Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.
Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.
Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu . kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.


Kwenye kichwa cha Habari parekebishwe; iwe “kukua” badała ya “kukuwa”
 
mimi siwez kuamini mambo ya mtu mwingine kwasababu huo ni ushirkina gentleman,

utakua unashindwa kila unachopanga hata kabla ya kuanza, ukiendekeza hiyo nonsense.

Lazima ujiamini, huku ukimtanguliza Mungu kwenye mipango yako.

huo unyonge wa kukariri kushindwa ni completely useless 🐒
Upo sahihi, lakini mifumo ya unyonyaji inatakiwa ipingwe na kila mtu mwenye akili timamu na hofu ya Mungu, Rushwa, ufisadi,unafiki, matumizi mabaya ya madaraka, uongo nk, ni dhambi kwa Mungu gentleman.
 
Upo sahihi, lakini mifumo ya unyonyaji inatakiwa ipingwe na kila mtu mwenye akili timamu na hofu ya Mungu, Rushwa, ufisadi,unafiki, matumizi mabaya ya madaraka, uongo nk, ni dhambi kwa Mungu gentleman.
Mfumo wowote ule haupingwi kwa maneno matupu gentleman, unapingwa kwa mfumo mbadala imara zaid na bora zaid ya unadhani sio mzuri.

vile vile rushwa na ufisadi, huipiganwi kwa maneno matupu na kulalamika ndrugu zangu. where are you alternative plan to address it?

Bila kua na mawazo mapya, fikra na mipango mahususi mbadala ya kukabiliana na mfumo au rushwa, mtapiga kelele mpaka ukamilifu wa dahari.

Mungu ni wa wote gentleman,

Na tujipeleke sote kwa Mungu kadiri ya mawazo, maneno na matendo ya kila moja aliyoyafanya humu duniani 🐒
 
Back
Top Bottom