Kamata kamata ya viongozi wa chadema, CHAMA hiki kinazidi kukuwa ndani na nje nchi

Kamata kamata ya viongozi wa chadema, CHAMA hiki kinazidi kukuwa ndani na nje nchi

Gentleman,
huna haja ya kubabaika wala kua na mawenge.

Tii sheria bila shuruti, vinginevyo takabiliwa ipasavyo bila mbambamba yoyote šŸ’
Gengleman sheria ni msumeno inatakiwa ukate huku na huku
 
Chadema ccm wote ni wehu tu hapa nimetuma swali kwa chadema kwenye kijijini changu naona wamelipuuzia tu
 
Shida haya mapambano ya vyama ni kuoneshana ubabe nguvu na kupoteza muda kwenye kutupiana maneno na kupigana vijembe.
Wote badilikeni, toeni sera imara ya vyama vyenu kuimarisha elimu, afya, uchumi, usalama n.k na pia vipi mtatekeza hiyo sera yenu na vipi vipimo vya mafanikio ya sera yenu

Haya mengine acheni wapeni wananchi mapumziko na vitu visivyo na maana
Kabisa mkuu watu washindane kwa hoja,nasiokukamatana au matusi
 
Shida haya mapambano ya vyama ni kuoneshana ubabe nguvu na kupoteza muda kwenye kutupiana maneno na kupigana vijembe.
Wote badilikeni, toeni sera imara ya vyama vyenu kuimarisha elimu, afya, uchumi, usalama n.k na pia vipi mtatekeza hiyo sera yenu na vipi vipimo vya mafanikio ya sera yenu

Haya mengine acheni wapeni wananchi mapumziko na vitu visivyo na maana
Hivyo vinaimarishwa na nani wezi waliojimilikisha vyote au?
 
Na
Jamii yenye uwadilifu na uwajibikaji na katiba mpya.
Yakutoka wapi kwa mazingira ya sasa,halafu tunashangaa kwanini taifa maskini,ila waliojimilikisha ni matajiri hadi zingine wanahifadhi mataifa ya watu.
 
Yakutoka wapi kwa mazingira ya sasa,halafu tunashangaa kwanini taifa maskini,ila waliojimilikisha ni matajiri hadi zingine wanahifadhi mataifa ya watu.
Halafu hao hao wanaenda na bakuli kubwa kuenda kuomba omba, kwao wazungu wanatusha sana, "black people are really incomplete a human being"
 
Uadilifu sii sehemu ya maisha wala desturi ya watawala na wanasii hasa wa hapa kwetu.
Na hiyo ndio dawa, bila hivyo hakuna soluhisho mpaka nguvu ya uma ije amue
 
T

Chadema pia ni shit hole , kama wanaweza weka wagombea dhaifu kama hawa wana akili gani sasa?
Free man Mbowe ana stress zake ,hakutegemea kama mama angeweza badili gia angani
 
Tufarijiane kwa maneno hayo na mtu mmoja asema Amen
Chadema kuishinda CCM ni sawa Mende kuangusha
Tunahitaji upinzani wenye nguvu na wenye kauli moja huu upinzani tuliona umegawanyika vipande vipande na hauna nguvu
Mkuu nguvu ipi unayo hitaji kuliko inayoonekana upinzani kiasi cha asilimia 70% ya wagombea wao kuenguliwa nchi nzima???

Nguvu huleta hofu!!!
 
Back
Top Bottom