Kamata kamata ya viongozi wa chadema, CHAMA hiki kinazidi kukuwa ndani na nje nchi

Kamata kamata ya viongozi wa chadema, CHAMA hiki kinazidi kukuwa ndani na nje nchi

Tungekuelewa kama ungesema yeyote atakaye kiuka sheria za nchi ambaye siyo mwana ccm. Usiongee jumla jumla ili kujidai unaipenda Tanzania kuliko wote hapa.
Kuna sheria ngapi zinavunjwa huko serikalini na ccm na hakuna sheria zinazochukuliwa?
Ulishawahi kuona kiongozibtoka ccm anakamatwa na polisi hovyo?
Rage alionesha bastola kwenye kampeni huko TABORA alikamatwa?
Gentleman,
huna haja ya kubabaika wala kua na mawenge.

Tii sheria bila shuruti, vinginevyo takabiliwa ipasavyo bila mbambamba yoyote 🐒
 
Gentleman,
huna haja ya kubabaika wala kua na mawenge.

Tii sheria bila shuruti, vinginevyo takabiliwa ipasavyo bila mbambamba yoyote 🐒
Unajua maana ya kutii sheria bila shuruti wewe? Ulishwahi ona msafara wa IGP Unavyovunja sheria za barabarani wakati akitoka bar au kurudi kwake mbweni???
 
Unajua maana ya kutii sheria bila shuruti wewe? Ulishwahi ona msafara wa IGP Unavyovunja sheria za barabarani wakati akitoka bar au kurudi kwake mbweni???
kiuka sheria yoyote ya nchi, Lazima ndugu zako watakuja kukuchukulia korokoroni.

jaribu kutatiza tu hata huo msafara uone kazi ya sheria kwa vitendo 🐒
 
Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.
Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.
Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu . kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hakuna namna ccm inaweza kushindana tena na cdm kwa njia halali, na sababu hasa ccm sio chama cha kizazi hiki. Na iwapo ccm itakubali kushindana na cdm kwa njia halali, hapo ndio itakuwa mwisho wa ccm.
 
Hakuna namna ccm inaweza kushindana tena na cdm kwa njia halali, na sababu hasa ccm sio chama cha kizazi hiki. Na iwapo ccm itakubali kushindana na cdm kwa njia halali, hapo ndio itakuwa mwisho wa ccm.
Hakika njia wanayoitumia sio shahihi kabisa,
 
kiuka sheria yoyote ya nchi, Lazima ndugu zako watakuja kukuchukulia korokoroni.

jaribu kutatiza tu hata huo msafara uone kazi ya sheria kwa vitendo 🐒
Sheria eti mkuu
 
Gentleman,
huna haja ya kubabaika wala kua na mawenge.

Tii sheria bila shuruti, vinginevyo takabiliwa ipasavyo bila mbambamba yoyote 🐒
Mkuu sheria Tanzania, ambapo unaweza kupingia jaji simu na akamua isivyo, "rostam aziz"
 
Bila shaka wote ni wazima, ccm inazidi kukipaisha CHAMA cha chadema ,wakizani kuwa kwa kuwakamata viongozi wao na wanachama wa chadema kila mara ni kukizofisha CHAMA hicho,kumbe wanakipiga teke CHAMA hicho na kukiongezea safari.
Chadema inazidi kuwaingia mioyoni watu mbalilmbali ndani na nje ya nchi. Wanakifanya watu waendelee kukifatilia na kukijua zaidi hatimae kuvutiwa nacho.
Ccm wanafanya kosa la kiufundi sana kisiasa, kama CHAMA dola kuruhusu viombo vya dola kuendelea kuwakamata viongozi wa juu . kisaikolojia unapokataza watu wasifanye kitu ndivyo wataendelea kukifanya zaidi, hivyo mwakani kwa kutumia jicho la tatu chadema kitakuwa na nguvu zaidi kulinganisha na nyuma huko.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Ccm ni chama kilicho madarakani pasipo ridhaa ya wananchi ndio maana kinategemea wizi, ujambazi ,utekaji na uuaji kuendelea kubaki madarakani. Ila mwisho wao hauko mbali.
 
Kwamba kamata kamata ni Promotion Kwa CDM na ni Demotion Kwa CCM wakati huo huo.
 
Ccm ni chama kilicho madarakani pasipo ridhaa ya wananchi ndio maana kinategemea wizi, ujambazi ,utekaji na uuaji kuendelea kubaki madarakani. Ila mwisho wao hauko mbali.
Mimi najiliuza , polisi yao, yao, jeshi lao, sasa kwann wanaogopa chadema
 
Mdio
Kwamba kamata kamata ni Promotion Kwa CDM na ni Demotion Kwa CCM wakati huo huo.
Ndio mkuu, ccm thanking tank yake wanauwezo mdogo sana wa kufikilia, wanazidi kukipaisha chadema pasipo kujua
 
Mimi najiliuza , polisi yao, yao, jeshi lao, sasa kwann wanaogopa chadema
Kwa sababu hakuna la maana wanalolifanya madarakani zaidi ya wizi na ubadhilifu mkubwa wa fedha za umma. Shenzi hawa.
 
Kwa sababu hakuna la maana wanalolifanya madarakani zaidi ya wizi na ubadhilifu mkubwa wa fedha za umma. Shenzi hawa.
Kuna kundi la watu ndani ya ccm ndio wanaohalibu nchi yetu pendwa, na ccm inawakumbatia
 
Kuna kundi la watu ndani ya ccm ndio wanaohalibu nchi yetu pendwa, na ccm inawakumbatia
Hakika CCM na wanaccm wengi kwa ujumla vinatumika kama kondomu ya bei rahisi kuzinufaisha kijamii na kiuchumi familia chache sana hapa nchini.
 
Hakika CCM na wanaccm wengi kwa ujumla vinatumika kama kondomu ya bei rahisi kuzinufaisha kijamii na kiuchumi familia chache sana hapa nchini.
Na hili kundi ni dogo sana, siku tukifanikiwa kusambatisha kundi hilo ndo utakuwa mwisho wa ccm majizi, mafisadi, ccm walarushwa, ccm wezi, hawana kabisa uzalendo kwa taifa lao
 
Back
Top Bottom