Kamati iliyotoa Mapendekezo ya Kamati ya Msajili wa Vyama Kuhusu Katiba Mpya, Kisheria na Kimantiki ni Batili

Kamati iliyotoa Mapendekezo ya Kamati ya Msajili wa Vyama Kuhusu Katiba Mpya, Kisheria na Kimantiki ni Batili

Hiyo kura ya Hapana utapigia wapi wakati katiba iliyopo haikupi hiyo nafasi?

Hata ukipata nafasi ya kupiga kura ya hapana, itakuwa na maana gani wakati katiba ya sasa inasema, bila ya kujali Samia amepata kura ngapi, mahera akishamtangaza Samia kuwa ndiye Rais, huruhusiwi kuhoji popote?
Kwa kifupi CCM imebaka wananchi
 
Mimi nimekata tamaa maana bunge lenyewe ni la kina babu Tale na covid 19 sasa hata tukiletewa bunge la katiba wabunge wenyewe si ndio hawa kina kibajaji MwanaFa na babu Tale?

Madhara ya kukabidhi nchi vichaa itaendelea kuligharimu Taifa letu kwa miaka mingi ijayo.

Mfano huyu mama ndio angepokea nchi kutoka kwa JK hii kazi ingekuwa rahisi sana, lakini dhambi aliyotufanyia JK kutuletea kichaa damage aliyoacha itatugharimu kwa muda mrefu ujao.

Kwahili mnaomlaumu sana mnamuonea maana yule kichaa yeye alitamka wazi katiba siyo kipaumbele chake, angalau huyu mama anajari utu lakini wa kulaumiwa ni hao wajasiriasiasa kina Zitto Kabwe na wahuni wenzake.
Watu wanaongelea katiba ww fisadi na mwenye cheti feki unaamisha mada ,unaanza kuweweseka na marehemu JPM.

Unawewesekea wapi ,usiye na cheti cha form four ww?
 
Kauli ya Rais Samia kusema kuwa wanaotaka katiba mpya ni watumiaji wa mitandao, watanzania hawataki katiba mpya, nayo ni kauli iliyokosa weledi. Kwani wanaotumia mitandao siyo Watanzania? Rais mwenyewe anatumia twitter, ina maana na yeye siyo Mtanzania?
Hapo sasa, Inashangaza!
 
Zito anafahamika. Agenda kubwa kwake huwa na mapato yake binafsi. Mambo mengine yote huwa yanalenga ajenda yake kuu. Na yeye kuambiwa na Rais kuwa amejihakikishia kazi ya kufanya miaka 9 (ikimaanisha uhakika wa mapato yake binafsi kwa miaka 9, ni mafanikio yake makuu kwa ajenda yake kuu).

Wananchi, tunatakiwa kupuuza maamuzi ya vijikamati hivi ambavyo ni uchochoro wa kupatia pesa kwa watu waliokubali kutumika kama vibaraka wa wasiotaka watanzania wawe na katiba iliyo bora, wanayoitaka, inayoangalia maslahi ya wananchi wote.
Nasikitika tu kukueleza katiba haipatikani bila sadaka ya damu, huu ndio ukweli atakayekwambia vingine anakudanganya.

Ukraine wapo tayari kumwaga damu zao kulinda utu na Uhuru wao, lakini Watanganyika hawapo tayari kwahilo.

Tukumbuke uhitaji wa katiba mpya ni wa Watanganyika zaidi maana Wazanzibar wana katiba yao na wamepiga hatuwa wapo mbali sana, ni huyu shetani mwendakuzimu ndio aliingilia uchaguzi wao na kuuvuruga hadi Pemba ambako ccm licha ya kuiba kura miaka yote lakini Pemba walimuachia Maalim atowe wabunge na wawakilishi.
 
Kwakweli ni batili kwa asilimia mia moja na haina weledi hata chembe wa kujiita kamati ya kusimamia jukumu kubwa kama hilo
Je nini kifanyike ili kuepukana na huu ubatili unao endelea?
 
M
Rais Samia, kama anataka kufanya kazi yake vizuri, aache kila mara kuufikiria uchaguzi wa 2025. Aliwazuia wenzake wasifikirie uchaguzi wa 2025 ili abakie yeye pekee yake wa kufikiria uchaguzi wa 2025?

Aiweke akili na moyo wake huru, atapata heshima ya kudumu. Aamini kuwa anaweza kuchaguliwa kuwa Rais mwaka 2025, na anaweza asichaguliwe. Anaweza kuwepo 2025, anaweza pia asiwepo (tunaoamini katika Mungu, tunatambua kuwa maisha yetu yapo mikononi mwa Mungu wakati wote, hatujui siku wala saa ya kuondoka katika Ulimwengu huu). Anatakiwa kufanya yaliyo mema sasa maana ndio wakati alio na uhakika nao.
Mwache arekebishe Polis kama litakuja mbebea mabox 2025
 
Watu wanaongelea katiba ww fisadi na mwenye cheti feki unaamisha mada ,unaanza kuweweseka na marehemu JPM.Unawewesekea wapi ,usiye na cheti cha form four ww?
Wewe mbwa hujui chochote hapa kaa kimya, utapata katiba vipi bila kupitishwa na wabunge?

Au umejitowa akili hujui bunge ni Magufuli ndio kateuwa Wabunge? kama mpaka Chadema walichaguliwa wabunge wa viti maalum hapo kuna bunge au kundi la mahoka?

Magufuli tutaendelea kumsema kwa miaka mingi ijayo na mbele ya safari tutataka haki ya kumshtaki marehemu, huyu ni shetani aliyeacha damage kubwa kwa Taifa ambayo itaendelea kutugharimu kwa miaka mingi ijayo.
 
Tatizo Ni Kubwa Sana Yale Yale Ya Jiwe
Unateua Wabunge Mpaka Wanafika 11
Inabidi Wengine Wajiuzuru, Hapo Unajiuliza Anatea Kama Yupo Home Kwake Wakati Serikali Ina Wataalam Tele
Huwezijadili swala lililoko jukwaani hadi mtaje Hayati?

Ongelea jambo lililoko mezani.
 
South Africa ya Makaburu ilikuwa bora sana kiuchumi kuliko hiibya kina Ramaphosa.

Maeneo mengi kilio cha Katiba mpya ni kelele za wanasiasa kutafuta upenyo wa kutawala…wengi wa wanasiasa wanaopigania Katiba ni kwa maslahi yao na wanaopinga katiba mpya pia ni kwa maslahi yao japo wote wanaigiza wanaangalia Maslahi ya Raia na Nchi

Huoni maeneo yote panapotokea mizozo ya Uchaguzi suluhu huwa ni kugawana madaraka badala ya kuitisha tena uchaguzi au kukomaa kurekebisha kasoro
Ni kwa nini sasa viongozi wetu wanatia ubatili katika kupatikana kwa katiba nzuri? Uzuri wa katiba ndio umepelekea Kenya na South Africa kung'ara kiuchumi
 

Katiba Mpya,itapatikana kwa njia rahisi kwa kupiga Kura Za hapana kwa Samia.​

Pia tutaondokana na Muungano.​

Kwa Tume HURU ya vishoka akina Zito?

Hata kama wananchi wote hawatoenda kupiga kura, BADO Mtemi Hangaya atapata 'ushindi' wa kishindo.

Watu wa kutengeneza NAMBA zinazohitajika. Na wakishatangaza hakuna kuhoji tena.
 
Ndio mambo ya Mjini na ndio sababu aliwa frustrate Watani zake wakasusa kuingia kwny hii kamati…sasa hivi yeye ndio Tycoon pale anawaburuza atakavyo
Waulizeni kina Zitto Kabwe ndio wamepewa jukumu na uhakika wa posho kwa miaka 9 ijayo.
 
Ni kweli, ka mwaka 2015, tungempata Rais mwenye hekima na akili japo ya wastani, sahizi tusingekuwa hapa tulipo.

Najua ugumu anaoupata Samia. Anajitahidi kukwepa hili genge la wahuni waliojazwa bungeni na Magufuli lisihusike na katiba mpya.

Tunamwomba aweke wazi hili tatizo la kutokuwa na wabunge wawakilishi wa wananchi ili wananchi waamue ni namna gani Bunge la katiba litengenezwe bila ya kuhusisha hawa wahuni walioteuliwa na Magufuli kuwa wabunge.
Hivi wakati mwingine huwa mnaongea na akili za kibangi!
 
Binafsi jana sijaelewa chochote zaidi watu fulani kupata fursa ya kula bata vikaoni
 
Ndio mambo ya Mjini na ndio sababu aliwa frustrate Watani zake wakasusa kuingia kwny hii kamati…sasa hivi yeye ndio Tycoon pale anawaburuza atakavyo
Hivi tuseme mama leo aseme haya tuandike katiba, kwa bunge lipi la kufanya endorsement?

Hilihili bunge aliloliteuwa Magufuli la kina babu Tale?
 
Rais Samia, kama anataka kufanya kazi yake vizuri, aache kila mara kuufikiria uchaguzi wa 2025. Aliwazuia wenzake wasifikirie uchaguzi wa 2025 ili abakie yeye pekee yake wa kufikiria uchaguzi wa 2025?

Aiweke akili na moyo wake huru, atapata heshima ya kudumu. Aamini kuwa anaweza kuchaguliwa kuwa Rais mwaka 2025, na anaweza asichaguliwe. Anaweza kuwepo 2025, anaweza pia asiwepo (tunaoamini katika Mungu, tunatambua kuwa maisha yetu yapo mikononi mwa Mungu wakati wote, hatujui siku wala saa ya kuondoka katika Ulimwengu huu). Anatakiwa kufanya yaliyo mema sasa maana ndio wakati alio na uhakika nao.
Kaonja asali sasa ameamua kuchonga mzinga!

Ajue nyuki ni hatari!
 
Tunaenda kwny kura ya maoni
Bunge lilishakaa na Rais wa sasa ndie alikuwa Naibu Spika…hawezi kufuta kazi ya kihistoria aliyosimamia
Hivi tuseme mama leo aseme haya tuandike katiba, kwa bunge lipi la kufanya endorsement?

Hilihili bunge aliloliteuwa Magufuli la kina babu Tale?
 
Washapata ajira za kudumu posho kwa hiyo kamati na marupurupu kibao hawa wazi tena katiba zitto hawezi kua sehemu useme jambo lita Sogea vizuri
 
Back
Top Bottom