Kamati iliyotoa Mapendekezo ya Kamati ya Msajili wa Vyama Kuhusu Katiba Mpya, Kisheria na Kimantiki ni Batili

Kwa kifupi CCM imebaka wananchi
 
Watu wanaongelea katiba ww fisadi na mwenye cheti feki unaamisha mada ,unaanza kuweweseka na marehemu JPM.

Unawewesekea wapi ,usiye na cheti cha form four ww?
 
Hapo sasa, Inashangaza!
 
Nasikitika tu kukueleza katiba haipatikani bila sadaka ya damu, huu ndio ukweli atakayekwambia vingine anakudanganya.

Ukraine wapo tayari kumwaga damu zao kulinda utu na Uhuru wao, lakini Watanganyika hawapo tayari kwahilo.

Tukumbuke uhitaji wa katiba mpya ni wa Watanganyika zaidi maana Wazanzibar wana katiba yao na wamepiga hatuwa wapo mbali sana, ni huyu shetani mwendakuzimu ndio aliingilia uchaguzi wao na kuuvuruga hadi Pemba ambako ccm licha ya kuiba kura miaka yote lakini Pemba walimuachia Maalim atowe wabunge na wawakilishi.
 
Kwakweli ni batili kwa asilimia mia moja na haina weledi hata chembe wa kujiita kamati ya kusimamia jukumu kubwa kama hilo
Je nini kifanyike ili kuepukana na huu ubatili unao endelea?
 
M
Mwache arekebishe Polis kama litakuja mbebea mabox 2025
 
Watu wanaongelea katiba ww fisadi na mwenye cheti feki unaamisha mada ,unaanza kuweweseka na marehemu JPM.Unawewesekea wapi ,usiye na cheti cha form four ww?
Wewe mbwa hujui chochote hapa kaa kimya, utapata katiba vipi bila kupitishwa na wabunge?

Au umejitowa akili hujui bunge ni Magufuli ndio kateuwa Wabunge? kama mpaka Chadema walichaguliwa wabunge wa viti maalum hapo kuna bunge au kundi la mahoka?

Magufuli tutaendelea kumsema kwa miaka mingi ijayo na mbele ya safari tutataka haki ya kumshtaki marehemu, huyu ni shetani aliyeacha damage kubwa kwa Taifa ambayo itaendelea kutugharimu kwa miaka mingi ijayo.
 
Tatizo Ni Kubwa Sana Yale Yale Ya Jiwe
Unateua Wabunge Mpaka Wanafika 11
Inabidi Wengine Wajiuzuru, Hapo Unajiuliza Anatea Kama Yupo Home Kwake Wakati Serikali Ina Wataalam Tele
Huwezijadili swala lililoko jukwaani hadi mtaje Hayati?

Ongelea jambo lililoko mezani.
 
South Africa ya Makaburu ilikuwa bora sana kiuchumi kuliko hiibya kina Ramaphosa.

Maeneo mengi kilio cha Katiba mpya ni kelele za wanasiasa kutafuta upenyo wa kutawala…wengi wa wanasiasa wanaopigania Katiba ni kwa maslahi yao na wanaopinga katiba mpya pia ni kwa maslahi yao japo wote wanaigiza wanaangalia Maslahi ya Raia na Nchi

Huoni maeneo yote panapotokea mizozo ya Uchaguzi suluhu huwa ni kugawana madaraka badala ya kuitisha tena uchaguzi au kukomaa kurekebisha kasoro
Ni kwa nini sasa viongozi wetu wanatia ubatili katika kupatikana kwa katiba nzuri? Uzuri wa katiba ndio umepelekea Kenya na South Africa kung'ara kiuchumi
 

Katiba Mpya,itapatikana kwa njia rahisi kwa kupiga Kura Za hapana kwa Samia.​

Pia tutaondokana na Muungano.​

Kwa Tume HURU ya vishoka akina Zito?

Hata kama wananchi wote hawatoenda kupiga kura, BADO Mtemi Hangaya atapata 'ushindi' wa kishindo.

Watu wa kutengeneza NAMBA zinazohitajika. Na wakishatangaza hakuna kuhoji tena.
 
Ndio mambo ya Mjini na ndio sababu aliwa frustrate Watani zake wakasusa kuingia kwny hii kamati…sasa hivi yeye ndio Tycoon pale anawaburuza atakavyo
Waulizeni kina Zitto Kabwe ndio wamepewa jukumu na uhakika wa posho kwa miaka 9 ijayo.
 
Hivi wakati mwingine huwa mnaongea na akili za kibangi!
 
Binafsi jana sijaelewa chochote zaidi watu fulani kupata fursa ya kula bata vikaoni
 
Ndio mambo ya Mjini na ndio sababu aliwa frustrate Watani zake wakasusa kuingia kwny hii kamati…sasa hivi yeye ndio Tycoon pale anawaburuza atakavyo
Hivi tuseme mama leo aseme haya tuandike katiba, kwa bunge lipi la kufanya endorsement?

Hilihili bunge aliloliteuwa Magufuli la kina babu Tale?
 
Kaonja asali sasa ameamua kuchonga mzinga!

Ajue nyuki ni hatari!
 
Tunaenda kwny kura ya maoni
Bunge lilishakaa na Rais wa sasa ndie alikuwa Naibu Spika…hawezi kufuta kazi ya kihistoria aliyosimamia
Hivi tuseme mama leo aseme haya tuandike katiba, kwa bunge lipi la kufanya endorsement?

Hilihili bunge aliloliteuwa Magufuli la kina babu Tale?
 
Washapata ajira za kudumu posho kwa hiyo kamati na marupurupu kibao hawa wazi tena katiba zitto hawezi kua sehemu useme jambo lita Sogea vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…