Kamati imetumia 'siasa’ suala la Fei Toto

Kamati imetumia 'siasa’ suala la Fei Toto

Mzalendo_Mkweli

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2012
Posts
2,025
Reaction score
1,270
SIJUI ni lini tutaacha kutumia siasa katika vitu vya msingi. Nawaza sana juu ya hili lakini sijapata majibu.

Ni wiki moja sasa imepita tangu sakata la mchezaji Feisal Salum ‘Fei Toto’ limalizwe kisiasa na kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Fei Toto alivunja mkataba wake na Yanga. Aliandika barua ya kuwafahamisha Yanga kuwa ‘ndoa’ yao imevunjika. Akalipa na fedha za kuvunja huo mkataba.

Yanga wakaenda TFF kulalamika kuwa Fei Toto amevunja mkataba bila kuwashirikisha. Walikuwa na haki ya kushtaki kuhusu sakata hilo. Yawezekana ni kweli Fei Toto alivunja mkataba bila kuwashirikisha Yanga. lakini ukweli ni kwamba aliwafahamisha.

Kwanini Kamati ya TFF haijaamua kesi ya msingi na badala yake wamemlazimisha mchezaji arudi Yanga? Inachekesha sana.

Kwa kifupi ni kwamba mkataba wa Fei na Yanga ulishavunjika. Ndio maana Yanga ililalamika mkataba umevunjwa bila utaratibu. Hii ndio ilipaswa kuwa kesi ya msingi. Lakini badala yake imeamuliwa kesi nyingine kabisa.

Wewe uliona wapi duniani mchezaji analazimishwa arudi kwenye timu yake ya awali baada ya kuvunja mkataba?

Kama ulisoma vizuri mkataba wa Fei Toto na Yanga umeeleza wazi kuwa upande wa mchezaji unaweza kuvunja mkataba muda wowote kwa namna isivyo kawaida kama utafuata utaratibu wa Malipo.

Fei Toto alifanya hivyo. Aliwalipa Yanga fedha ya usajili na mishahara ya miezi mitatu. Hiki ndio kipengele cha wazi katika mkataba wake na Yanga.

Kamati imetumia kipengele gani kumrejesha. Hakuna. Ni siasa tu. Ama wanaogopa kuwa watu watasema kuwa wanaionea Yanga? Ni ajabu na kweli. Kwanini tusiamue vitu vya msingi kwa kufuata utaratibu?

Kama mkataba unasema namna ya kuvunja huwa tunatumia mkataba kufanya hivyo. Hakuna sehemu imeandikwa kuwa tunatumia sheria za FIFA kwa kesi ambayo mkataba wake unazungumza namna ya kufanya.

Mkataba wa Fei na Yanga umesema vyema namna ya kuvunja. Na mchezaji ametumia vipengele hivyo kuvunja mkataba wake na Yanga. Lipa wazi kabisa.

Kwanini TFF haikujadili kesi ya msingi ya mchezaji na Yanga ikaamua tu kumrudisha mchezaji kwenye klabu? Uliwahi kuona wapi jambo kama hili?

Yanga walilalamika kuwa Feisal amevunja mkataba bila kuwashirikisha. Ila ukweli ni kwamba Feisal aliwaandikia barua kuwafahamisha. Walitaka nini zaidi ya hicho wakati mkataba unaeleza wazi ukitaka kuvunja unafanya nini?

Walitaka Fei Toto afanye kitu gani kingine? Ni kichekesho. Kimsingi ni kwamba hadi Yanga na Fei Toto wanakwenda pale TFF mkataba ulishavunjika. Haikupaswa kujadiliwa tena kama Fei ni mchezaji wa Yanga ama la. Ila cha ajabu imejadiliwa hivyo.

Kilichopaswa kujadiliwa ni kama Feisal alikosea popote wakati anavunja mkataba wake huo. Utaratibu unafahamika kuwa ni faini ama adhabu ya kufungiwa. Huu Ndio muafaka wa kisheria. Kwanini hawakutaka kufanya hivyo? Wanajua wenyewe.

Unajua Madhara ya maamuzi haya? Subiri nitakueleza. Kwa namna hali ilivyo sasa Feisal hataki tena kucheza Yanga. Hataki kabisa. Ni kama tu mwanamke aliyeomba talaka kwenye ndoa. Kumlazimisha Feisal arudi Yanga ni kama kumlazimisha mbuzi ale mkate. Ni jambo gumu sana.

Matokeo yake ni kuwa Feisal anaweza kuendelea kucheza Ndondo kwao Zanzibar hadi mwisho wa msimu. Nini kitatokea? Tunapoteza mchezaji Muhimu katika Ligi yetu Pamoja na Taifa Stars.

Sote tunakubaliana kuwa Fei ni mchezaji mahiri zaidi katika nafasi anayocheza hapa nchini. Hana mfanano. Hakuna anayemkaribia hapo.

Hivyo kama Taifa tumeweka rehani kipaji cha mchezaji mkubwa kwa kutumia siasa. Inauma sana.

Source : Mwanaspoti​
 

SIJUI ni lini tutaacha kutumia siasa katika vitu vya msingi. Nawaza sana juu ya hili lakini sijapata majibu.
Ni wiki moja sasa imepita tangu sakata la mchezaji Feisal Salum ‘Fei Toto’ limalizwe kisiasa na kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Fei Toto alivunja mkataba wake na Yanga. Aliandika barua ya kuwafahamisha Yanga kuwa ‘ndoa’ yao imevunjika. Akalipa na fedha za kuvunja huo mkataba.
Yanga wakaenda TFF kulalamika kuwa Fei Toto amevunja mkataba bila kuwashirikisha. Walikuwa na haki ya kushtaki kuhusu sakata hilo. Yawezekana ni kweli Fei Toto alivunja mkataba bila kuwashirikisha Yanga. lakini ukweli ni kwamba aliwafahamisha.
Kwanini Kamati ya TFF haijaamua kesi ya msingi na badala yake wamemlazimisha mchezaji arudi Yanga? Inachekesha sana.
Kwa kifupi ni kwamba mkataba wa Fei na Yanga ulishavunjika. Ndio maana Yanga ililalamika mkataba umevunjwa bila utaratibu. Hii ndio ilipaswa kuwa kesi ya msingi. Lakini badala yake imeamuliwa kesi nyingine kabisa.
Wewe uliona wapi duniani mchezaji analazimishwa arudi kwenye timu yake ya awali baada ya kuvunja mkataba?
Kama ulisoma vizuri mkataba wa Fei Toto na Yanga umeeleza wazi kuwa upande wa mchezaji unaweza kuvunja mkataba muda wowote kwa namna isivyo kawaida kama utafuata utaratibu wa Malipo.
Fei Toto alifanya hivyo. Aliwalipa Yanga fedha ya usajili na mishahara ya miezi mitatu. Hiki ndio kipengele cha wazi katika mkataba wake na Yanga.
Kamati imetumia kipengele gani kumrejesha. Hakuna. Ni siasa tu. Ama wanaogopa kuwa watu watasema kuwa wanaionea Yanga? Ni ajabu na kweli. Kwanini tusiamue vitu vya msingi kwa kufuata utaratibu?
Kama mkataba unasema namna ya kuvunja huwa tunatumia mkataba kufanya hivyo. Hakuna sehemu imeandikwa kuwa tunatumia sheria za FIFA kwa kesi ambayo mkataba wake unazungumza namna ya kufanya.
Mkataba wa Fei na Yanga umesema vyema namna ya kuvunja. Na mchezaji ametumia vipengele hivyo kuvunja mkataba wake na Yanga. Lipa wazi kabisa.
Kwanini TFF haikujadili kesi ya msingi ya mchezaji na Yanga ikaamua tu kumrudisha mchezaji kwenye klabu? Uliwahi kuona wapi jambo kama hili?
Yanga walilalamika kuwa Feisal amevunja mkataba bila kuwashirikisha. Ila ukweli ni kwamba Feisal aliwaandikia barua kuwafahamisha. Walitaka nini zaidi ya hicho wakati mkataba unaeleza wazi ukitaka kuvunja unafanya nini?
Walitaka Fei Toto afanye kitu gani kingine? Ni kichekesho.
Kimsingi ni kwamba hadi Yanga na Fei Toto wanakwenda pale TFF mkataba ulishavunjika. Haikupaswa kujadiliwa tena kama Fei ni mchezaji wa Yanga ama la. Ila cha ajabu imejadiliwa hivyo.
Kilichopaswa kujadiliwa ni kama Feisal alikosea popote wakati anavunja mkataba wake huo. Utaratibu unafahamika kuwa ni faini ama adhabu ya kufungiwa. Huu Ndio muafaka wa kisheria. Kwanini hawakutaka kufanya hivyo? Wanajua wenyewe.
Unajua Madhara ya maamuzi haya? Subiri nitakueleza.
Kwa namna hali ilivyo sasa Feisal hataki tena kucheza Yanga. Hataki kabisa. Ni kama tu mwanamke aliyeomba talaka kwenye ndoa.
Kumlazimisha Feisal arudi Yanga ni kama kumlazimisha mbuzi ale mkate. Ni jambo gumu sana.
Matokeo yake ni kuwa Feisal anaweza kuendelea kucheza Ndondo kwao Zanzibar hadi mwisho wa msimu. Nini kitatokea?
Tunapoteza mchezaji Muhimu katika Ligi yetu Pamoja na Taifa Stars.
Sote tunakubaliana kuwa Fei ni mchezaji mahiri zaidi katika nafasi anayocheza hapa nchini. Hana mfanano. Hakuna anayemkaribia hapo.
Hivyo kama Taifa tumeweka rehani kipaji cha mchezaji mkubwa kwa kutumia siasa. Inauma sana.

Source : Mwanaspoti
Wewe ni mwanasheria au Mwanasimba?

Any way watanzania tunapenda kulalamika sana, subiri haki itoke CAS kama mlivyoanbiwa
 
SIJUI ni lini tutaacha kutumia siasa katika vitu vya msingi. Nawaza sana juu ya hili lakini sijapata majibu.

Ni wiki moja sasa imepita tangu sakata la mchezaji Feisal Salum ‘Fei Toto’ limalizwe kisiasa na kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Fei Toto alivunja mkataba wake na Yanga. Aliandika barua ya kuwafahamisha Yanga kuwa ‘ndoa’ yao imevunjika. Akalipa na fedha za kuvunja huo mkataba.

Yanga wakaenda TFF kulalamika kuwa Fei Toto amevunja mkataba bila kuwashirikisha. Walikuwa na haki ya kushtaki kuhusu sakata hilo. Yawezekana ni kweli Fei Toto alivunja mkataba bila kuwashirikisha Yanga. lakini ukweli ni kwamba aliwafahamisha.

Kwanini Kamati ya TFF haijaamua kesi ya msingi na badala yake wamemlazimisha mchezaji arudi Yanga? Inachekesha sana.

Kwa kifupi ni kwamba mkataba wa Fei na Yanga ulishavunjika. Ndio maana Yanga ililalamika mkataba umevunjwa bila utaratibu. Hii ndio ilipaswa kuwa kesi ya msingi. Lakini badala yake imeamuliwa kesi nyingine kabisa.

Wewe uliona wapi duniani mchezaji analazimishwa arudi kwenye timu yake ya awali baada ya kuvunja mkataba?

Kama ulisoma vizuri mkataba wa Fei Toto na Yanga umeeleza wazi kuwa upande wa mchezaji unaweza kuvunja mkataba muda wowote kwa namna isivyo kawaida kama utafuata utaratibu wa Malipo.

Fei Toto alifanya hivyo. Aliwalipa Yanga fedha ya usajili na mishahara ya miezi mitatu. Hiki ndio kipengele cha wazi katika mkataba wake na Yanga.

Kamati imetumia kipengele gani kumrejesha. Hakuna. Ni siasa tu. Ama wanaogopa kuwa watu watasema kuwa wanaionea Yanga? Ni ajabu na kweli. Kwanini tusiamue vitu vya msingi kwa kufuata utaratibu?

Kama mkataba unasema namna ya kuvunja huwa tunatumia mkataba kufanya hivyo. Hakuna sehemu imeandikwa kuwa tunatumia sheria za FIFA kwa kesi ambayo mkataba wake unazungumza namna ya kufanya.

Mkataba wa Fei na Yanga umesema vyema namna ya kuvunja. Na mchezaji ametumia vipengele hivyo kuvunja mkataba wake na Yanga. Lipa wazi kabisa.

Kwanini TFF haikujadili kesi ya msingi ya mchezaji na Yanga ikaamua tu kumrudisha mchezaji kwenye klabu? Uliwahi kuona wapi jambo kama hili?

Yanga walilalamika kuwa Feisal amevunja mkataba bila kuwashirikisha. Ila ukweli ni kwamba Feisal aliwaandikia barua kuwafahamisha. Walitaka nini zaidi ya hicho wakati mkataba unaeleza wazi ukitaka kuvunja unafanya nini?

Walitaka Fei Toto afanye kitu gani kingine? Ni kichekesho. Kimsingi ni kwamba hadi Yanga na Fei Toto wanakwenda pale TFF mkataba ulishavunjika. Haikupaswa kujadiliwa tena kama Fei ni mchezaji wa Yanga ama la. Ila cha ajabu imejadiliwa hivyo.

Kilichopaswa kujadiliwa ni kama Feisal alikosea popote wakati anavunja mkataba wake huo. Utaratibu unafahamika kuwa ni faini ama adhabu ya kufungiwa. Huu Ndio muafaka wa kisheria. Kwanini hawakutaka kufanya hivyo? Wanajua wenyewe.

Unajua Madhara ya maamuzi haya? Subiri nitakueleza. Kwa namna hali ilivyo sasa Feisal hataki tena kucheza Yanga. Hataki kabisa. Ni kama tu mwanamke aliyeomba talaka kwenye ndoa. Kumlazimisha Feisal arudi Yanga ni kama kumlazimisha mbuzi ale mkate. Ni jambo gumu sana.

Matokeo yake ni kuwa Feisal anaweza kuendelea kucheza Ndondo kwao Zanzibar hadi mwisho wa msimu. Nini kitatokea? Tunapoteza mchezaji Muhimu katika Ligi yetu Pamoja na Taifa Stars.

Sote tunakubaliana kuwa Fei ni mchezaji mahiri zaidi katika nafasi anayocheza hapa nchini. Hana mfanano. Hakuna anayemkaribia hapo.

Hivyo kama Taifa tumeweka rehani kipaji cha mchezaji mkubwa kwa kutumia siasa. Inauma sana.

Source : Mwanaspoti​
yani wewe bado una mambo ya fei toto tena!,kama imekuuma nenda CAS
 
Wewe ni mwanasheria au Mwanasimba?

Any way watanzania tunapenda kulalamika sana, subiri haki itoke CAS kama mlivyoanbiwa
Mkuu City Rider salam kwako.
Kwanza nikiri nimefuatilia hili suala juu juu kutokana na majukumu. Mimi sio mwanasheria ijapo nina ufahamu wa kiasi wa sheria. Leo nilipokuwa napitia makala za gazeti la mwanaspoti nikakutana na hii makala ambayo imenipa maswali mengi kuliko majibu ndipo nikaamua niilete hapa kwenye jukwa ili:-
1. Nipate kwenu wadau ukweli kama kilichoandikwa ndicho kilicho jiri na mwandishi hajatia chumvi
2. Nipate pia ufahamu wa walichopewa Yanga (Mdai) na Fei Toto " statement of Judgement" kinaakisi kilichoandikwa kwenye hili gazeti ama la.

Mkuu City Rider hayo mambo ya CAS tuwaachie wahusika (Yanga, Fei toto na TFF) ila sisi naomba tujikite kwenye hoja tajwa hapo juu.

Ahsante
 
Huyu dogo mwambien arudi kambini kwenye timu yake. Mikataba ya mpira haivunjwi kihuni vile, hata huko CAS anapoteza muda na hela bure
 
TFF wameibeba Yanga kwenye hili dunia nzima inajua, kasoro wajinga wachache wanaojitoa akili makusudi, wala halina ubishi, siasa hasa kukubali kuingiliwa maamuzi yake na wanasiasa, ndiko kumesababisha TFF wajivue nguo kwenye hili suala.
 
Wachang'ombe basi mmeepigwa upper cut mmebaki kulalama hamuamin kilochotokea. Mlitegemea yanga africa, mabingwa wa kihistoria na wa muda wote, timu ya wananchi ishindwe ili muongeeee. Imekula kwenu.
 
SIJUI ni lini tutaacha kutumia siasa katika vitu vya msingi. Nawaza sana juu ya hili lakini sijapata majibu.

Ni wiki moja sasa imepita tangu sakata la mchezaji Feisal Salum ‘Fei Toto’ limalizwe kisiasa na kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Fei Toto alivunja mkataba wake na Yanga. Aliandika barua ya kuwafahamisha Yanga kuwa ‘ndoa’ yao imevunjika. Akalipa na fedha za kuvunja huo mkataba.

Yanga wakaenda TFF kulalamika kuwa Fei Toto amevunja mkataba bila kuwashirikisha. Walikuwa na haki ya kushtaki kuhusu sakata hilo. Yawezekana ni kweli Fei Toto alivunja mkataba bila kuwashirikisha Yanga. lakini ukweli ni kwamba aliwafahamisha.

Kwanini Kamati ya TFF haijaamua kesi ya msingi na badala yake wamemlazimisha mchezaji arudi Yanga? Inachekesha sana.

Kwa kifupi ni kwamba mkataba wa Fei na Yanga ulishavunjika. Ndio maana Yanga ililalamika mkataba umevunjwa bila utaratibu. Hii ndio ilipaswa kuwa kesi ya msingi. Lakini badala yake imeamuliwa kesi nyingine kabisa.

Wewe uliona wapi duniani mchezaji analazimishwa arudi kwenye timu yake ya awali baada ya kuvunja mkataba?

Kama ulisoma vizuri mkataba wa Fei Toto na Yanga umeeleza wazi kuwa upande wa mchezaji unaweza kuvunja mkataba muda wowote kwa namna isivyo kawaida kama utafuata utaratibu wa Malipo.

Fei Toto alifanya hivyo. Aliwalipa Yanga fedha ya usajili na mishahara ya miezi mitatu. Hiki ndio kipengele cha wazi katika mkataba wake na Yanga.

Kamati imetumia kipengele gani kumrejesha. Hakuna. Ni siasa tu. Ama wanaogopa kuwa watu watasema kuwa wanaionea Yanga? Ni ajabu na kweli. Kwanini tusiamue vitu vya msingi kwa kufuata utaratibu?

Kama mkataba unasema namna ya kuvunja huwa tunatumia mkataba kufanya hivyo. Hakuna sehemu imeandikwa kuwa tunatumia sheria za FIFA kwa kesi ambayo mkataba wake unazungumza namna ya kufanya.

Mkataba wa Fei na Yanga umesema vyema namna ya kuvunja. Na mchezaji ametumia vipengele hivyo kuvunja mkataba wake na Yanga. Lipa wazi kabisa.

Kwanini TFF haikujadili kesi ya msingi ya mchezaji na Yanga ikaamua tu kumrudisha mchezaji kwenye klabu? Uliwahi kuona wapi jambo kama hili?

Yanga walilalamika kuwa Feisal amevunja mkataba bila kuwashirikisha. Ila ukweli ni kwamba Feisal aliwaandikia barua kuwafahamisha. Walitaka nini zaidi ya hicho wakati mkataba unaeleza wazi ukitaka kuvunja unafanya nini?

Walitaka Fei Toto afanye kitu gani kingine? Ni kichekesho. Kimsingi ni kwamba hadi Yanga na Fei Toto wanakwenda pale TFF mkataba ulishavunjika. Haikupaswa kujadiliwa tena kama Fei ni mchezaji wa Yanga ama la. Ila cha ajabu imejadiliwa hivyo.

Kilichopaswa kujadiliwa ni kama Feisal alikosea popote wakati anavunja mkataba wake huo. Utaratibu unafahamika kuwa ni faini ama adhabu ya kufungiwa. Huu Ndio muafaka wa kisheria. Kwanini hawakutaka kufanya hivyo? Wanajua wenyewe.

Unajua Madhara ya maamuzi haya? Subiri nitakueleza. Kwa namna hali ilivyo sasa Feisal hataki tena kucheza Yanga. Hataki kabisa. Ni kama tu mwanamke aliyeomba talaka kwenye ndoa. Kumlazimisha Feisal arudi Yanga ni kama kumlazimisha mbuzi ale mkate. Ni jambo gumu sana.

Matokeo yake ni kuwa Feisal anaweza kuendelea kucheza Ndondo kwao Zanzibar hadi mwisho wa msimu. Nini kitatokea? Tunapoteza mchezaji Muhimu katika Ligi yetu Pamoja na Taifa Stars.

Sote tunakubaliana kuwa Fei ni mchezaji mahiri zaidi katika nafasi anayocheza hapa nchini. Hana mfanano. Hakuna anayemkaribia hapo.

Hivyo kama Taifa tumeweka rehani kipaji cha mchezaji mkubwa kwa kutumia siasa. Inauma sana.

Source : Mwanaspoti​
Tanzania hatuwezi tegemea vijana wahuni wahuni kama Feisal , Acha kupotosha , hata akipotea nothing to loose
 
Back
Top Bottom