Uchaguzi 2020 Kamati Kuu CCM kuteua wagombea watatu (03) ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika

Uchaguzi 2020 Kamati Kuu CCM kuteua wagombea watatu (03) ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika

Kama hakutakuwa na rushwa ngazi ya jimboni na wagombea wakapita kwa haki ngazi ya jimbo, wanachama wasiporudishiwa watu wanaowapenda kwa maana ya wale wanao waona wanafaa kuwaongoza, baadaye wanachama wanaweza kukichukia chama na kupiga kura za chuki kwa wapinzani.
Pigia mstari Hapo
 
Mimi bado nipo kwa hawa wenzangu wahamiaji hatma yao upone? Maana kura za maoni sidhani kuna hata mmoja anaweza penya walau kwa top ten.
🤣 🤣 wahakiaji wapo watakaotoboa, kwa sababu waliowahamisha wanajua sababu zilizowabeba na kuwahamishia side B
 
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.

Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.

Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Hii itakuwa poa, hivi naruhusiwa kugombea majimbo zaidi ya moja? Mfano nikagombea hai bunda na tarime?
 
Hao watatu mmoja atakuwa mbunge mwingine DC na mwingine DED, Safi sana
 
Mimi bado nipo kwa hawa wenzangu wahamiaji hatma yao upone? Maana kura za maoni sidhani kuna hata mmoja anaweza penya walau kwa top ten.
Wasipopenya watapenyezwa
 
Back
Top Bottom