Uchaguzi 2020 Kamati Kuu CCM kuteua wagombea watatu (03) ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika

Uchaguzi 2020 Kamati Kuu CCM kuteua wagombea watatu (03) ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika

Kwani siku hizi kuna Chama hapo au kuna familia ya MTU?
Mwalimu aliko labda analia machozi, Mkapa na JK wanatoa macho hawaamini kinacho endelea.
Maana haiwezekani juhudi zote zile za kukipigania chama zimeishia kuwa mfukoni kwa MTU ambaye hajawahi kukipigania hata TANU youth league au UVCCM haijui
Imebidi nicheke.
 
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.

Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.

Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Mwaka huu wagombea urais kwa tiketi ya ccm ni nani na nani ?
 
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.

Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.

Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Mwita waitara lazima apotezwe. Atapewa ukuu Wa Wilaya
 
Mimi nafikiri watia nia wanachama kwanza wanachakuwa form,baada ya kutimiza masharti wanarudisha form.
Hayo majina ya watia nia yanayopelekwa ngazi ya juu,ambapo yanachujwa na kubakiza majina matatu.
Hayo majina matatu ndio yanapigiwa kura kumpata mmoja.
Vigezo gani vinatumika Kuchuja?
 
Mchuma janga hula na wa kwao,Alisema mtu mmoja wakimaliza kudeal na upinzani lazima wawakite na hao [emoji23][emoji23] wale wakuunga juhud mbio za mfalme wa mataga chaliii Yan ndembendembe kifo cha mende
 
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.

Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.

Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Power grip by Jiwe!
 
Wabongo bhana. Tuna discuss hewa tu
Weka source ya habari tuione ndio tudiscuss. Unaweza ukawa right au usiwe. Kutokana na interpretation yako.
Lkn pia never mind kuweka chanzo maana waandishi wenyewe wa habar siku hizi ndio kina juma lokole.
 
Kwanini wachujwe kamati kuu baadala ya kupigiwa kura za maoni.
Kamati kuu ikiongozwa na chairman wao Wana access ya intelligensia ya watu wote nchi hii, tofauti na mwanachama wa kawaida huko vijijini. Hii itasaidia kutowafanya watu wasiofaa(kama wahalifu au wasio raia) kuwa watunga Sera na sheria za nchi.
 
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.

Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.

Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Hapo si ndo vizuri ili upinzani upate chance ya kupita vizuri.Wapinzani wao waende kinyume waachie wananchi husika ndio waamue wamtakae wanaopendekezwa na wananchi then kamati kuu ipitishwe makubaliano ya wananchi
 
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.

Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.

Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Mmiliki wa chama ndie mwenye maamuzi Nani atagombea Nani asigombee,Kama we si muimba kwaya katafute kazi zingine.Kama mwenye chama ndie muamuzi wa mwisho wahamiaji haramu wote ndani asilia wao waendelee kusugua mabenchi tu.
 
Hao mamluki wachumia tumbo waroho wa madaraka, wasaliti, walionunuliwa kwa rushwa za mabilioni waliohamia kwenye CCM ndio watakaopendelewa na hiyo kamati. Ukweli hao watu majimboni hawatakiwi na wanachama asili wenye upendo na uchungu wa chama.

Mwisho wa siku JPM ataacha chama katika hali mbaya kwa atakayempokea kijiti, kwani hao watu ni kama mla nyama ya binadamu. Watahama tena kufuata maslahi
Lengo kuu wahamiaji haramu wote wapite plus waimba kwaya wote ili mbele ya pesa kwao kila kitu ndioo huku wakishindana kuimba kwaya ili waje wapitishe maamuzi ya kubadili katiba boss wao atawale milele,maamuzi ya ujenzi wa ikulu dodoma si mtu wa kuondoka kesho Wala kesho is there to stay.
 
Chama kimenyang'anya mamlaka wanachama haki ya kuchaguliwa na haki ya kuchagua.

Uongozi wa kisiasa ni muhimu upitie michakato ya uchaguzi huru na za kidemokrasia.
Ndio vizuri ili wananchi wawakatae wasiowachagua,mfano mwita wanapewa Wana ukonga mmtake mtamchagua msitake mtamchagua.Kwa nguvu ya umma wagombea wa upinzani wanakwenda kushinda Ila kwa nguvu ya polisi mshindi atatangazwa wa ccm.
 
Watu mlikuwa hamuunganishi matukio ya ile likizo ya siku 45 pale chato
(1) hivi kweli Kama jiwe alikuwa na Mgonjwa Kama anavyodai faili la uteuzi la kina mollel na nchemba yalifiikaje mpaka chato
(2) ukiambiwa kuwa ile likizo ilikuwa na shughuli ya za ikulu je shughuli za lumumba zitakwepaje kufanyika chato
(3) tuliaminishwa kuwa chato Kuna ikulu Sasa na Mimi naamini CCM nayo ilihamia chato na shughuli imeshafanyika CCM imegeuzwa na kuwa:-
C C M = CHATO CHUJA MGOMBEA
Kamati kuu nayo kwenye kikao Naona mtarudi na SUMU zenu za kumlisha mangula mfukoni mtajuwa mangula mlimwonea tu na SUMU yenu
 
Ndio vizuri ili wananchi wawakatae wasiowachagua,mfano mwita wanapewa Wana ukonga mmtake mtamchagua msitake mtamchagua.Kwa nguvu ya umma wagombea wa upinzani wanakwenda kushinda Ila kwa nguvu ya polisi mshindi atatangazwa wa ccm.
Hii kama chaguzi zingekuwa huru wangepoteza wabunge wengi sana.

Maana sasa hivi wananchi watachagua chaguo la kamati kuu na siyo chaguo la wanachama.
 
Mimi ninaona kuwa kwa utaratibu huu ndiyo kutakuwa na harufu ya Rushwa. Ni vyema Kamati Kuu ikateua mgombea kuliko kupigiwa kura na wajumbe wa Jimbo.
 
Back
Top Bottom