LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Mnadanganyika sanaKuepuka rushwa huko majimboni. Ukihonga majimboni kamati kuu unafyekwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnadanganyika sanaKuepuka rushwa huko majimboni. Ukihonga majimboni kamati kuu unafyekwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JPM alishajipanga,2020 ni kukamilisha drafti tuUlikuwa wapi kuhoji hayo mabadiliko yapo tangu 2016
Kwahiyo wapinzani wanasubiria makapi toka CCM?Kamati kuu,itapitia application nyingi,then wanachuja mpaka 3,then hizo tatu,zinarudi Sasa chini kea wajumbe kupigia kura,,hii advantage yake Ni kuwa endapo Kama kuu itapeleka majina tofauti na yanayopendwa na wajumbe,Kuna hatari wasipigiwe kura,ama kukazuia malalamiko ya wajumbe,then wakilazimisha jina,maana yake wanaopendwa wanaweza kwenda cdm,act etc na watapata kura na kuwa wabunge,
Hii ndo maana upinzani hawana haraka ya kuruhusu mbio za ubunge zianze kwao,
Mbona unauliza maswali ya mtoto wa darasa la kwanza ndugu..kamati za siasa za wilaya na mkoa zitatoa maoni yao dhidi ya wagombea, ushiriki wao kwa chama, ujuzi, maarifa nk..kwa mtu mwenye sharp mind hata akisoma tu wasifu wa mtu bila kumuona na maelezo mafupi ya kwa nini anaomba kukiwakilisha chama kugombea atafahamu yupi ni bora zaidi ya wengine..lakini sifa za wagombea potential zimetajwa mara nyingi..unauliza maswali ya kizembe kabisa, ni kama akili imekariri kitu kimoja tu kwamba kamati kuu itateua mgombea..think widely!!Kamati kuu inawajuaje wagombea wa majimboni, kwanini wajumbe wasiachwe wachague wenyewe.
Hizo Ni tatsiri zako tu,,mbona CCM nasi tumechukua toka upinzani madiwani na wabunge kibao.Kwahiyo wapinzani wanasubiria makapi toka CCM?
Naona na wewe hujaelewa ,process inaanza juu kuja chini,,it means step ya mwisho,wajumbe ndo watapigia kura majina matatu kutoka kamati kuu,,Hapo ndo kwenye subira ya watakatifu...Kuepuka rushwa huko majimboni. Ukihonga majimboni kamati kuu unafyekwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nafikiri watia nia wanachama kwanza wanachakuwa form,baada ya kutimiza masharti wanarudisha form.
Hayo majina ya watia nia yanayopelekwa ngazi ya juu,ambapo yanachujwa na kubakiza majina matatu.
Hayo majina matatu ndio yanapigiwa kura kumpata mmoja.
Kuteka watu wao watatu(3)? Wangewekea mmoja SI ndo mngeng'aka Zaid?Huu mchakato kiukweli hautokuwa mzuri walio shika makali watatumia this opportunity kupeleka watu wao
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.
Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.
Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Chama kimenyang'anya mamlaka wanachama haki ya kuchaguliwa na haki ya kuchagua.Mimi nafikiri watia nia wanachama kwanza wanachakuwa form,baada ya kutimiza masharti wanarudisha form.
Hayo majina ya watia nia yanayopelekwa ngazi ya juu,ambapo yanachujwa na kubakiza majina matatu.
Hayo majina matatu ndio yanapigiwa kura kumpata mmoja.
Democracy is not a bottle of coca cola which you can import..democracy should develop according to that particular country..Chama kimenyang'anya mamlaka wanachama haki ya kuchaguliwa na haki ya kuchagua.
Uongozi wa kisiasa ni muhimu upitie michakato ya uchaguzi huru na za kidemokrasia.
Hiyo ya ccm ya sasa siyo democracy tena.Democracy is not a bottle of coca cola which you can import..democracy should develop according to that particular country..
Unaijua democracy au unaongea tu kwa sababu unaweza kuongea ?Democracy is not a bottle of coca cola which you can import..democracy should develop according to that particular country..
Ilazimishe akili yako ifikiri kwa kina maandishi hayo..hata kama ni dhaifu, hiyo democracy unayoijua wewe ikoje..elezaUnaijua democracy au unaongea tu kwa sababu unaweza kuongea ?
Demokrasi inayozaa rushwa, ubaguzi na kutengeneza soko la kura wakati wa uchaguzi kwako hiyo ndio demokrasi..ipi hasa demokrasi unayotetea.Hiyo ya ccm ya sasa siyo democracy tena.
Maana sasa wanachama hawana tena haki ya chaguo.