Uchaguzi 2020 Kamati Kuu CCM kuteua wagombea watatu (03) ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika

Uchaguzi 2020 Kamati Kuu CCM kuteua wagombea watatu (03) ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika

Mmiliki wa chama ndie mwenye maamuzi Nani atagombea Nani asigombee,Kama we si muimba kwaya katafute kazi zingine.Kama mwenye chama ndie muamuzi wa mwisho wahamiaji haramu wote ndani asilia wao waendelee kusugua mabenchi tu.
Lengo LA haya mabadiliko Ni kuhakikisha wale wasio upande Wa jpm wanakatwa kwanza ndipo wale waliobaki wanarudishwa ili kupigiwa kura kule chini.hata ikitokea bahati mbaya wasiompenda kapenya kwenye kura anakatwa tena na vikao vya juu.jpm na polepole wamebuni mbinu Kali sana kufyeka wasiowapenda.poleni wanaccm.
 
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.

Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.

Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
ccm inawenyewe na imeshakuwa kikundi cha watu wachache kwa sasa halafu kuna mafala wanasema ohh kule chadema hakuna democrasia haya sasa huko watakula kwa namba, vip upande wa uraisi kamati kuu itawapigia kura wangapi
 
Utaratibu huu nauunga mkono kwa 100% kwa sababu zifuatazo.
1.Huko majimboni ni njaa sana, nawanaogopana! Hivyo mtu akimiliki wajumbe wa jimbo , atakutana na kamati kuu.
2. Kamati kuu ni nzr kwasababu inamchanganyiko wa serikari! Hivyo serikari itakuwa nafatiria utendaji kazi wa mgombea na namna alivyo na ushawishi kabla ya kugombea! Hivyo matokeo ya wajumbe wa jimbo kama kutakuwa na figisu basi kamati itaamua.

Mfano mtu kama mbunge wa jimbo la magu hivi huyo akishinda jimboni utaamini kuwa kashinda??? Nimfumo mzr km ilivyo mahakama yetu.
 
Kama hakutakuwa na rushwa ngazi ya jimboni na wagombea wakapita kwa haki ngazi ya jimbo, wanachama wasiporudishiwa watu wanaowapenda kwa maana ya wale wanao waona wanafaa kuwaongoza, baadaye wanachama wanaweza kukichukia chama na kupiga kura za chuki kwa wapinzani.
 
Lengo LA haya mabadiliko Ni kuhakikisha wale wasio upande Wa jpm wanakatwa kwanza ndipo wale waliobaki wanarudishwa ili kupigiwa kura kule chini.hata ikitokea bahati mbaya wasiompenda kapenya kwenye kura anakatwa tena na vikao vya juu.jpm na polepole wamebuni mbinu Kali sana kufyeka wasiowapenda.poleni wanaccm.
Hichi ni kiini macho tu polisi ndio tegemeo lao kuwapa washindi,watendaji wengi wa serikali ni Kama wamerogwa sijui majina yao yalifukiwa baharini wote utazama maslai ya mtu mmoja na sio nchi,
 
Hii kama chaguzi zingekuwa huru wangepoteza wabunge wengi sana.

Maana sasa hivi wananchi watachagua chaguo la kamati kuu na siyo chaguo la wanachama.
Hati hati ya haki za wengi kuporwa
 
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.

Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.

Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
HIYO NI AJIRA SAWA NA AJIRA ZINGINE, huo ni utaratibu wa kawaida wa kushindanisha wenye sifa, ulitaka kijiji kizima kiingie kwenye kinyang'anyiro, huna mpya
 
Si lazima ugombee kupitia CCM..kama unaona utaratibu wao si wa kidemokrasia kelele za nini?? Kama unapendwa na wapiga kura hamia chama chenye demokrasia kwenye uteuzi wa wagombea, ambako wanaruhusu hata kijiji kizima wawe wagombea na uhonge vizuri ili ushinde.
 
Kamati kuu inawajuaje wagombea wa majimboni, kwanini wajumbe wasiachwe wachague wenyewe.
Mkuu,

Kuna Wagombea wanapendwa Majimboni lakini kwa namna moja ama ingine hawana utii au walishawahi kupishana kauli na viongozi wao "Wa Juu",

Sasa hawa tunawaacha vipi kama tukiamua Wanachama walioko Majimboni ndo wachague?
 
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.

Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.

Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?

Hii habari inabidi aipate Ole Medeye, Maana nilimsikia katika mahojiana akimlaumu Kikwete kwa kushinyikiza wagombea wake. Ukishangaa ya Firauni utastaajabu ya Musa. Hii ndio CCM --- Ni ile ile.....
 
Hii sasa ndo Democrasia ndani ya chama hii ndio taasisi, sio chama kile kwa jina nahifadhi,kinakuwa chini ya mtu mmoja( mtu mmoja ana ushawishi ndani ya chama),haina tofauti na Timu ya Azam inamililiwa na mtu mmoja(mtu mmoja ana ushawishi),maamuzi ya mtu mmoja yana nguvu badala ya watu wengi

Demokrasia sio kuisema tu kwa maneno bali kuiishi,ndani na nnme ya chama
 
Nimeona mchakato wa kuwapata wagombea ubunge ndani ya CCM kwa mwaka huu itakuwa tofauti, ambapo kamati kuu itateua wagombea watatu (03)ambao watapigiwa kura wajumbe wa jimbo husika.

Inakuaje kamati kuu iteue baadala ya kuwaachia wajumbe ambao wao ndio wanawajua wagombea wao.

Hakuna harufu ya uteuzi wa wapendwa wa mwenye Chama?
Swali bovu hili! Kila mtindo una sababu zake kwa nini unataka wajumbe?
 
Back
Top Bottom