Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
Polepole Mavieite alikuwa chalii wa chama!Mbona hatuwaoni wakina bashiru na poleΓ2
Hapo
PoleΓ2 naona sahv hazungumzi sana kama mwanzo kwenye media yuko kimya hajawaita wakina baby kabae
Ova
Ndg. Polepole yupo na ameshiriki katika kikao. Angalia picha hii.Mbona hatuwaoni wakina bashiru na poleΓ2
Hapo
PoleΓ2 naona sahv hazungumzi sana kama mwanzo kwenye media yuko kimya hajawaita wakina baby kabae
Ova
Kabisa, iko vizuri. Kuna haja ya vyama vile kujifunza jinsi.Hii kamati inaonekana ipo well organized!
polepole Mavieite alikuwa chalii wa chama!
Mkuu kitu gani hicho?Bashiru na pole pole walichomfanyia Mama Samia kipindi cha kampeni ni kitu kibaya sana.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Mother hataki chawaMbona hatuwaoni wakina bashiru na poleΓ2
Hapo
PoleΓ2 naona sahv hazungumzi sana kama mwanzo kwenye media yuko kimya hajawaita wakina baby kabae
Ova
Mkuu kitu gani hicho?
Maana kampeni zilienda vyema na ushindi ulipatikana.
π€π€π€π€π€Mother hataki chawa
Kuna watu wana chuki binafsi. Tukitaka kufika mbali lazima tutue huu mzigo wa chuki.Achana nao hao wanamchukia Bashiru sababu aliziba ulaji wao kwenye ile kamati ya kukusanya Mali za chama
Hakuna bahari inayokosa mawimbi.Pirates of Tanzania: Dead man tale No tales
Ndg. Philip Mangula - Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara.Hicho kikao kwa sasa kinaongozwa na nani?