Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆Kale kajamaa kafupi kazee cha sumu kapo ukumbuni?
Mbona hatuwaoni wakina bashiru na pole×2
Hapo
Pole×2 naona sahv hazungumzi sana kama mwanzo kwenye media yuko kimya hajawaita wakina baby kabae
Ova
Hao hawajawahi kuwa wana CCM
Polepole ni Chadema na Bashiru ni CUF
Maslah yalifanya Wasaliti vyama vyao
Mama siyo mjinga.... Alishawasoma type ya Hawa watu aliyowapenda Mwendazake.
Duuh yamekuwa hayo?Hao hawajawahi kuwa wana CCM
Polepole ni Chadema na Bashiru ni CUF
Maslah yalifanya Wasaliti vyama vyao
Kuna mtu aliyechochea chuki kubwa kuliko hata ile chuki ya ''Interahamwe''wa huko kwa Kagame, kama Baba yenu Jiwe?Baada ya kwendaZake ndiposa mnajifanya mmeongoka!!!Acheni unafiki basi??!!Kuna watu wana chuki binafsi. Tukitaka kufika mbali lazima tutue huu mzigo wa chuki.
Kwamba...nikiangalia hiyo corridor hapo namkumbuka sana mwamba wa saigon alivyommaliza swaiba wake wa siku nyingi..... jamaa alianzisha vita na watoto wa mjini mwishowe akapoteza ndoto zake na kuandika historia mpya ya maisha...wahuni sio watu wazuri... ile draft kete zilikuwa zinasukumwa balaa, ukisogeza mwenzio anasogeza.....CCM hatari sana..
Yap, sio kama ile ya mwenyekiti wa saccos Mr. Faru JohnHii kamati inaonekana ipo well organized...!!!
Kama wanashindwa kuandaa kikao cha kamati kuu inatupa mashaka makubwa wataweza kweli kuandaa mambo mengine.Yap, sio kama ile ya mwenyekiti wa saccos Mr. Faru John
Dkt. Jakaya Kikwete sio mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM.Mbona mzee wa msoga simwoni
Mkuu suala hili halina ukweli.Kale kajamaa kafupi kazee cha sumu kapo ukumbuni?
Chama cha majambaziKamati Kuu (KK) ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imefanya kikao leo tarehe 28/04/2021 katika ukumbi wa Kamati hiyo uliopo ndani ya Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.
Ikumbukwe kwamba kikao hicho ni moja ya vikao vinavyofanyika kuelekea Mkutano Mkuu Maalum siku ya ijumaa tarehe 30/04/2021 ambao utakuwa na ajenda kubwa ya kumchagua Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa.
Vifuatazo ni baadhi ya picha za matukio yaliyojiri katika kikao hicho.
View attachment 1766654View attachment 1766656View attachment 1766658View attachment 1766659View attachment 1766662View attachment 1766663View attachment 1766665
Mkuu fafanua kwa kina.Kuna mtu aliyechochea chuki kubwa kuliko hata ile chuki ya ''Interahamwe''wa huko kwa Kagame, kama Baba yenu Jiwe?Baada ya kwendaZake ndiposa mnajifanya mmeongoka!!!Acheni unafiki basi??!!
Simba ataendelea kuwa simba hata kama utamuita paka.Chama cha majambazi
Anakuwaje sio mjumbe wa kamati kuu wakati alikuwa katibu mkuu wa chamaMkuu, Dkt. Bashiru sio mjumbe wa Kamati Kuu. Ndg. Polepole alikuwepo.
Kwasasa ccm haina tofauti na simba wa mtandaoniSimba ataendelea kuwa simba hata kama utamuita paka.
Kwwa sababu ni Katibu Mkuu Mstaafu.Anakuwaje sio mjumbe wa kamati kuu wakati alikuwa katibu mkuu wa chama
Hakuna bahari inayokosa mawimbi.Kwasasa ccm haina tofauti na simba wa mtandaoni![]()
Aaaaahhh owk nimeelewaKwwa sababu ni Katibu Mkuu Mstaafu.