Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
- Thread starter
- #61
ShukraniAaaaahhh owk nimeelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShukraniAaaaahhh owk nimeelewa
Muda wa propaganda na manunuzi umeisha... kazi inaendeleaMbona hatuwaoni wakina bashiru na pole×2
Hapo
Pole×2 naona sahv hazungumzi sana kama mwanzo kwenye media yuko kimya hajawaita wakina baby kabae
Ova
Mkuu Baraka MinaMkuu fafanua kwa kina.
Hivi Makongoro Nyerere ni ''Team Gani''??!!!Naona sukumawiki wamepigwa benchi
SifahamuHivi Makongoro Nyerere ni ''Team Gani''??!!!
Ndg. Philip Mangula - Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara.
Kile kipindi cha papo kwa papo kina hali gani?Mbona hatuwaoni wakina bashiru na pole×2
Hapo
Pole×2 naona sahv hazungumzi sana kama mwanzo kwenye media yuko kimya hajawaita wakina baby kabae
Ova
Sasa chawa gagadu ndiyo wamezidi. Hata wa vyama vingine wamegeuka chawa.Mother hataki chawa
Ni mbunge
Kuna Mwenyekiti wa CCM Taifa, Makamu Mwenyekiti Taifa - Bara na Makamu Mwenyekiti Taifa - Zanzibar.Hivi, hakunaga Mwenyekiti wala Makamu Mwenyekiti CCM - Taifa?
Kazi Inaendelea. Jogoo limekwishawika Dodoma.Muda wa propaganda na manunuzi umeisha... kazi inaendelea
Mambo hayo mazito.Mkuu Baraka Mina
Hukuelewa sehemu gani hapo?
Dkt. Bashiru ni Katibu Mkuu Mstaafu.
polepole Mavieite alikuwa chalii wa chama!
Mkuu huyu mama upande wa kulia kavaa kiremba cheusi ni nani ?