Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umeamua kuonyesha pHd yako ya upumbavu...hongera sana.huo mkoa wa wagogo sijawahiona mgogo mwenye akili za maana
Mkuu ushauri wako mzuri ila siwezi kuufanyia kazi.Mkuu kwanini usianzishe chama chako?
Basi waache wenzako wapambane wewe huna uwezo huo.Mkuu ushauri wako mzuri ila siwezi kuufanyia kazi.
Wamebaki kuigiza tu hawana jipyaBendera za CCM kila kona kwa maana ya kwamba hakuna chama kama CCM na ndicho kinachopendwa na watanzania lakini kwenye uchaguzi hakichaguliki mpaka kwa kutumia lafu za kupita bila kupingwa.
Sio kweli.Ndiyo maana sehemu ilipo CDM hakuna nyumba za tembe
Hakuna mapambano yoyote ya maana yanafanyika.Basi waache wenzako wapambane wewe huna uwezo huo.
Si ufanye wewe ya maana?Hakuna mapambano yoyote ya maana yanafanyika.
Unga limited hakuna nyumba ya tembe, udogo chini juu bati same to Bunda, Ikungi Lissu alipigwa risasi dikteta(mfu) kabla hajatekeleza ahadi zake.Sio kweli.
Chadema imekua Arusha miaka 10 pale unga limited nyumba za udongo ziko katikati ya jiji.
Chaema imekua Singida Mashariki kwa Lissu nyumba za tembe za kutosha.
Chadema imekua Bunda nyumba za nyasi za kutosha.
Ni vizuri kuongea mambo ya maana humu.
CCM kinachowakusanya ni ngonoCCM MIKUTANO TUKIFANYA HAIWI ONLINE KAMA MALOFA CHADEMA INAKUWA PHYSICAK WATU WANALIPA HOTEL NK KUAMSHA MZUNGUKO WA PESA ENEO LA MKUTANO SIO MILOFA Chadema mifanya mikutani online na watsapp .
shiiiiii ongea taratibu asikusikie Mbowe na Joyce MukyaCCM kinachowakusanya ni ngono
Acha uongo na njaa,bendera zipo kwenye mzunguko wa barabala /keep left,Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema haijawahi kutokea tokea mfumo wa vyama vingi uanze kwa mji wa Dodoma gari karibia zote na nyumba zinapepea bendera za CCM.
Mabasi karibia yote yanayoingia stendi kuu yanapeperusha bendera.
Soko la Ndugai bendera kila meza.
Mnadani bendera kila jiko.
Ama kwa hakika CCM mbele kwa mbele, amemalizia Mgaya.
Kazi Iendelee!
Chama Cha MafisadiKada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema haijawahi kutokea tokea mfumo wa vyama vingi uanze kwa mji wa Dodoma gari karibia zote na nyumba zinapepea bendera za CCM.
Mabasi karibia yote yanayoingia stendi kuu yanapeperusha bendera.
Soko la Ndugai bendera kila meza.
Mnadani bendera kila jiko.
Ama kwa hakika CCM mbele kwa mbele, amemalizia Mgaya.
Kazi Iendelee!
Bahatiii!! Nataka kuamini kwamba, mitandaoni ni sehemu yakudhibitiana Kwa namna na Kwa Hali yoyote Ile, haya bhanaCCM kinachowakusanya ni ngono
Wana wakati mgumu sana maama mama SSH tayari anawajua tabia zao ndiyo maana ameanza kuwapangua mmoja baada ya mwingineWanafiki wapo kwenye "transition period" wanahamisha unafiki wao kutoka kwa mwendazake na sasa kuja rasmi kwa Mama SSH.