Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Afadhali Matonyahuo mkoa wa wagogo sijawahiona mgogo mwenye akili za maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali Matonyahuo mkoa wa wagogo sijawahiona mgogo mwenye akili za maana
Wacha wajitekenye wao alafu wakenue meno wao kama vichaaaSasa anatuambia sisi tumsaidie nini?
Si mlishinda kwa kishindo shida iko wapi?
Akili zako bado hujaenda kwa chakubanga kuzichukua?Ccm siipendi lakini nchi hii hatuna chama cha upinzani mbadala wa CCM.
Chadema kina muundo wa kimafia ama gangstar style political party.
ACT ni kama chama cha kifalme, kina kiongozi mkuu nje ya mwenyekiti, yaani kiongozi asiechaguliwa na asiepigiwa kura ambae ana uwezo wa ku veto maamuzi yoyote ya chama kama hayaendi anavyotaka.
CUF ni branch ya CCM.
NCCR ni subsidiary wa CCM.
TLP ni investment ya CCM, yaani CCM wana significant influence kwenye maamuzi ya chama kuliko hata mwenyekiti.
Hapo aliebaki mwenye akili ni mzee Rungwe tatizo hana base ya watu. Yuko tu pale Makumbusho hata majirani zake hawamjui.
Vyama vingine vya kina Dovutwa ni vyama njaa.
Huyo tulisha mdharau kitambo kisa ubaguziBahati mbaya na wewe umekosea , umejikuta kwenye dhambi ilele ya ukabila. nasikitika.
Sisi ni watanzania.
Kwa upinzani huu wa kina mzee wa MIGA na wafuasiwake dizaini kama hawa bendera fuata upepo humu, ccm wata jinafasi sana kwenye nchi hii.Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema haijawahi kutokea tokea mfumo wa vyama vingi uanze kwa mji wa Dodoma gari karibia zote na nyumba zinapepea bendera za CCM.
Mabasi karibia yote yanayoingia stendi kuu yanapeperusha bendera.
Soko la Ndugai bendera kila meza.
Mnadani bendera kila jiko.
Ama kwa hakika CCM mbele kwa mbele, amemalizia Mgaya.
Kazi Iendelee!
Yaani mazwazwa wote kama Ndugai tuMkoa umejaa majitu majinga sn
Nani anawajali tena hao?Nimezoom picha angalau nimwone baa shiru na pelepele kwa kweli sijaambulia kitu
Hujawah kumuona Ndugai!??Ndiyo maana wagogo karibu wote ni masikini wa kutupwa na hawana elimu, nenda Udom kati ya wanafunzi elf 50 wagogo sidhani kama mnazidi mia, CCM inawapenda wajinga na maskini ndiyo maana imekita sehemu za wajinga na maskini. Sijawahi kuona mgogo tajiri maisha yangu yote.
Bila shaka huko kote ulipopataja hapajuiSio kweli.
Chadema imekua Arusha miaka 10 pale unga limited nyumba za udongo ziko katikati ya jiji.
Chaema imekua Singida Mashariki kwa Lissu nyumba za tembe za kutosha.
Chadema imekua Bunda nyumba za nyasi za kutosha.
Ni vizuri kuongea mambo ya maana humu.
Kwa kukusaidia nchi hii ya Tanzania hakuna mahala sijawahi kufika na kwa bahati nzuri zaidi nimeishi na kufanya kazi mikoa 21 ya Tanzania.Bila shaka huko kote ulipopataja hapajui
Ushindi?? Ata aibu hauna.Mkuu kitu gani hicho?
Maana kampeni zilienda vyema na ushindi ulipatikana.
Lakini pia ni kikundi cha kigaidi kama kilivyo kikundi cha Boko kharamu, Janja weed,Anti baraka n.kCCM ni taasisi
Hata jkm na krm siwaoni!Mbona hatuwaoni wakina bashiru na pole×2
Hapo
Pole×2 naona sahv hazungumzi sana kama mwanzo kwenye media yuko kimya hajawaita wakina baby kabae
Ova
Kila la Heri Kamati Kuu, tunasubiri wakati mkutano mkuu umchague SSH kuwa Mwenyekiti wa sita wa CCM. Tuna imani na Mhe. Samia Suluhu Hassan, CCM Oyee!Kamati Kuu (KK) ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imefanya kikao leo tarehe 28/04/2021 katika ukumbi wa Kamati hiyo uliopo ndani ya Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.
Ikumbukwe kwamba kikao hicho ni moja ya vikao vinavyofanyika kuelekea Mkutano Mkuu Maalum siku ya ijumaa tarehe 30/04/2021 ambao utakuwa na ajenda kubwa ya kumchagua Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa.
Vifuatazo ni baadhi ya picha za matukio yaliyojiri katika kikao hicho.
View attachment 1766654View attachment 1766656View attachment 1766658View attachment 1766659View attachment 1766662View attachment 1766663View attachment 1766665
Hususan kile chama cha pale mtaa wa ufipa.Kabisa, iko vizuri. Kuna haja ya vyama vile kujifunza jinsi.
CCM ni taasisi