Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
Huyo mzee ndio uliniambia umeongea nae niende ASAS?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikutana na mjinga, unapotaka chake, na wewe lazima uwe mjingahuo mkoa wa wagogo sijawahiona mgogo mwenye akili za maana
Ndiyo maana wagogo karibu wote ni masikini wa kutupwa na hawana elimu, nenda Udom kati ya wanafunzi elf 50 wagogo sidhani kama mnazidi mia, CCM inawapenda wajinga na maskini ndiyo maana imekita sehemu za wajinga na maskini. Sijawahi kuona mgogo tajiri maisha yangu yote.Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya anasema haijawahi kutokea tokea mfumo wa vyama vingi uanze kwa mji wa Dodoma gari karibia zote na nyumba zinapepea bendera za CCM.
Mabasi karibia yote yanayoingia stendi kuu yanapeperusha bendera.
Soko la Ndugai bendera kila meza.
Mnadani bendera kila jiko.
Ama kwa hakika CCM mbele kwa mbele, amemalizia Mgaya.
Kazi Iendelee!
Tafuta Dodoma nzima mkuu guest karibu zote ni watu wa kuja, hivi wagogo wamelogwa na nani?Sasa anatuambia sisi tumsaidie nini?
Si mlishinda kwa kishindo shida iko wapi?
Mbona hatuwaoni wakina bashiru na pole×2
Hapo
Pole×2 naona sahv hazungumzi sana kama mwanzo kwenye media yuko kimya hajawaita wakina baby kabae
Ova
Keshamaliza kazi! chezea akili za kuambiwa weye? Hadi raha!!Mbona mzee wa msoga simwoni
Bahati mbaya na wewe umekosea , umejikuta kwenye dhambi ilele ya ukabila. nasikitika.Ukikutana na mjinga, unapotaka chake, na wewe lazima uwe mjinga
Na ndiyo Maana chadema nyinyi ndio wajinga, kama mnadhani Dunia yote iko Sawa, hamtakaa mtawale Kwa kuwatusi ambao mnadhani wajinga, na hao mnaowaita wajinga, ni Lulu Kwa CCM
Nachukizwa Sana na midomo michafu ya machadema, mara sukuma gang, ili Hali Chama chenu kinasaka kuongoza nchi, hii inawapa watu kuwaepuka Baadhi ya makabila Kwa sababu ya kauli za kijinga zisizozongatia Utu wa mtu na kudhania kabila Fulani halitakiwi Kwenye Chama lenu
Ni watu wepi wa kuwaamini ninyi Ikiwa kila kabila ni wajinga ispokuwa wachaga pekee, pumbavu zenu na mtaishia kupata Kura hukohuko uchagani
Ukiambiwa kutaja matajiri, nusu saa haiishi ushamaliza Kwa majina yao, na ukiambiwa kutaja maskini Kwa majina yao, wiki nzima itaisha na Bado unataja, Chama chenu ndo hakiwataki hao hata Kwa kuwendeleza, mnataka matajiri ili wawachangie na fedha ziishie Kwenye uwekezaji wa Mb...o.....w....e siyo??Ndiyo maana wagogo karibu wote ni masikini wa kutupwa na hawana elimu, nenda Udom kati ya wanafunzi elf 50 wagogo sidhani kama mnazidi mia, CCM inawapenda wajinga na maskini ndiyo maana imekita sehemu za wajinga na maskini. Sijawahi kuona mgogo tajiri maisha yangu yote.
Basi tuijengeni Tanzania moja, bila kuwatusi watu wa kanda fulani hata kama unawazidi ElimuBahati mbaya na wewe umekosea , umejikuta kwenye dhambi ilele ya ukabila. nasikitika.
Sisi ni watanzania.
Ndiyo maana sehemu ilipo CDM hakuna nyumba za tembeUkiambiwa kutaja matajiri, nusu saa haiishi ushamaliza Kwa majina yao, na ukiambiwa kutaja maskini Kwa majina yao, wiki nzima itaisha na Bado unataja, Chama chenu ndo hakiwataki hao hata Kwa kuwendeleza, mnataka matajiri ili wawachangie na fedha ziishie Kwenye uwekezaji wa Mb...o.....w....e siyo??
Mnasafari ndefu ya kishika Dola Ikiwa maskini mnawatusi Kwa aina hiyo
Aisee!! Ndio akili zenu chadema, haya bhana!!Mkoa wa kijinga
Mkoa umejaa majitu majinga snMkoa wa kijinga
Mkuu, Kwani Hizo nyumba za kisasa ni utawala wa chadema umesababisha?? Hahahahaaa!!Ndiyo maana sehemu ilipo CDM hakuna nyumba za tembe
Mkuu kwanini usianzishe chama chako?Ccm siipendi lakini nchi hii hatuna chama cha upinzani mbadala wa CCM.
Chadema kina muundo wa kimafia ama gangstar style political party.
ACT ni kama chama cha kifalme, kina kiongozi mkuu nje ya mwenyekiti, yaani kiongozi asiechaguliwa na asiepigiwa kura ambae ana uwezo wa ku veto maamuzi yoyote ya chama kama hayaendi anavyotaka.
CUF ni branch ya CCM.
NCCR ni subsidiary wa CCM.
TLP ni investment ya CCM, yaani CCM wana significant influence kwenye maamuzi ya chama kuliko hata mwenyekiti.
Hapo aliebaki mwenye akili ni mzee Rungwe tatizo hana base ya watu. Yuko tu pale Makumbusho hata majirani zake hawamjui.
Vyama vingine vya kina Dovutwa ni vyama njaa.