Kamati Kuu CCM: Matukio katika Picha - Aprili 28, 2021

Kamati Kuu CCM: Matukio katika Picha - Aprili 28, 2021

Kamati Kuu (KK) ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imefanya kikao leo tarehe 28/04/2021 katika ukumbi wa Kamati hiyo uliopo ndani ya Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

Ikumbukwe kwamba kikao hicho ni moja ya vikao vinavyofanyika kuelekea Mkutano Mkuu Maalum siku ya ijumaa tarehe 30/04/2021 ambao utakuwa na ajenda kubwa ya kumchagua Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa.

Vifuatazo ni baadhi ya picha za matukio yaliyojiri katika kikao hicho.

View attachment 1766654View attachment 1766656View attachment 1766658View attachment 1766659View attachment 1766662View attachment 1766663View attachment 1766665
Nimezoom picha angalau nimwone baa shiru na pelepele kwa kweli sijaambulia kitu
 
nikiangalia hiyo corridor hapo namkumbuka sana mwamba wa saigon alivyommaliza swaiba wake wa siku nyingi..... jamaa alianzisha vita na watoto wa mjini mwishowe akapoteza ndoto zake na kuandika historia mpya ya maisha...wahuni sio watu wazuri... ile draft kete zilikuwa zinasukumwa balaa, ukisogeza mwenzio anasogeza.....CCM hatari sana..
 
nikiangalia hiyo collidor hapo namkumbuka sana mwamba wa saigon alivyommaliza swaiba wake wa siku nyingi..... jamaa alianzisha vita na watoto wa mjini mwishowe akapoteza ndoto zake na kuandika historia mpya ya maisha...wahuni sio watu wazuri... ile draft kete zilikuwa zinasukumwa balaa, ukisogeza mwenzio anasogeza.....CCM hatari sana..
😳 😳 😳 😳 😳
 
Kihistoria rangi za CCM ni njano na kijani. Hii nyeusi kaasisi nani? Nini maana yake?
 
Wataendeleza utamaduni?
Utamaduni utaendelea, ijumaa kada wa CCM anapewa kura za ndiyo.
Na zaidi Chama kitahakikisha maendeleo jumuishi kwa wananchi wote.

uvccm_tz-20210424-0001.jpg
 
Back
Top Bottom