Kamati Kuu CCM: Matukio katika Picha - Aprili 28, 2021

Nimezoom picha angalau nimwone baa shiru na pelepele kwa kweli sijaambulia kitu
 
nikiangalia hiyo corridor hapo namkumbuka sana mwamba wa saigon alivyommaliza swaiba wake wa siku nyingi..... jamaa alianzisha vita na watoto wa mjini mwishowe akapoteza ndoto zake na kuandika historia mpya ya maisha...wahuni sio watu wazuri... ile draft kete zilikuwa zinasukumwa balaa, ukisogeza mwenzio anasogeza.....CCM hatari sana..
 
😳 😳 😳 😳 😳
 
Kihistoria rangi za CCM ni njano na kijani. Hii nyeusi kaasisi nani? Nini maana yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…