Gwajima ni Tapeli lililokubuhu. Matapeli Hayaoni aibu. Yako tayari kufanya lolote for their own personal gain. Ushaona wapi mtu kajiua mwenyewe na kujifufua halafu anajitolea ushuhuda mwenyewe. Huyo ndiye Gwajima.
Twenty 15 alikuwa Mshenga wa Lowassa Leo mgombea wa CCM...!?
Twenty 16 alikuwa kwenye list ya wauza unga, Leo mgombea wa CCM.
Mwaka jana alikuwa na scandal ya kula mwakondoo, Leo mgombea wa CCM.
Hiki inaonyesha kuwa something somewhere is wrong na CCM.
Mwenyewe umejitutumua kuandika naona unajipa matumaini wewe na wenzako ngoja nikwambie halima atumtaki kawe wanakawe tumeamua kwenda na Gwajima na Gwajima atashinda kwa kishindoNimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu.
Huyu ni mgombea wa pili kukaguliwa live na wananchi katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea naye kukataliwa hadharani tena yeye akiwepo kwenye mkutano mpaka alifunika macho yake.
Ni kosa sasa kwa kamati kuu ya CCM kupitisha watu ambao hayakua machaguo ya wananchi, tatizo kubwa la Gwajima alikua mshindi wa 3 nyuma ya Angella na Furaha ambao nao walikua na wafuasi wao. Hili limeleta mgawanyiko mkubwa hata kwa CCM wenyewe, wajumbe wanadai hawako tayari kulazimishwa kuchagua mtu ambaye hakua chaguo lao.
JinyongeSikapendi hako kajamaa na tuhuma zake za kupora wake za watu. Yaani nimetokea tu kutokumpenda.
kama wanawake mmeamua kwenda na gwajima basi we lazima uwe yule binti gwajima alikuwa anamkatikia maunoMwenyewe umejitutumua kuandika naona unajipa matumaini wewe na wenzako ngoja nikwambie halima atumtaki kawe wanakawe tumeamua kwenda na Gwajima na Gwajima atashinda kwa kishindo
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Lakini wewe jamaa mwongo hakuna mfanoNimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu.
Huyu ni mgombea wa pili kukaguliwa live na wananchi katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea naye kukataliwa hadharani tena yeye akiwepo kwenye mkutano mpaka alifunika macho yake.
Ni kosa sasa kwa kamati kuu ya CCM kupitisha watu ambao hayakua machaguo ya wananchi, tatizo kubwa la Gwajima alikua mshindi wa 3 nyuma ya Angella na Furaha ambao nao walikua na wafuasi wao. Hili limeleta mgawanyiko mkubwa hata kwa CCM wenyewe, wajumbe wanadai hawako tayari kulazimishwa kuchagua mtu ambaye hakua chaguo lao.
Lissu akipiga magoti lazima ajikojolee,
Pascal ulisema 2020 upinzani umekufa JPM hana upinzani.Mkuu kitali , vipi siku hizi jf, kuna ma monitors wanaoshauri watu wachangie au wakae kimya?.
Kama Gwajima ndio chaguo la Mungu kwa Kawe, akiibuka mtu kusema ni wrong choice, kwanini tukae kimya?.
P
Nasema hivi tumeamua kwenda na Gwajima maliza yote ila kale kamama kajizi mwaka huu hakana chake kawe.kama wanawake mmeamua kwenda na gwajima basi we lazima uwe yule binti gwajima alikuwa anamkatikia mauno
Subiri uone atakavyoshinda kwa kishindo sijui utasema waumini wake ndio waliompigia kura peke yako maana Gwajima anakwenda kushinda kwa kishindo wanakawe tunamkubali Gwajima.Wanaopiga kelele nyingi Gwajima atashinda ni Waumini wake, Wana CCM wengi wa Kawe hawamtaki.
Kawe hatumtaki na asahau ubunge,lazima abaki kanisani kukata mauno na wauminiNasema hivi tumeamua kwenda na Gwajima maliza yote ila kale kamama kajizi mwaka huu hakana chake kawe.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
kawe asahau lazima mbaki naye kukata mauno kanisaniNaona utakuwa umetembelea kata ya Kawe ambayo haiko Dar es Salaam.
Aliyekataliwa waziwazi kwenye kata zote ni mgombea wa Chadema, Mdee.
Gwajima anakubalika kwenye kata zote, kwa rika zote.
Subiri Octoba 28 ndo utaona maamuzi ya watu wa jimbo la Kawe watakavyompa kura za kutosha Askofu Gwajima.
Usimlinganishe Gwajima wewe embu jiangalieKAwe ni bahati mbaya! Halima hovyo, Gwajima hovyo! Chagueni kati ya mashetani wawili maana sijawahi sikia jimbo lisilo na mbunge baada ya kukosa mwenye sifa.
Wewe unajikuta unaongea kitu ambacho hukielewi tuulize sisi tutakuelezea yote kuhusu gwajima. Huyo tayari tushamchukua kawe kama unaona shida kwako hama kawe.Nimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu...
Wewe ni kama mpuuzi tuNaona mkono wa baunsa akipiga jaramba pale.
Pambana na hali yako gwaj boy ndo mbunge wetuSikapendi hako kajamaa na tuhuma zake za kupora wake za watu. Yaani nimetokea tu kutokumpenda.
Kamati haikuwa huru na maamuzi full stop!!!Watu wote kwenye CC ya chama hawakuona kosa kumpata nafasi, unadhani hawakupima, hawa kusikiliza hizo propaganda kabla ya kuamua?.Tulia dawa iingie vizuri, Bishop. Gwajima ndio dawa ya Halima Mdee,naye atashinda kwa kishindo.
Hapati ubunge huyo wala usipate fabu. Kawe siyo Gongo la mboto
Unakuchukuliaje Goms wewe! Jiheshimu