Wakumbushe mzeeEthiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin
Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee
mwenye nafasi kubwa yakushinda ni gwajiboy. Kawe washamchoka halima amekuwa mbunge kipindi kirefu Sana.So jimbo halitakuwa na mbunge
Gwajiboy hana tofauti na wewe, unaweza kuta unasali kwake. Wanakawe tunamtaka mdee, piga kelele kwa mdeeeeeeee
mwenye nafasi kubwa yakushinda ni gwajiboy. Kawe washamchoka halima amekuwa mbunge kipindi kirefu Sana.
Atashinda ila hafai
Walikosea na kadri muda unavyokwenda baadhi ya wajumbe wa vikao hivyo wanazidi kujiweka kando na uamuzi huo ingawa walishiriki.
Nimekuekewa Paskali. Hapo ndio tunaingia kwenye sayansi ya "split personality". Rejea William Shakespeare, Dr. Jekyll and Mr. Hyde. Upande mmoja tunaye Gwaji ambaye ni Mtume Paulo na ule mwingine ni Saul. Hivyo unashauri tumchague Gwaji kama Mt. Paulo na tumwache Gwaji ambaye ni Saul. Tatizo linalojitokeza hapo ni lini utajua kwamba aliyepo leo ni Paulo na si Sauli ili watu waweze kumchagua. Ufumbuzi wake ni kuwaacha wote na si kucheza patapotea.
Hana msimamo hatufai....HAUWEZI KUAPA MADHABAHUN KUWA UBUNGE SIYO SAIZI YAKO UBUNGE NI KUJISHUSHA UTABAKI KUMTUMIKIA MUNGU ALIYEHAI...Leo unagombea UBUNGE..GWAJIMA HATUFAI KAWE...HALIMA MDEE NDIYO KAWE NA KAWE NI HALIMA MDEEKwa kusema tu kwamba CCM ni chama kizoefu na kikongwe unatakiwa kuelewa kwa uzoefu wake kilijua kinahitaji kiongozi jasiri kama Gwajima kwa ajili ya maendeleo ya Kawe...
DuuuhHuo ni mtazamo wa jicho la kibinaadamu kwa upande wa mipango ya Mungu ni tofauti, Gwajima yule aliyesema hayo na kutenda hayo ni Gwajima mwingine na Gwajima huyu mgombea wa Kawe ni Gwajima mwingine kama ilivyo kwa Sauli na Mtume Paulo.
Gwajima huyu ndie chaguo sahihi kwa Kawe.
P
Usihukumu, usije nawe ukahukumiwa. Juzi hapa tumemshuhudia akifanya tendo la kikristo na kijasiri kwa kwenda kujipatanisha na Kardinali Pengo aliyemkosea adabu hapo nyuma.Hukumu lazima itolewe mapema kulingana na matendo yako
Huu ni uongo, tumia correct tenses, Gwajima alitukana enzi zile za zamani na yalipita, yalikwisha. Kusema anatukana ni uongo wa mchana kweupe.Askofu Gwajima ambae vikao vizito vya chama vilimpisha anatukana/kebei dini zingine.Kawe ina wakaazi wa dini zote WaIslam,Wakatoliki,Walutheri,Mirovian ambao ni wapiga kura.
Kwa hiyo sasa hivi anazipenda dini zote?Siasa ni noma aisee!Huu ni uongo, tumia correct tenses, Gwajima alitukana enzi zile za zamani na yalipita, yalikwisha. Kusema anatukana ni uongo wa mchana kweupe.
P
'...embu' ndo nini? Matatizo ya kushinda kutwa unafagia kanisa badala ya kujisomea.
Alitukana enzi zile..... alipokutana na shetani enzi zile, sasa hivi kakutana na Mungu eti! Huko mjengoni akilutana tena na shetani itakuwaje?Huu ni uongo, tumia correct tenses, Gwajima alitukana enzi zile za zamani na yalipita, yalikwisha. Kusema anatukana ni uongo wa mchana kweupe.
P
UMEANDIKA UJINGA TUPU! HAISHANGAZI UNAMWONA GWAJIMA ANASTAHILI..MISUKULE BWANA!Nawapongeza Sana CCM na kamati Kuu kusema kweli wanaakili na wanaona mbali sana nyie wapuuzi mnaoagalia tu hapa mbele hamuwezi elewa lakin wanakamati wakuu wanajua nin wanafanya ndo maana walimchagua Gwajima hvyo kama kunamtu anateseka aendelee tu kuteseka tena akateseka vbaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]maana Gwajima ndo mbunge wetu wa kawe
HUYO AENDELEE KUWATUMIKIA NYIE MISUKULE WAKE!Gwajima kawe inakusubiri nenda kawatumikie wananchi wako achana na maneno ya wakosaji
MISUKULE UTAIJUA TU!Tar 28 octob ndo utajua kama ccm ilikosea maana halima mdee hana chake kawe, Gwajima ameshapita anasubir kuapishwa tu
Kawahiyo wananchi wa kawe n misukule sio hahaha sawa atawatumikia ipasavyoHUYO AENDELEE KUWATUMIKIA NYIE MISUKULE WAKE!
We mwenyewe msukule wa halima sema hujitambui bora sisi tunajielewa kima weweMISUKULE UTAIJUA TU!