Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) imeielekeza Serikali kutazama hali halisi na kuchukua hatua stahiki kuhusu maoni na ushauri wa Wananchi kuhusu # Tozo za Miamala ya Kielektroniki.
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka amesema Kamati Kuu ya Taifa imeona kuna umuhimu wa kutafakari kuhusu Tozo iliyoanza kutekelezwa hivi karibuni.
Amesema “Maelezo hayo yamezingatia Ibara ya 20 Kifungu kidogo B ya Ilani ya Uchaguzi 2025, kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa gharama nafuu kwa kupanua wigo wa matumizi ya TEHAMA, kuchochea uwekezaji wa ndani na kukidhi mahitaji halisi ya Wananchi hususani waishio vijijini.”
Huyu kijana yupo mtupu kichwani.