CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Wanamjadili MTU.View attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.
View attachment 2423825
Hawamuwezi yule ni mwanazuoni mbobezi.Bashiru Ally kikaangoni
View attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.
View attachment 2423825
Pakiti mbili hapa,tafadhali!And,quickly needed!Pop corn for sale
Watajadili namna ya kumshambulia chuma Bashiru😂Wakijadili mgao wa umeme na maji mniite Umbwa nimekaa paleee!
Tafuna hizo huku ukiendelea kusubiri matokeo ya kikao cha KK ya ChamaPakiti mbili hapa,tafadhali!And,quickly needed!