Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Wanaenda kujadili mambo ya madaraka, wakati umeme na maji yamewashinda. Wazungu kutuita manyani hawajakosea.View attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.
View attachment 2423825