Utaula wa chuya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 495
- 1,344
Hilo jengo lianguke lote asitoke hata mmoja, amen.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashiru atakuja kupinga na hiliHii ya kufanyia vikao ikulu nadhani imeanza na mwenda zake. Niko tayari kukosolewa.
Huyo hayupo vichwani kwa wenye akili kubwa,Bashiru Ally kikaangoni
Kwisha habari yako. Harudi tenaaa.Tunalala giza tunaamka hatuna maji na wengine hawana ajira wala hawajui watamudu vipi gharama za maisha.
Kila kitu kipo juu.
Ila kuna fedha za kulipa vyeti feki na wafanyabiashara waliokwepa kodi.
Hivi mwilini huwa kuna sehemu mbaya?Curiosity!Naona Bashiru kawashika pabaya
Tuelekeze huo mfumo mkuu.Wengine "tumezaliwa" miaka ya "aftatu" ya hivi karibuni.
Jaribu kuweka kumbukumbu zako sawa ,Hii ya kufanyia vikao ikulu nadhani imeanza na mwenda zake. Niko tayari kukosolewa.
kwakweli hamjui . itoshe tu kumkumbusha kuwa Lowasa alikuwa na nguvu sana ajiulize kwa mara ya mwisho alimuona wapi? kwanini mzee kingunge aling'atwa na mbwa wake mwenyewe tena asubuhi akitoka mazoezini? nini kiliwatokea mbwa wale?Sidhani kama anamjua mkuu. Angemjua huyo asingesema alichosema.
Nilitii amri ya kuhama nchi mkuu.Nipo hapa Chibhitoke!Mfumo mbovu upo mpaka leo. Wewe unaishi nchi gani kwani?
Hivi kanuni zetu zinasemaje kuhusu vikao vya vyama kufanyika IKULU, manake tunavyojua sisi IKULU ni nyumba (Ofisi) kuu ya Serikali na si mali ya vyama vya siasa.
Wengine walianza hilo tangu "march 17" mwaka ule!Siku hichi chama kikikata roho nitachinja ng'ombe na kufanya sherehe kubwa sana.
Nyinyi ndio mnafanya wazungu wanaendelea kutuona manyaniKwisha habari yako. Harudi tenaaa.
Hii ilikuwepo hata enzi za Nyerere hivyo umuandame Mheshimiwa Samia eti kwakuwa tu humpendi.Hivi kanuni zetu zinasemaje kuhusu vikao vya vyama kufanyika IKULU, manake tunavyojua sisi IKULU ni nyumba (Ofisi) kuu ya Serikali na si mali ya vyama vya siasa.
Amen!Hilo jengo lianguke lote asitoke hata mmoja, amen.
Wallahi natamani itokee hapo shoti ya umeme yafe yote. InshallahSiku hichi chama kikikata roho nitachinja ng'ombe na kufanya sherehe kubwa sana.
Kwahiyo atarudi au?Nyinyi ndio mnafanya wazungu wanaendelea kutuona manyani
kwa hiyo kama baba yako akiwa kibaka wewe kwa upande wako kurithi fani hilo halikupishi shida siyo !!Hiyo
Hii ilikuwepo hata enzi za Nyerere hivyo umuandame Mheshimiwa Samia eti kwakuwa tu humpendi.