Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mbuzi. Mtu mbaya sana kama msura wake. Ana jinai mbaya sana aliifanya back in the days late 1960sMefurahi kumwona Mheshimiwa Stephen Wasira
Sijawahi zisikia ndo zipi izooo?Hiyo mbuzi. Mtu mbaya sana kama msura wake. Ana jinai mbaya sana aliifanya back in the days late 1960s
WhyView attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.
View attachment 2423825
Ya kifamilia kwa maslahi yake binafsi zama za wasomi wachache. Mimi mhaya kwa mama ni watu wa Musoma..ana ushenzi wake huyu msura mzito. Mshenzi sana kama msura wakeSijawahi zisikia ndo zipi izooo?
Hii ni Afrika Bwana...Hivi kanuni zetu zinasemaje kuhusu vikao vya vyama kufanyika IKULU, manake tunavyojua sisi IKULU ni nyumba (Ofisi) kuu ya Serikali na si mali ya vyama vya siasa.
Kumbe more ya kibinafsi na familiaaaa ... nilijua kisiasa na serikaliiYa kifamilia kwa maslahi yake binafsi zama za wasomi wachache. Mimi mhaya kwa mama ni watu wa Musoma..ana ushenzi wake huyu msura mzito. Mshenzi sana kama msura wake
Fact.Haya yote ni matunda ya mfumo mbovu alioujenga Nyerere
Bashiru ni kiboko,hawana hamuView attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.
View attachment 2423825
Huu utaratibu wa kufanyia vikao vya ccm ikulu aliuanzisha MagufuliHivi kanuni zetu zinasemaje kuhusu vikao vya vyama kufanyika IKULU, manake tunavyojua sisi IKULU ni nyumba (Ofisi) kuu ya Serikali na si mali ya vyama vya siasa.
Nimependa sana hii kitu ya namna Rais alivyokubali jina lake liandikwe, napenda isambae kwa wote wenye madarakaView attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.
Mavi ya njiwaZama zinabadirika ila mwanadamu ni yule yule, zama zetu tukitembea umbali mrefu kutoka Kijiji A kwenda B njiani unakutana na katoto kadogo kanalaza fimbo njiani na kukwambia "usiiruke" ukikadharau udogo wake ukaivuka na kujaribu kukapiga hutojua mapandikizi ya vijana yametoka wapi, utapigwa hadi uzimie.
Kamati kuu msifanye kosa la kumjadili Bashiru "dogo" na hata kumfukuza uanachama kabla ya kujilidhisha Kuna nani nyuma yake na wana ajenda gani!
Nafikiri tukodishe viongozi toka Ulaya kama tufanyavyo kwa makocha🤣🤣🤣Wanaenda kujadili mambo ya madaraka, wakati umeme na maji yamewashinda. Wazungu kutuita manyani hawajakosea.
Huenda ni maji ya mdau wao kapewa tendaSku Hz hawanywi maji ya Kilimanjaro , mwendo wa dew drop
tuanze kumpongeza mwenyekiti na fikiri kikao ni kwa ajili ya huu umeme unaokatika mara kwa maraView attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.
View attachment 2423825