Kamati Kuu ya CCM yakutana Ikulu kwa dharula chini ya Mwenyekiti wake Rais Samia

Kamati Kuu ya CCM yakutana Ikulu kwa dharula chini ya Mwenyekiti wake Rais Samia

Attachments

  • Screenshot_20211029-110122.png
    Screenshot_20211029-110122.png
    234.4 KB · Views: 2
Hivi kanuni zetu zinasemaje kuhusu vikao vya vyama kufanyika IKULU, manake tunavyojua sisi IKULU ni nyumba (Ofisi) kuu ya Serikali na si mali ya vyama vya siasa.
Hii ni Afrika Bwana...

Kule Mbele ni nadra kukuta vikao vya chama majengo ya serikali

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Haya yote ni matunda ya mfumo mbovu alioujenga Nyerere
Fact.

Tulikuwa tunaambiwa zidumu fikra za Mwenyekiti wa chama, tunaitikia ZIDUMU!

Na akiwa kijana huko Scotland anadai alikuwa member wa The Fabian Society... ambacho ni kijiwe cha mijadala na uhuru wa maoni kuanzia mchana mpaka kunakucha.

Mtu mwenye exposure ya siasa za dunia na uhuru wa maoni na sheria na haki za watu na kila kitu kwa kiwango cha Uingereza iweje akaja nyumbani na mawazo ya kidikteta dikteta kama ya kina Amini, Bokassa, Mobutu, Mengistu, Babangida, mijitu ambayo haijaenda shuleeeee ????

Na hili li Muungano lake alilotutwika shingoni. Our history's worst mistake.
 
Hivi kanuni zetu zinasemaje kuhusu vikao vya vyama kufanyika IKULU, manake tunavyojua sisi IKULU ni nyumba (Ofisi) kuu ya Serikali na si mali ya vyama vya siasa.
Huu utaratibu wa kufanyia vikao vya ccm ikulu aliuanzisha Magufuli
 
Kutumia Ofisi zetu kwa Shughuli za Chama hii imekaa vipi ? Wanalipia ? Hii sio Mali ya Chama mjue!???

Wanasiasa wa Sasa inabidi wajue ukiwa Rais ni Rais wa Nchi na sio Chama kama vipi Rais asiwe na kofia nyingi shughuli za Chama amwachie mwingine..
 
View attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.
Nimependa sana hii kitu ya namna Rais alivyokubali jina lake liandikwe, napenda isambae kwa wote wenye madaraka
1669110764044.png
 
Zama zinabadirika ila mwanadamu ni yule yule, zama zetu tukitembea umbali mrefu kutoka Kijiji A kwenda B njiani unakutana na katoto kadogo kanalaza fimbo njiani na kukwambia "usiiruke" ukikadharau udogo wake ukaivuka na kujaribu kukapiga hutojua mapandikizi ya vijana yametoka wapi, utapigwa hadi uzimie.

Kamati kuu msifanye kosa la kumjadili Bashiru "dogo" na hata kumfukuza uanachama kabla ya kujilidhisha Kuna nani nyuma yake na wana ajenda gani!
Mavi ya njiwa
 
Wanaenda kujadili mambo ya madaraka, wakati umeme na maji yamewashinda. Wazungu kutuita manyani hawajakosea.
Nafikiri tukodishe viongozi toka Ulaya kama tufanyavyo kwa makocha🤣🤣🤣
 
View attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.

View attachment 2423825
tuanze kumpongeza mwenyekiti na fikiri kikao ni kwa ajili ya huu umeme unaokatika mara kwa mara
 
Back
Top Bottom