Kuna watu husingizia 'maadili', kujifanya kuna sehemu zisizotajwa kwenye mwili wa binaadam, kana kwamba hazipo au hawazijui!Hiyo maana sijaipenda.Sehemu mbaya?"Hau"!Iitwe sehemu "fulani" /itajwe jina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu husingizia 'maadili', kujifanya kuna sehemu zisizotajwa kwenye mwili wa binaadam, kana kwamba hazipo au hawazijui!Hiyo maana sijaipenda.Sehemu mbaya?"Hau"!Iitwe sehemu "fulani" /itajwe jina.
Utajua nini,sema ulikuwa bado unachambishwa.Wacha uongo.
" Usichezee dola, chezea ndevu"- KOMANDOO, Dr. Salmin Amour Juma.Kamati kuu msifanye kosa la kumjadili Bashiru "dogo" na hata kumfukuza uanachama kabla ya kujilidhisha Kuna nani nyuma yake na wana ajenda gani!
Swali zuri sana.Hawa wajumbe huwa wapo sehemu moja , kuweza kuwakusanya kwa haraka namna hii? Au kuna namna hela na rasilimali za serikali zinatumika ??
Wewe ni mwongo wa kipumbavu kabisa, na huna ulijualo ila kuropoka tu kama hao wenzio hapo wanavyoropoka.Utajua nini,sema ulikuwa bado unachambishwa.
Hapana. "Tako" siyo'sensitive' kivile!unapita zako tu mtaani ghafla mtu akushike tako🤭 utajisikiaje mkuu!
CCM ni kubwa kuliko mtu yoyote ndani ya Chama,Watajadili namna ya kumshambulia chuma Bashiru😂
CCM ni kubwa kuliko mtu yoyote ndani ya Chama,
Acha kuwewesekaHilo jengo lianguke lote asitoke hata mmoja, amen.
Kuwa mpole kuna siku watajisahau na wote watapanda Precision airHilo jengo lianguke lote asitoke hata mmoja, amen.
Dua la kuuku hili sana, tuombeaneni mambo mema Ndg zangu,Kuwa mpole kuna siku watajisahau na wote watapanda Precision air
CCM ni Chama kikubwa na makini, Kuweni wapole kila kitu kitakuwa Sawa,Wahakikishe wakitoka hapo wapo na kichwa cha bashiru
Ziara ilianza baada ya kamati kuu au Rais aliahirisha ziara Manyara?View attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.
View attachment 2423825
View attachment 2424541
Baada ya Kamati Kuu,Ziara ilianza baada ya kamati kuu au Rais aliahirisha ziara Manyara?
MarjarliwerView attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.
View attachment 2423825
View attachment 2424541