Emen
JF-Expert Member
- Jun 22, 2021
- 2,069
- 3,516
Nafikiri tukodishe viongozi toka Ulaya kama tufanyavyo kwa makocha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi inawezekana kukodisha Kweli?like tuwe na makamo wa raisi Mzungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri tukodishe viongozi toka Ulaya kama tufanyavyo kwa makocha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ChamadolaHivi kanuni zetu zinasemaje kuhusu vikao vya vyama kufanyika IKULU, manake tunavyojua sisi IKULU ni nyumba (Ofisi) kuu ya Serikali na si mali ya vyama vya siasa.
Haha labda viongozi wa kuongoza taasisi kama alivyofanya mkapa Tanesco aliwapa sijui Group 5 au7 hivi.Hivi inawezekana kukodisha Kweli?like tuwe na makamo wa raisi Mzungu
Kwani huyu ndiyo rais wa kwanza kuitumia ikulu kwa shuguli za kichamaKutumia Ofisi zetu kwa Shughuli za Chama hii imekaa vipi ? Wanalipia ? Hii sio Mali ya Chama mjue!???
Wanasiasa wa Sasa inabidi wajue ukiwa Rais ni Rais wa Nchi na sio Chama kama vipi Rais asiwe na kofia nyingi shughuli za Chama amwachie mwingine..
Yeah! Kwenye 'mayai' ya mwanaume; Sio pazuri hata kidogo. Ukibinywa hapo, utaongea lugha zotee 😀😀😀Hivi mwilini huwa kuna sehemu mbaya?Curiosity!
Kwenye vikao vya chama chao haingii kama rais, anaingia kama mwenyekiti. Kwa hiyo haipo mheshimiwa.Nimependa sana hii kitu ya namna Rais alivyokubali jina lake liandikwe, napenda isambae kwa wote wenye madaraka View attachment 2423977
Huu sio wakati wa kutumia Kodi za wananchi kukaangana. Huu ni wakati wa kutatua kero ya maji, umeme na mfumuko wa Bei.Bashiru Ally kikaangoni
hadi sasa nasikia subwoofer used iko mahali imejichimbia na tu-spika zake ndogondogoKuna fununu kwamba kamati kuu nyingine nayo imeketi sehemu - kama mbwai na iwee....?.. !! ...... weka chuma.....weka...? !!
Walikuwa wanaitwa Net Group Solution.Haha labda viongozi wa kuongoza taasisi kama alivyofanya mkapa Tanesco aliwapa sijui Group 5 au7 hivi.
Kwahio watu kama walikuwa wanakula nyama za watu waendelee kula nyama za watu ?Kwani huyu ndiyo rais wa kwanza kuitumia ikulu kwa shuguli za kichama
Ova
hakuna kitu kama hicho utamu wa kile kitu muulize Theodoro abiang Nguema MbasogoMara paap "mi nawaachia li nchi lenu haiwezekani kila nachofanya hamkioni wala kukithamini, mijitu ya bara sijui ikoje. Siipendi na misura yenu kama mnasimulia ajari ya moto"
Asante sana...kule kwetu Rwanda twasema Urakoze cyane🤣Walikuwa wanaitwa Net Group Solution.
Group 5 ni wale waliojenga twin towers za BoT!
Aisee ilo neno Wazanzibara tunalisubiria kwa hamu kubwa.Watu wataoga Balimi Lager!Mara paap "mi nawaachia li nchi lenu haiwezekani kila nachofanya hamkioni wala kukithamini, mijitu ya bara sijui ikoje. Siipendi na misura yenu kama mnasimulia ajari ya moto"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kweli Bi.Mkora kachokwa🙌Hilo jengo lianguke lote asitoke hata mmoja, amen.
Hayo ndiyo yanampotosha Bi.Mkora,ana jipya gani zaidi ya kusema wakati wa Mwalimu tulifanya hivi na vile🤣🤣Mefurahi kumwona Mheshimiwa Stephen Wasira
The can do any thing the want but this Time God Him self stand with Tanzania and He want to do some thing we could never believe just🤐🤐🤐🤐View attachment 2423823
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika Jumanne tarehe 22 Novemba, 2022 Dodoma.
View attachment 2423825