Kamati Kuu ya CHADEMA, mkiteua wabunge wa Viti Maalumu kuingia Bungeni, mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana

Siasa nje ya bunge huwa zinagoma kufanyika?
 
Ujinga ndio utafanya wasimangwe.

Ile tabia ya kutoa hoja kwa ukali na hisia kubwa hadi mtu anapoteza hekma ya maneno,ndicho kinacholeta shida.

Pia tabia za kutoka bungeni,inaweza kuwa ni haki yao na wanaitekeleza kujitenga na matumizi mabaya ya madaraka ya bunge kutunga sheria kandamizi,ila wanajua jinsi ccm wanavyonufaika na ujinga wa watanzania katika hili?
Wanajua kuwa kuna wananchi wengi hawajawahi kuwaelewa hicho wanachokifanya simply tu sababu ya ujinga mwingi uliopo kwa wananchi wetu?

Mara zote hoja ya ukweli,ukiiongea kistaarabu,ukashauri kiungwana,haiwezi kufutika katika masikio ya unayemshauri.
Hata wananchi wanaelewa sana hoja za namna hii kwa kuwa zina kwenda sambamba na tabia na utamaduni waliozoea watanzania wa kuamini amani ni upole hata katika kutoa hoja.Ukifoka hata kama unaongea ukweli mtupu haueleweki.


Mwisho waachane na hoja za kizushi zinazotokea kwa sababu ya uvumi tu au zilizoasisiwa na wana ccm wenyewe ili kufitiniana halafu wapinzani mnazidandia.Mfano hoja ya Lowasa kuwa ni fisadi iliasisiwa na wana ccm wenyewe kwa ajili ya vita ya uwaziri mkuu.Wakaleta hoja kwa upinzani,nao wajajimilikisha hoja hiyo ila baadae wakalazimika kula matapishi yao
 
Chadema iwapo itapeleka wabunge bungeni baada ya ujinga wote huu uliotokea maana yake imeiunga mkono CCM katika udhalimu wake, nayo itakuwa haina uhalali wowote mbele ya umma kudai reforms zozote za msingi katika nchi
Kwakweli wakishindwa kuliona hili, basi watakuwa wamejimaliza kisiasa.
 
Hujui hata utaratibu
Majina yanatakiwa kufika time,mapema zaidi kabla uchaguzi
Itakachofanya tume no kupiga mahesabu kutokana kura mlizopata,kwa mfano hesabu zikisema mnapata wabunge watano,tume itachukua wa Kwanza Hadi wa tano kwenye listi mliowatumia,itawateua
Kazi itakua kwenu kuwafukuza chama
Kumbuka huwezi kumpoka ubunge kirahisi mwanachama wako
Tulieni tu mjijenge sio lazima mbowe na lema wawe wabunge
 
Kuna mnyukano huko wa hatari kina Matiko, Mdee, Bulaya, Magelesi and the likes wameunda women wing kushinikiza kamati kuu kuwaruhusu wateuliwe na kushiriki bingeni kama viti maalum, vinginevo wakiwahama wasilalamike.
We ulisikia wapi.
 
Ingekuwa viongozi wa Chadema na ACT Wazalendo hawajakamatwa usiku wa kuamkia maandamano , jeshi la polisi limeahidi kulinda haki yao ya kuandamana na wanajeshi wamebaki kambini halafu watu wasiandamane ndio tungeweza kusema kweli wamekataliwa.

Amandla...
 
Zile 330 + million kila mwezi ( X 60 ) kwa miaka mitano matokeo yake ni kupanga tu hapa chini .... .. .

View attachment 1621784
Why ujauliza chopa imelipwa vipi kufanya kazi ya kampen?

Why ujauliza Yale magari yananunuliwa na pesa zipi?

Nyie ccm office mpya ya chama mliojenga kwa ruzuku zenu iko wapi?
 
Kama mnufaika wa ruzuku ni mwenyekit na kazi Hana mpaka miaka mitano tusubir muda tu utaongea lazima wabunge wa vit maalum wateuliwe Sasa nyie makamanda kuwen Makin Sana na uzi zenu isije kua aibu apo baadae

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kama unadhani Mbowe kipato chake kinatokana na ruzuku basi haumjui.

Amandla...
 
Kitu cha muhimu kuliko vyote ni kuwashirikisha ACT-Wazalendo katika maamuzi yao. Pamoja na kwamba ninashauri wachukue ruzuku na viti maalum ( ambazo sio fadhila bali ni haki yao) ni lazima waelewe machungu ya wenzao waliyoyapata pia. Chadema wanawahitaji ACT-Wazalendo ili kuweza kushinda huu mpambano.

Amandla...
 

Sasa solution ya uonevu huo ni ama kupambana ili uondoke, au kama huwezi kupambana acha siasa, unga mkono juhudi, au hamia CCM lakini usilazimishe chama chote kihalalishe haramu.

Unataka waende bungeni kwa mgawo wa viti vinavyotokana na uchaguzi feki?.

Yeyote anayeona safari ya kupigania haki imekuwa ngumu, basi atoke tu kwa heshima, ajikalie pembeni. Bora askari 10 walio committed kuliko 100 wasio na moyo wa mapambano

Viti maalum na ruzuku ni haki yao kama uchaguzi ni halali lakini siyo haki yao kama uchaguzi ni feki uliojaa kila aina ya uonevu, ghilba, makandokando etc.

Huwezi kutoa statement ya kutoutambua uchaguzi, halafu uwe wa kwanza kutaka kunufaika na uchaguzi huo. Huo ni Ujinga au unafiki wa kiwango cha kimataifa!
 
Yaani nimeamini CCM ni wehu kabisa , yaani uvuruge uchaguzi , uibe kura , uzuie mawakala , uue , ujeruhi , ubambikie kesi wapinzani , uteke , umwage damu ilu upate ushindi, umshinde mpinzani wako kwa kuwatoa roho ili ubaki peke yako , wewe huyohuyo tena uanze kuwalazimisha uliowazuia kushinda kuwapa ubunge , sijui viti maalum , sijui Zanzibar uwalazimishe kushiriki serikali ? Huu sio wehu? Kila siku nawaambia kuna mtu anaumwa bipolar disorder , kichaa kabisa , sifa yoyote ya mtu mzima ni kuchagua maneno ya kutamka na kutenda CCM ni wehu yaani kumbe wana shida sana na madaraka mpaka wamwage damu za watu .
 
Why ujauliza chopa imelipwa vipi kufanya kazi ya kampen?

Why ujauliza Yale magari yananunuliwa na pesa zipi?

Nyie ccm office mpya ya chama mliojenga kwa ruzuku zenu iko wapi?
Hizo ndio sababu tosha kwamba Watanzania hawawapi kura kwa sababu ya ubinafsi wenu.
 
Hizo ndio sababu tosha kwamba Watanzania hawawapi kura kwa sababu ya ubinafsi wenu.

Akili zako ndio zimeishia hapo
Hauna hoja,

Nenda huko fb ukaongee na watoto wenzako
 
Akili zako ndio zimeishia hapo
Hauna hoja,

Nenda huko fb ukaongee na watoto wenzako
Na wewe hoja zako ni zipi? Kutajirisha kikundi cha Mbowe, Membe na Zito? Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Na wewe hoja zako ni zipi? Kutajirisha kikundi cha Mbowe, Membe na Zito? Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kama serikali inawatambua Hao watu ww ni Nani Mpaka ujifanye una akili Sana?

Kwani ccm hakuna matajiri?
Wale wakina Rostam, Asas, wale ni maskini?

Huna hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…