Uchaguzi 2020 Kamati Kuu ya CHADEMA msimtie huzuni Lissu, kukubali adhabu ya kinyonyaji maana yake ni kukubali hata jaribio la kuibiwa kura

Uchaguzi 2020 Kamati Kuu ya CHADEMA msimtie huzuni Lissu, kukubali adhabu ya kinyonyaji maana yake ni kukubali hata jaribio la kuibiwa kura

Mbowe anajutia kumpa nafasi mtu ambaye hataleta hata mbunge
Baada ya uchaguzi, hata hiyo nafasi ya umakamu mwenyekiti watampora. Iwapo kama kwenye kampeni hawapo naye bega kwa bega jua wameshaona hana faida yeyote kwenye chama siyo mtaji wa chama (is no longer liability or asset-yupo yupo tu0, maana wabunge na madiwani watakuwa wa kutafutwa kwa tochi bungeni na kwenye halmashauri
 
Nimekuuliza hivi kuonyesha upumbavu wako, na kwa jinsi ulivyo mpumbavu umeingia vile vile.

Mwanaume unaongea kama Hadija Kopa wa TOT? Mipasho!

Lissu akiongea Magufuli anajibu
Samia Suluhu anajibu
Majaliwa anajibu
Polepole anajibu
Yusuph Makamba anajibu
NEC wanajibu
Polisi wanajibu
Mapoyoyo kama wewe mnajibu

Halafu unasema tumekosea kumsimamisha Lissu.

Kapime afya ya akili yako
Sio hao tu na Wengine Wengi.

Pale inapotokea kibaraka mmoja anazungumza maneno ya kupotosha umma kuanzia ndani ya Tanzania hata Nje ya Tanzania,basi Lazima yatolewe maelezo ambayo yatafanya ujue kumbe huyu bwana ana jambo lake na kutupotosha.

Hii hufanywa kwa Manufaa ya Tanzania na Wananchi wake ili kuendelea kudumisha Umoja na amani ya nchi na sio kuleta Vurugu na chuki kama anavyotaka.

So,Inapotokea Jambo for public interest,Lazima viongozi wetu wajibu ili kuweka mambo sawa.
 
Mgombea wao kila siku anakiuka maadili ila wanagwaya hata kumpa karipio.

Lissu mwendo mdundo...we nenda kwemye kampeni kama wao wanaume basi wakupige mabomu ili wakinukishe!!

Bila kuheshimiana ni kheri tugawane fito ili ijulikane moja!!
 
Sio hao tu na Wengine Wengi.

Pale inapotokea kibaraka mmoja anazungumza maneno ya kupotosha umma kuanzia ndani ya Tanzania hata Nje ya Tanzania,basi Lazima yatolewe maelezo ambayo yatafanya ujue kumbe huyu bwana ana jambo lake na kutupotosha.

Hii hufanywa kwa Manufaa ya Tanzania na Wananchi wake ili kuendelea kudumisha Umoja na amani ya nchi na sio kuleta Vurugu na chuki kama anavyotaka.

So,Inapotokea Jambo for public interest,Lazima viongozi wetu wajibu ili kuweka mambo sawa.
Pumbavu kabisa, kipimo cha uzalendo ni nini?

Kusupport CCM ndio uzalendo? Mbona wewe ni MPUMBAVU wa kiwango cha lami!

Kuna amani bila ya haki? Waliomuua Akwilina wako wapi?

Kwa nini hakuna tume huru? Tuanzie hapo
 
CHADEMA ishamshtukia Lissu ndio maana kina Mbowe wamejitenga na yeye.

Mbowe anajuta kumpa Lissu apeperushe bendera ya CHADEMA maana chama linaenda kujifia October
Mbowe huwa anakugegeda? Haya uneyatoa wapi?
 
Pumbavu kabisa, kipimo cha uzalendo ni nini?

Kusupport CCM ndio uzalendo? Mbona wewe ni MPUMBAVU wa kiwango cha lami!

Kuna amani bila ya haki? Waliomuua Akwilina wako wapi?

Kwa nini hakuna tume huru? Tuanzie hapo
Tanzania hakuna Tume huru ya Uchaguzi?

Mnafikiri inapotokea mmevunja sheria na Tume ya uchaguzi ikafuata sheria kuwaonya au kuwapunish.
Je hiyo tume inakuwa sio huru??

Taratibu na Sheria lazima zifuatwe!
 
Hakuna kurudi nyuma, mikutano ya Lissu iendelee. Kitendo chochote cha kukubaliana na maamuzi ya hao MAJUHA wa Tume ya uchaguzi ni kutoa upenyo wa UFEDHULI mkubwa hapo Oktoba 28.
 
Umoja na mshikamano UPI?
Kama Akishinda Mtanzania aliyegombea kwa Chama Cha Chadema akishinda hatangazwi bali anatangazwa Mtanzania mwngine wa CCM , yaani umoja gani kama hata Mtoto wa maskini Mtanzania mwenzetu akishinda hatangazi bali ni bora atangazwe Mhindi toka Bombay alimradi amepitia CCM , umoja unatakiwa uanzie kwenye Kumpata rais asiye mbaguzi kwa misingi ya itikadi za vyama.
Amni amni amini nakuambia itaichukua miaka hata 10 tena kwa CCM kuunyamazisha na kuuangamuza kabisa upinzani kwa kutumia damu za watu lakini Roho ya ubaguzi haiishi mana ni kati ya ibada za shetani za kumtukuza mwanadamu kwa ahadi za fahari za dunia yakiwemo madege,majumba,mameli ,magari mazuri ya seriakali ya kidunua ,mabarabara yanayopendeza ,wanyama kuzagaa mapaka mijini alimradi binadam maskini waliowengi wao wanaishi kwa jasho lao LA damu huku mabwana wakubwa wakipita na mapesa mengi na fahari za kila aina.

Wakikamilisha zoezi la kuwabagua watu kwa vyama vyao watahamia kwenye Dini. Usione Gwajima akitekua anauandama uislam ,Kikwete na CCM na kujifanya kuwa hana Chama Leo anagombea kupitia CCM yenye Rais aliyepita mikoni mwa CCM ,lengo litatimia endapo upinzani utatoweka. Watawagandamiza watu kwa dini zao mana watafanya matendo yatakayopingwa na imani za dini , wataanzana na dini isiyofanana na imani yao , watashangiliwa kuwa wanaimarisha amani ya nchi na umoja. Wakiwamaliza na kuwatia hofu wa dini Inayopingana nao watahamia kwenye Ukabila kwa kanda ,watawamaliza ,baadae watafanikiwa kuwatia hofu watu wa kanda nyingine ili kanda moja itawale kanda nyingine ndio maana hawataki utawala wa majimbo , watafanikiwa na kuifanya Zanzibar kuwa mikoa miwili tu. Baadae watagundua kuwa kumbe kanda waliyoitumia kuangamiza nyingine nayo ina makabila korofi watawaangamiza wale wanaoonekana Korofi , kwenye makabila mengine ,mwishowe watabaki watawala wa Ukoo mmoja. Hivyo ndivyo Utawala wa Kifalme unavyokuwa ili udumu milele.

Ni jukumu letu watanzania kufuata utawala unaoruelekeza kwenye utawala wa kifamilia au kujenga Demokrasia ambapo hata mtoto yatima anaweza kuonyesha Uwezo wake wa kuongoza na akawashawishi wananchi wa vyama vyote wakampa kura na kumshinda mtoto wa Waziri mkuu na akatangazwa kuongoza watu wote kwa haki na kwa kufuata sheria na katiba.

Kwa sasa ndani ya CCM ya leo wagombea wengi ni watoto au ndugu wa watawala waliopo au waliopita ambao kiukweli kwao suala la uchumi wa kuendesha familia zao sio tatizo hata kidogo tatizo lao ni uwezo wa kuongoza kwa misingi ya katiba na sheria na pia uwezo wa kuleta fikra mpya zinazowagusa wananchi maskini moja kwa moja!! Kwao tatizo ni usafiri wa ndege ,treni za mwendo kasi , maofisi yenye viyoyozi, magari ya kifahari n.k. Tofauti na watoto wa maskini ambao mpaka leo wakiona hata chupa ya maji ya uhai imetupwa wanaiokota na kuona ni chombo kizuri cha kwenda kuhifadhia Mafuta,maziwa n.k. Wakipinga mawazo ya watoto wa matajiri na watawala wanapelekwa Polisi na kubambikizwa kesi ngumu ngumu ili kuwatia hofu mana familia zao hazina hata chakula cha kesho.

Kuna watu wanadhani kujenga utawala wa kidikteta ni jambo la kuwapa watu maisha mazuri au kuwapa tende na halua , hapana udikteta unajengwa kwa nguvu, udikteta unajengwa kwa kuwamiminia watu mvua za mabomu na risasi. Udikteta ni utawala mbaya sana. Ni utawala wa walioshiba kutaka kushiba wao tuu huku wakiwaambia wenye njaa vumiliani tu kwani njaa ya siku moja haiui.

CCM wanajiita wapenda amani ,tuwaulize je, wapo tayari kukaa pembeni na kuifurahia amani nje ya madaraka ??
Kwa nini wao amani ni pale wanapokua madarakani tuu lakini wakitoka amani itoweke?

Nani ataondosha amani kama sio wao ambao hawapo tayari kukaa pembeni na kuongozwa kama walivyoongoza wao??
Hivi nani ambaye hajui kuwa wanaomwaga Damu za watu kule Libya ni wale waliokuwa watawala ? Familia na Ukoo was Gadaff hawakuwahi kamwe kuishi maisha ya kawaida , walikimbia na silaha za serikali kwa kuwa wengi ndio waliokua wamekalia nafasi za juu kwenye vyombo vya dola. Wanadhani wao tu ndio walioumbwa kuwatawala wengine.

Kama Demokrasia ingeleta vita basi ulaya ya Leo ingekuwa ni pori la vita. Lakini vita zote za wenyewe kwa wenyewe zinatokana na mwanya unaotokana na utawala katili wa Kidikteta kutokana na kujaa mikono inayonuka Damu jambo kinalopelekea wale waliopoteza ndugu na marafiki zao kuamua kushirikiana na wageni toka nje kwa ajili ya kulipa viasasi.
Kama kuna Demokrasia ya kweli basi kila MTU anaiona nchi yake kuwa ni mahali salama na penye fursa za kisiasa,kiuchumi na kijamii.
Leo hii Tanzania hasa Zanzibar fursa za kisiasa,kiuchumi na kijamii zipo upande wa CCM tuu. Sasa hapo nani anayeondoa amani na umoja wa watu ,je, ni wageni toka Ulaya au ni viongozi wa CCM wanafanya kazi kwa jeuri ,kiburi na dhulma kwa sababu ya kuwa na uwezo wa kuvituma vyombo vya Dola kufanya chochote wanachotaka??
 
Lisu alikuwa akiwadharau sana kamati kuu ya Chadema
Ndio maana hata barua ya kumwita tume katibu mkuu Chadema aligoma kuwa apelekewe mwenyewe hawataki mambo ya care of sababu haivi nao

Hili swala la kamati kuu kupewa hiyo kazi walau sasa wamepewa meno na wao LISU awajue kuwa wapo na wana maamuzi sio miroboti tu ya kuidharau na kuiona sio kitu chochote

Naamini kamati kuu ya Chadema itakuja na maamuzi mazito pia ya kurudisha heshima yao ambayo Lisu kaiponda na kuiona si kitu
 
Kama unajiamini upo kwenye haki hakuna kuogopa. Ccm ilipofikia haihitajiki kutumia hekima zote zilishafeli huko nyuma. Lugha moja tu ndiyo inawafaa. Ni anayotumia Lissu.

Acheni uoga.
Nguvu zipo mitandaoni tu,mtaani hali ni tofauti acha ubwege anza na wewe wakutindue mamaae.
 
Tanzania hakuna Tume huru ya Uchaguzi?

Mnafikiri inapotokea mmevunja sheria na Tume ya uchaguzi ikafuata sheria kuwaonya au kuwapunish.
Je hiyo tume inakuwa sio huru??

Taratibu na Sheria lazima zifuatwe!
Kweli wewe pumbavu, ndio hizo buku 7 zinakutia upumbavu hivi?
 
Nguvu zipo mitandaoni tu,mtaani hali ni tofauti acha ubwege anza na wewe wakutindue mamaae.
Licha ya hivyo bado hunijui na haujui nafasi yangu na kifo kwangu si calamity.
 
Kumpa pumzi CCM kwa siku 7 litakuwa kosa kubwa sana kwenye huu uchaguzi wa kihistoria.

Kukubali kutekeleza amri za kinyonyaji za NEC maana yake ni kipimo pia cha kukubali kuibiwa kura na kutokufanya chochote.

Naomba msimamie msimamo wenu wa 'Hatutakubali' na Lissu ameshasema jana, kwa mazingira ya sasa ambayo haki haipo, lazima NEC na CCM waelewe kwamba amani haitakuwepo na tunaanza sasa, kampeni ziendelee kesho na kinachotokea kitokee.

Huku mtaani moto umeshachochewa na kinachotakiwa ni moto uendelee kuchochewa hivyo hivyo ukizingatia zimebaki wiki tatu tu, kupoa kwa siku saba kutapooza sana huu moto tuliouwasha.

Ushauri wangu ni Lissu endelea na kampeni, liwalo na liwe, kama wanakuengua tuelewe kimoja, kwamba uchaguzi hautakuwepo, halafu sasa tuone kinachotokea.

Shetani na auawe ni dhambi kumpa pumzi shetani.
KAMA NI NOMA NA IWE NOMA.
CHADEMA ishamshtukia Lissu ndio maana kina Mbowe wamejitenga na yeye.

Mbowe anajuta kumpa Lissu apeperushe bendera ya CHADEMA maana chama linaenda kujifia October
Sadist.
 
CHADEMA ishamshtukia Lissu ndio maana kina Mbowe wamejitenga na yeye.

Mbowe anajuta kumpa Lissu apeperushe bendera ya CHADEMA maana chama linaenda kujifia October
Huko kujifia ndio umeanza kusema wewe leo?toka wenzako waanze sema hivo imepita miaka na miaka
 
CCM hawajamjua Lissu vizuri, ingekuwa ni binadamu wa aina yangu na wewe msomaji basi baada ya kupona risasi zote zile tusingethubutu hata kurudi Tanzania, achilia mbali kupaza sauti kwenye uwanja wa siasa cc (Ulimboka). Wanaiweka rehani amani ya nchi kwa maamuzi ya kijuha!
aluta continua.
 
Back
Top Bottom