Uchaguzi 2020 Kamati Kuu ya CHADEMA msimtie huzuni Lissu, kukubali adhabu ya kinyonyaji maana yake ni kukubali hata jaribio la kuibiwa kura

Uchaguzi 2020 Kamati Kuu ya CHADEMA msimtie huzuni Lissu, kukubali adhabu ya kinyonyaji maana yake ni kukubali hata jaribio la kuibiwa kura

CHADEMA ishamshtukia Lissu ndio maana kina Mbowe wamejitenga na yeye.

Mbowe anajuta kumpa Lissu apeperushe bendera ya CHADEMA maana chama linaenda kujifia October
Wazo la kijinga, hujui hata kanuni za uchaguzi zinasemaje mataga.
 
Ni kweli kabisa na Lisu alikataa kabisa wito wa tume ya maadili akasema yeye anaendelea na kampeni kamati ya Chadema ndio ikamlazomisha kuwa lazima atii afike Dar es salaam ajieleze mbele ya tume yeye Kama yeye na matamshi yake

Kwa jeuri alipofika Dar akagoma kwenda tume akawaambia sitaki siendi amueni lolote

Kamati wakaona Kuna hatari huyu asipoenda italeta shida kubwa kwa chama ndipo wakatuma mawakili waende kunusuru chama
Maamuzi yalipotoka asifanye kampeni siku Saba akaenda vyombo vya habari kusema hatambui bila kuwasiliana na kamati kuu
Ikabidi Tena kamati kuu imwambie wewe Sasa inatakiwa tukujadili kamati kuu usiendelee na kampeni mpaka sisi kamati kuu tutoe tamko letu

Allitwa kikaoni kikao Cha kamati kuu akajieze kakataa akawaambia amueni lolote I don't care ndio maana kamati imechelewa kutoa tamko Kuna issues very hot za ku sort out
Walililea joka sasa linataka kuwaangamiza.
 
Ni kweli kabisa na Lisu alikataa kabisa wito wa tume ya maadili akasema yeye anaendelea na kampeni kamati ya Chadema ndio ikamlazomisha kuwa lazima atii afike Dar es salaam ajieleze mbele ya tume yeye Kama yeye na matamshi yake

Kwa jeuri alipofika Dar akagoma kwenda tume akawaambia sitaki siendi amueni lolote

Kamati wakaona Kuna hatari huyu asipoenda italeta shida kubwa kwa chama ndipo wakatuma mawakili wawili waende kunusuru chama
Maamuzi yalipotoka asifanye kampeni siku Saba akaenda vyombo vya habari kusema hatambui bila kuwasiliana na kamati kuu
Ikabidi Tena kamati kuu imwambie wewe Sasa inatakiwa tukujadili kamati kuu usiendelee na kampeni mpaka sisi kamati kuu tutoe tamko letu

Allitwa kikaoni kikao Cha kamati kuu akajieleze kakataa akawaambia amueni lolote I don't care ndio maana kamati imechelewa kutoa tamko Kuna issues very hot za ku sort out
Duuh! Mgombea yuko juu ya chama Sasa?
 
Ni kweli kabisa na Lisu alikataa kabisa wito wa tume ya maadili akasema yeye anaendelea na kampeni kamati ya Chadema ndio ikamlazomisha kuwa lazima atii afike Dar es salaam ajieleze mbele ya tume yeye Kama yeye na matamshi yake

Kwa jeuri alipofika Dar akagoma kwenda tume akawaambia sitaki siendi amueni lolote

Kamati wakaona Kuna hatari huyu asipoenda italeta shida kubwa kwa chama ndipo wakatuma mawakili wawili waende kunusuru chama
Maamuzi yalipotoka asifanye kampeni siku Saba akaenda vyombo vya habari kusema hatambui bila kuwasiliana na kamati kuu
Ikabidi Tena kamati kuu imwambie wewe Sasa inatakiwa tukujadili kamati kuu usiendelee na kampeni mpaka sisi kamati kuu tutoe tamko letu

Allitwa kikaoni kikao Cha kamati kuu akajieleze kakataa akawaambia amueni lolote I don't care ndio maana kamati imechelewa kutoa tamko Kuna issues very hot za ku sort out

Siku hizi unakaribishwa kwenye vikao vya CDM?

Wewe si ulikuwa Zanzibar ukihangaika na simu hata kwenye kumuombea dua marehemu?

Ya CDM umeyapata wapi chakubanga wewe?
 
Ngoja tuone leo
itakua too late
walitakiwa wasimame na mgombea wao tokea siku waliopewa barua,lakini kwa dharau kabisa wakaiambia tume hawahusiki,leo watatoa tamko koko tu,mgombea analala nyumbani
Kiufupi chadema wamemuhujumu Lissu
 
CHADEMA ishamshtukia Lissu ndio maana kina Mbowe wamejitenga na yeye.

Mbowe anajuta kumpa Lissu apeperushe bendera ya CHADEMA maana chama linaenda kujifia October
Jamaa anatukana wakurugenzi na mapolisi mbele ya hadhara ili akiguswa tu bwana Amsterdam aongee upuuzi.

Hii mitego ni ya kimataifa lakini kwa Tanzania ya Nyerere haitaweza kufanikiwa hata siku moja.
 
Basi Mshaurini atoke leo.

Tuone aliyempumbavu kati yetu. Hamuwezi kushika nchi nyie , huo ndio ukweli na Upasuke. Hata Yesu aje, hamuwezi kushika Dola. Dola ni ya CCM for Life. So Chill and
Swallow the bitter truth , Caint!
Umeprove kitu kimoja, kuwa wewe ni MPUMBAVU.

Nilisema kama wewe siyo mpumbavu hutonitag tena utajua mimi siyo mpumbavu mwenzio, umenitag sababu wewe ni PUMBAVU.

Adios
 
Back
Top Bottom