Kamati Kuu ya CHADEMA watoto wao ni raia wa nchi zingine

Embu acha uongo wa kipumbavu halafu dunia nzima mtu anakubaliwa kubadilika uraia akiwa na miaka 18 hao akina lema na Lisu watoto wao hawana uwezo wa kubadilika uraia wao. Kwani hawana miaka 18
Embu wadanganye wajingawajinga mwenzako wasiojielewa.
 
TATIZO NINI? WEWE UMEKATALIWA? PELEKA NA KWAKO
 
wanawapa uraia watoto wa nje ili wakiitisha maandamano ya vurugu watoto wao wawe salama nje watoto wa maskini ndio wakione cha mtema kuni
 
Well said. Siwaamini kabisa hawa jamaa, naona kama ni wahuni tu.
 
Tuigope CHADEMA....

CHADEMA haifai.....

Hawa akina Lissu na Mbowe wanaweza KUTUUZA NA KUIIUZA NCHI YETU.....

Kule katika mashamba ya watumwa Marekani kulipata kutokea mtu aitwaye UNCLE TOM....kisa chake ni mashuhuri mno.....

Mbowe naye ni UNCLE TOM...
Lissu naye ni UNCLE TOM....
Lema naye ni UNCLE TOM....

Tuwaogope akina UNCLE TOM.....

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…