Kamati Kuu ya CHADEMA watoto wao ni raia wa nchi zingine

Kamati Kuu ya CHADEMA watoto wao ni raia wa nchi zingine

Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Hawa wenye watoto nje ya nchi kama wapo na hawa wanaoficha hela za nchi nje ya nchi kama wapo kuna tafauti gani?
 
Kawaulize kwanza pale lumumba lini wanaacha wizi?

Akili yako ndogo sana wewe so kila anayesoma ulaya analipiwa na wazungu? Na wazungu wote ni mashoga? Kwa hiyo na waanzania wote ukiwemo wewe ni mashoga maana tunapokea pesa za misaada ya bajeti toka kwa mashoga?
Ushamba mzigo mkubwa sana
Acha uhobobo...

Kuwa na "future" na taifa ni kuwa KIONGOZI ,MWANASIASA pekee?!!![emoji849][emoji849]



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tuigope CHADEMA....

CHADEMA haifai.....

Hawa akina Lissu na Mbowe wanaweza KUTUUZA NA KUIIUZA NCHI YETU.....

Kule katika mashamba ya watumwa Marekani kulipata kutokea mtu aitwaye UNCLE TOM....kisa chake ni mashuhuri mno.....

Mbowe naye ni UNCLE TOM...
Lissu naye ni UNCLE TOM....
Lema naye ni UNCLE TOM....

Tuwaogope akina UNCLE TOM.....

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi
 
Mawazo ya kimaskini sana, tukianza kukaguana tutajikuta wanaosoma Kayumba ni watoto wa wakulima ambao ki-uhalisia hawana future yoyote na Taifa letu.

Kama kuna mbunge yoyote CCM anamsomesha mwanae kayumba asimame tumuhesabu.
Acha "uhobobo" na mental slavery...

Kuwa na "future" na taifa ni kuwa KIONGOZI ,MTAWALA,MWANASIASA PEKEE?!!!

Kwa hiyo watoto wa wakulima HAWALIMI wakawalisha hao unaowaona bora....
Kwa hiyo watoto wa wakulima hawako katika sekta ya utumishi na biashara kuwahudumia watanzania?!!!![emoji849][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu ni feki tupu tena ni wajinga maana hawajui ni wajinga. Kwa ujinga wao wanafikiri hizo harakati zao kwa kulipwa ujira nje ndio uzalendo.

Hebu fikiri, mtu kama mbowe na lisu wanasema wazi kwa kuona fahari watoto wao ni raia wa marekani. Lema naye kwa fahari anatuambia wanawe ni wamarekani. Hivi viongozi kama hao kitu gani kiwafanye kujali mstakabali wa nchi ya tanzania?

Lissu baada ya kushtuka kwamba sio sahihi kuringia mwanae kua ni raia wa marekani akajidai eti ni uamuz wa wanawe wenyewe. Kwanza mtoto mdogo anaongozwa maamuzi na mzazi. Na mtoto wa kiongozi anayejidai ni mkubwa kwa malezi ya wazazi hawezi kuamua kua raia wa nchi nyingine.
Kwa ufupi iogopeni chadema wandugu hao ni mamluki.
Wacha wakawe mashoga huko washnz San
 
Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Hivi mnajua kuwa Nyalandu na Makamba ni raia wa marekani? Hivi mnajua kuwa Kinana ni raia wa canada/ Mama samia ana uraia wa arabuni! Hao ni viongozi wakuu.
Acha kukurupuka na watoto angalia ndani ya chama chako wewe!
 
Ni vigimu sna kuamini viongozi was chadema Ni Kaz sna Mara Mia Wana ccm mnk wengi tupo nao ahapa
 
Hivi mnajua kuwa Nyalandu na Makamba ni raia wa marekani? Hivi mnajua kuwa Kinana ni raia wa canada/ Mama samia ana uraia wa arabuni! Hao ni viongozi wakuu.
Acha kukurupuka na watoto angalia ndani ya chama chako wewe!
Si kweli mama Samia si raia wa uarabuni...umelewa Mbege mchana huu ama John Moto ?!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni vigimu sna kuamini viongozi was chadema Ni Kaz sna Mara Mia Wana ccm mnk wengi tupo nao ahapa
Tupo nao hapa ndo maana wana kwapua
Hao wasioaminika wametajwa ukurasa wa ngapi kwenye report ya CAG?
acheni upuuzi wenu nyie watu wanatuibia kila siku mnataka tuwaamini kisa tu wengine wanaenda ulaya! Huu ushamba wenu pelekeni huko lumumba
 
W
Hawatetei masilahi ya nchi
Wale waliopo pale dodoma wanatetea maslahi ya nani? Wapuuzi nyie watetee maslahi ya taifa yanatetewa na ccm hao waliouza viwanda vyetu ndo unatuaminisha ndo watetezi wa maslahi ya taifa
Wameuziana nyumba za umma kwa mahala ,zao
Wameuza bank ya biashara
Wameuza mashamba ya mikonge
Wameuza mpaka mboga
Madini
Gesi
Hao ndo watetezi wa mali za taifa?
Mnataka kina lisu watee mali za taifa wana dola?
Pelekeni ujinga lumumba wajinga nyie
 
W

Wale waliopo pale dodoma wanatetea maslahi ya nani? Wapuuzi nyie watetee maslahi ya taifa yanatetewa na ccm hao waliouza viwanda vyetu ndo unatuaminisha ndo watetezi wa maslahi ya taifa
Wameuziana nyumba za umma kwa mahala ,zao
Wameuza bank ya biashara
Wameuza mashamba ya mikonge
Wameuza mpaka mboga
Madini
Gesi
Hao ndo watetezi wa mali za taifa?
Mnataka kina lisu watee mali za taifa wana dola?
Pelekeni ujinga lumumba wajinga nyie
Wee Hakika chadema wamekuteka akili
 
Mpaka tukuambie wale waarabu waliopewa loliondo ni ndugu zake ndiyo mtapata akili hasa sababu ya kufurumusha wamasai!
Unaongea kama umevuviwa na pepo mchafu [emoji1787]

Mh.Samia Suluhu Hassan ni MMAKUNDUCHI(jaje-mwakakogwa)....

Wamakunduchi hawana asili na WAARABU wala UARABUNI....jifunze haya uupanue ubongo wako....

Unamhusisha na waitwao waarabu wa Loliondo kwa sababu mh.Rais Samia ni muislamu na hao waarabu wa Loliondo nao waislamu ama?!!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom