Kamati Kuu ya CHADEMA watoto wao ni raia wa nchi zingine

Kamati Kuu ya CHADEMA watoto wao ni raia wa nchi zingine

Acha "uhobobo" na mental slavery...

Kuwa na "future" na taifa ni kuwa KIONGOZI ,MTAWALA,MWANASIASA PEKEE?!!!

Kwa hiyo watoto wa wakulima HAWALIMI wakawalisha hao unaowaona bora....
Kwa hiyo watoto wa wakulima hawako katika sekta ya utumishi na biashara kuwahudumia watanzania?!!!![emoji849][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
acha upoyoyo, mtoto anaandaliwa kijana, usifikiri wanaowapeleka watoto wao shule za mamillion ni wajinga - sisi tuliochomoka toka familia maskini tumehangaika sana kufika hapa tulipo na ndiyo maana hatutaki watoto wetu wapitie njia hiyo.
 
acha upoyoyo, mtoto anaandaliwa kijana, usifikiri wanaowapeleka watoto wao shule za mamillion ni wajinga - sisi tuliochomoka toka familia maskini tumehangaika sana kufika hapa tulipo na ndiyo maana hatutaki watoto wetu wapitie njia hiyo.
Kuna mwanadamu asiyemuandaa mwanaye?!!!

Unataka kulazimisha mfumo wa maandalizi ya mtoto uwe mmoja ?!!!

Mbona unalazimisha kuingiza kitanda ya futi 6 katika kachumba kwa mbwa?!!!

Hakuna mzazi mtimilifu asiyejua kuwa ELIMU ndio msingi wa maisha....kwani hakuna wanaomaliza vyuo vikuu waliosomea Kayumba ?!!!

Kwa kipato gani cha mtanzania wa kawaida/mtumishi wa umma akaweza kumsomesha mwanaye FEZA/IST na kumpa scholarship ya HARVARD?!!!

Mbona unaongelea kakikundi kadogo kawatu tu ?!!!

N.B Wako wafanyabiashara wa Kati ambao hawana elimu ya sekondari na wametokea familia dunia ambao pia wanasomesha watoto wao huko FEZA kwa kuwa tu "kimewachanganyia".....usitumie SITUATION moja kwa watu tofauti.....

BROADEN YOU MIND

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mwanadamu asiyemuandaa mwanaye?!!!

Unataka kulazimisha mfumo wa maandalizi ya mtoto uwe mmoja ?!!!

Mbona unalazimisha kuingiza kitanda ya futi 6 katika kachumba kwa mbwa?!!!

Hakuna mzazi mtimilifu asiyejua kuwa ELIMU ndio msingi wa maisha....kwani hakuna wanaomaliza vyuo vikuu waliosomea Kayumba ?!!!

Kwa kipato gani cha mtanzania wa kawaida/mtumishi wa umma akaweza kumsomesha mwanaye FEZA/IST na kumpa scholarship ya HARVARD?!!!

Mbona unaongelea kakikundi kadogo kawatu tu ?!!!

N.B Wako wafanyabiashara wa Kati ambao hawana elimu ya sekondari na wametokea familia dunia ambao pia wanasomesha watoto wao huko FEZA kwa kuwa tu "kimewachanganyia".....usitumie SITUATION moja kwa watu tofauti.....

BROADEN YOU MIND

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tuanze na wewe, watoto wako unasomesha KAYUMBA kama ni kweli mwaga data acha siasa za kilaghai. Siajabu umo hata kwenye report ya CAG - mnaiba hela za umaa at the background mnajifanya wazalendo wenye uchungu na Taifa hili.
 
Tuanze na wewe, watoto wako unasomesha KAYUMBA kama ni kweli mwaga data acha siasa za kilaghai. Siajabu umo hata kwenye report ya CAG - mnaiba hela za umaa at the background mnajifanya wazalendo wenye uchungu na Taifa hili.
Mungu anashuhudia....

Wanangu bado wadogo wako shule ya msingi Kayumba na mwingine nursery hapo Mbagala....
Sijiongelei nafsi yangu naongelea wengi wetu watu wa kipato cha kawaida....

Unataka tumuongelee Rodney ambaye babu yake Aikaeli Mbowe alikuwa tajiri kabla ya uhuru?!!!

Unataka tumuongelee Ridhiwan Kikwete na watoto wake ambaye babu yake alikuwa DC wa Serikali ya mkoloni kule wilayani Pangani ?!!!

Unataka tumuongelee Fred Lowassa na watoto wake ambaye baba yake ni mkwasi toka enzi za BOYS ||MEN....

Unataka tumuongelee Nape Nnauye ambaye babaye alikuwa HIGHER OFFICIAL wa nchi ?!!

Unataka tumuongelee January Makamba na watoto wake wenye mizizi mirefu katika utawala wa nchi hii?!!! Khaaaa[emoji849][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwakuwa wanamahusiano makubwa na watu wa nje nina uhakika watatusaidia watakapopata dhamana katika hii nchi hawatakuwa na vichwa vyepesi vyenye kushindwa kupambanua mambo kama vya kizanzibar ambavyo kila kitu ni sawa tu[emoji29][emoji29][emoji29]et ushoga fanyeni nyinyi wakubwa sio watoto ndo nakumbuka yaleee ngurue si tatizo kuliwa na mkristu ila ni shida kwa muislam,uhalali wa ushoga kwa....... ni sawa lkn ........tatizo hatuko hvyo.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Marekani ikiwafanikishia kuchukua nchi, watawagawia Kila kitu wamarekani, wanaweza kuiuza Zanzibar, Kigamboni, George Bush wakampa mbuga yote ya Serengeti.

Wote wamenunuliwa majumba na CIA huko Marekani na Dubai
 
Kwakuwa wanamahusiano makubwa na watu wa nje nina uhakika watatusaidia watakapopata dhamana katika hii nchi hawatakuwa na vichwa vyepesi vyenye kushindwa kupambanua mambo kama vya kizanzibar ambavyo kila kitu ni sawa tu[emoji29][emoji29][emoji29]et ushoga fanyeni nyinyi wakubwa sio watoto ndo nakumbuka yaleee ngurue si tatizo kuliwa na mkristu ila ni shida kwa muislam,uhalali wa ushoga kwa....... ni sawa lkn ........tatizo hatuko hvyo.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Hata ofisi ya chadema imewashinda kujenga
 
Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.

Watoto wao wanahusiana vipi na Office?
 
Kwani na ww nani kakukataza? Fanya upendavyo. Au wamevunja katiba
 
Sasa hivi hao kamati kuu ni political assets za CCM
 
Marekani ikiwafanikishia kuchukua nchi, watawagawia Kila kitu wamarekani, wanaweza kuiuza Zanzibar, Kigamboni, George Bush wakampa mbuga yote ya Serengeti.

Wote wamenunuliwa majumba na CIA huko Marekani na Dubai
Hili nalo neno....

Hao watoto wao watakuja kuwa "makuwadi wa ubepari"....

Huko wanalishwa "sumu" tu sasa hivi [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom