Kamati Kuu ya CHADEMA watoto wao ni raia wa nchi zingine

Kamati Kuu ya CHADEMA watoto wao ni raia wa nchi zingine

Si useme tu anayekutunzia familia yako huko ubelgiji
Sawa anaitunza sema jingine we tukana yote ili usiwe unapost vipande vipande baada ya hapa hamia kwenye kilaza, dj, division four, ofisi chafu mabeberu nk
Afu ndo tujadili au turejee kwenye mada uliyopost kuhusu bomoa bomoa
Endelea kutukana ....ni kawaida hii
 
Kati ya kuwa mpinzani na watoto sio "RAIA WA TANZANIA" au kuwa mtanzania na watoto wa tanzania, tena waziri na kufanya "UFISADI WA TRILLIONI 1.5" mpaka rais anakasirika na kutukana kukuita mpumbavu (Stupid)!.

Jambo lipi baya zaidi?
Yote mabaya! Fisadi ni muuaji, kuvunja Katiba wazi wazi kama Lisu kujifanya Mtanzania ilhali anaingia TZ kwa visa, ni uhaini!

Madelu anyongelewe mbali, Lisu apigwe ban la kufanya siasa kwenye nchi isiyomhusu.

Hao wakina Mbowe nao wachunguzwe uraia wao, wa watoto wao wamethibitisha kuwa sio wa hapa. Wanajiita WAZALENDO eti.

Na vijiweni wanasema, hata hawa nambari uno wetu, wanakuwa(ga) kama MBOWE

Walianza kusemeana wenyewe, mara mjomba ake ni mkuu wa majeshi uarabuni, mara sijui nini....
 
Mke ,watoto na dereva umewaacha Ubelgiji wakitinduliwa marinda
Tukana tena du we hodari wa kutukana wacha wee nasikia wanakutefemea jana uliniambia mm sina marinda nikwqmbia sawa leo wengine tena? Ohhh
 
Tukana tena du we hodari wa kutukana wacha wee nasikia wanakutefemea jana uliniambia mm sina marinda nikwqmbia sawa leo wengine tena? Ohhh
Marinda yalipopata moto ukamwachia mzigo dereva nae atinduliwe maana hamna cha bure kwa mzungu
 
Ukitaka kuwa raia wa hizo nchi mbili lazima uwikane nchi uliotoka, kama vile Tanzania [emoji1241]!
Hapo sasa unasimama na kuweka mkono upande wako wa kushoto ( ina maanisha upande moyo ulipo) na kuapa kwa mfano marekani unasema kuwa “nitailinda marekani na nina acha kabisa kuwa raia wa Tanzania [emoji1241] milele na kila kitu nitakacho fanya kitakuwa ni manufaa ya marekani maana ndiyo nchi yangu pekee nitailinda katika mipaka yake yote” na mengine mengi ambayo sikumbuki, maana niliwasindikiza ndugu zangu uko kwenye uapisho!
 
Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Ukisikia upungufu wa akili, ni kama huu unaoishi nao huyu mwenzetu anayeitwa Jilala, na ninahisi huenda jina lake halisi ni Jalala.

Hayawahi kuandika chochote cha maana zaidi ya takataka kama hizi.
 
Hawa watu ni feki tupu tena ni wajinga maana hawajui ni wajinga. Kwa ujinga wao wanafikiri hizo harakati zao kwa kulipwa ujira nje ndio uzalendo.

Hebu fikiri, mtu kama mbowe na lisu wanasema wazi kwa kuona fahari watoto wao ni raia wa marekani. Lema naye kwa fahari anatuambia wanawe ni wamarekani. Hivi viongozi kama hao kitu gani kiwafanye kujali mstakabali wa nchi ya tanzania?

Lissu baada ya kushtuka kwamba sio sahihi kuringia mwanae kua ni raia wa marekani akajidai eti ni uamuz wa wanawe wenyewe. Kwanza mtoto mdogo anaongozwa maamuzi na mzazi. Na mtoto wa kiongozi anayejidai ni mkubwa kwa malezi ya wazazi hawezi kuamua kua raia wa nchi nyingine.
Kwa ufupi iogopeni chadema wandugu hao ni mamluki.
Crap from low minds.
 
Watanzania wanatakiwa kuwapuuza hawa vilaza kwa nguvu zote
Sio Watanzania wote wana uelewa mdogo kama wa kwako. Wapuuze wewe, na kupuuzwa na mjinga ni jambo la heri.

Wenye akili kama wataamua kuwapuuza itakuwa kwa sababu nyingine, na siyo kwa huu upuuzi uluouweka.
 
Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Vikitoka huko vikatue sauzi moja kwa moja. Mwamba keshatangulia akavitafutie kazi zenye mshahara mkubwa kuliko wa Ubunge
 
Ukisikia upungufu wa akili, ni kama huu unaoishi nao huyu mwenzetu anayeitwa Jilala, na ninahisi huenda jina lake halisi ni Jalala.

Hayawahi kuandika chochote cha maana zaidi ya takataka kama hizi.
Jibu hoja kwanza kilaza mkubwa wewe
 
Vikitoka huko vikatue sauzi moja kwa moja. Mwamba keshatangulia akavitafutie kazi zenye mshahara mkubwa kuliko wa Ubunge
Hahahaha alafu baadae vihare na kuhalisha kwamba vinatetea masilahi ya Tanzania
 
Back
Top Bottom